Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Lol!...- Mzuka wangu unakutesa sana maana the tizama unsema mwenyewe kwamba imebidi utumie Id ya uongo, kuwa kwenye my friends list ya Facebook, mimi will never do that angalau unajisema vizuri kwamba hulali bila kufuatilia maisha yangu imebidi utumie majina ya bandia kule FB, that is wasup maaaan!
Willie @DSM City!
Facebook natumia my Real name......Sidhani kama kila rafiki yako wa Facebok anafuatilia maisha yako..... Balantanda ni my Real name(A middle name).....Sema Faebook natumia la kwanza na la mwisho....ni kama ilivyo
Binafsi siwezi kuyafuatilia maisha yako wewe W.J. Malecela...Nikufuatilie kwa lipi hasa mkuu?...Ina maana kukueleza ukweli kwamba HAUNA SIFA za kuwa mwanasiasa ni kufuatilia maisha yako?.....Kukueleza kwamba unatapatapa na kutaka kuitumia JF kukupandisha na kujijenga kisiasa(kuwa mwanasiasa) ni kufuatilia maisha yako?.....Mbona wenzako wengi tu ambao wanagombea na wana mpango wa kugombea nafasi yoyote huwa hawaji hapa JF na kuanza kujipaisha kama unavyofanya wewe?,ama ndio usahihi wa kauli kwamba 'Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza'?.....Hivi mtu kuwa plan B ya CCM anahitaji kujitangaza?......
Ukweli unabaki pale pale kwamba wewe si MWANASIASA kama unavyodhani na hata huo upublic figure unaoufikiria unao labda ni wa JF tu na si kama unavyojidhania....Labda Cigiwiyemisi ni public figure.....
ivi unaweza kuniambia ni kwa nini mzee Cigwiyemisi alishindwa kwa aibu kura za maoni na Kibajaji Livingstone Lusinde?