- Wacha Fear mkuu wangu na wewe nilikuwa ninakuamini kumbe unaniogopa hivi, yaaani unasema mtu ukipata ajali usiendeshe tena gari, vipi Great Thinker hapa tunaongea plan B na political speculation ndiyo moja ya kazi yetu kubwa JF,
- I mean hata ukikuogopa mtu unajaribu kuficha kidogo kuliko ulivyofunguka yaani open kabisaaa, duh! ha1 ha!
Willie @DSM City!
- Kwa maneno mengine ni Jimbo langu, I grew up there na infact nina shamba na nyumba kule, I pray for my good friend Mahanga to survive, otherwise it sound interesting, yaani iwapo jimbo litakuwa open!
William @DSM City!
fikiria kabla ya kuandika kuwa na shamba hata nyumba segerea sio kitu kimbaya je una uzalendo wa kukomboa nchi yetu au? maana nikisoma post zako nyingi nashindwa kukuelewa uko kwenye ufisadi au kutetea nchi?- Kwa maneno mengine ni Jimbo langu, I grew up there na infact nina shamba na nyumba kule, I pray for my good friend Mahanga to survive, otherwise it sound interesting, yaani iwapo jimbo litakuwa open!
William @DSM City!
Interesting!- Kwa maneno mengine ni Jimbo langu, I grew up there na infact nina shamba na nyumba kule, I pray for my good friend Mahanga to survive, otherwise it sound interesting, yaani iwapo jimbo litakuwa open!
William @DSM City!
Kweli kumbe Nchi haikuwa na mhimili wa mahakama kwa miaka 50. Ilikuwa chama mahakama/dola tu. waendeleze huo ushenzi mpaka wananchi waingie roadini kuyaondoa mafisi watu haya!!Katika hali ya kusikitisha na kushangaza, ccm wamejipanga vilivyo kupitia mahakama za kichama (gachacha) kubatilisha matokeo ya majimbo mawili chini ya makamanda Mnyika na Lissu na kusurrender jimbo la segerea, hii inakua kama kamchezo cha kekundukekundu kwa waTz ili tuone CDM tumetendewa haki segerea kumbe wametumaliza Ubungo na Singida mashariki, shime waTz tusiukubali mchezo huu.
Katika hali ya kusikitisha na kushangaza, ccm wamejipanga vilivyo kupitia mahakama za kichama (gachacha) kubatilisha matokeo ya majimbo mawili chini ya makamanda Mnyika na Lissu na kusurrender jimbo la segerea, hii inakua kama kamchezo cha kekundukekundu kwa waTz ili tuone CDM tumetendewa haki segerea kumbe wametumaliza Ubungo na Singida mashariki, shime waTz tusiukubali mchezo huu.
- Kwa maneno mengine ni Jimbo langu, I grew up there na infact nina shamba na nyumba kule, I pray for my good friend Mahanga to survive, otherwise it sound interesting, yaani iwapo jimbo litakuwa open!
William @DSM City!
- Kwa maneno mengine ni Jimbo langu, I grew up there na infact nina shamba na nyumba kule, I pray for my good friend Mahanga to survive, otherwise it sound interesting, yaani iwapo jimbo litakuwa open!
William @DSM City!
- Weee mtoto tambaa tu kama hukuchubuka magoti, sasa bila kutambaa nani angeweza kutembea Duniani? I mean Great Thinker mbona unaongea fear? Unaniogopa na wewe? Daaamn!
Willie @DSM city!