Munru
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 1,340
- 667
hawaogopi ?? nani watakaemsimamisha na Kamanda Lisu ?? au Mnyika ??? yaani hizi chaguzi ndogo ndo zinaimaliza CCM kwani wananchi wanaona kumbe inawezekana mbuyu kuanguka , anyway tunawakaribisha kwenye uchaguzi ili tuwapoteze kabisa, na isitoshe kwenye chaguzi ndo sehemu sahihi ya kuwashitaki hawa Magamba kwa wananchi