Jimbo la Segerea: Nini CCM's Plan B?

Jimbo la Segerea: Nini CCM's Plan B?

Acheni kuingilia uhuru wa mahakama. Kama Mahanga atashindwa kweli basi mahakama itakuwa imeshawishiwa na Mahanga atakuwa na haki ya kukata rufaa!
 
Tulilalamika utabiri wa hukumu ya Godbless Lema na kudai ilikuwa na mkono wa CCM na serikali je utabiri huu kabla ya hukumu kama kweli atashindwa Mahanga itakuwa ni mkono wa nani?

Kwa jibu la harakaharaka utakuwa ni mkono wa chadema.

Tuache mahakama zifanye kazi yake kisha tutoe maoni yetu baada ya hukumu

- Siasa sometimes ni utabiri pia ila nothing to do na realty za sheria, Mahanga is my good friend na I hope and pray that he survives, lakini kwenye morden politics ni fair kujadili plan B na siamini kwamba Mahanga hana plan B huko aliko,

- Otherwise, we just being what JF always is yaaani talking reality on the ground!


Willie @DSM City!
 
Acheni kuingilia uhuru wa mahakama. Kama Mahanga atashindwa kweli basi mahakama itakuwa imeshawishiwa na Mahanga atakuwa na haki ya kukata rufaa!
Kesi ya Segerea wala haiitaji hata Jaji kuiamuwa iko open & clear na kwa hakika Makongoro mwenyewe analifahamu hili dhahiri shayiri na anakijuwa alichokifanya kwenye uchaguzi ule.

Na kinachonikera zaidi baada ya Makongoro kugunduwa kwamba ameshaanguka Ubunge alichofanya ni ku sabotage matokeo ya kata zote alizoona kwamba alizidiwa sana na Mpendazoe, na madhara yake akaathiri mpaka matokeo ya udiwani kwamba hata wale madiwani wa CHADEMA walioshinda kwenye zile kata hawakutangazwa na matokeo yakaenda kubandikwa Anatouglo eti ni madiwani CCM ndio walishinda!! kwa sababu ya mpumbavu mmoja tu huyu Makongoro.

Nitamchukia milele Makongoro kwa kosa hili alilotufanyia kwa sababu ya uroho wake wa madaraka
 
Hata kama jimbo la Segerea litabaki wazi bado siamini kama anaweza kuchaguliwa mbunge bora katika siasa za ushabiki zilizoibuka na kuongozwa na kundi la wasomi wenye nia ya kupitia dirishani baada ya wasomi wenzao kufunga mlango na kumeza funguo. Itakuwa bora zaidi kama watanzania wataligundua hili mapema na kuanza kuchagua wabunge kwa kupima ubora na si kwa kushabikia vyama vya siasa.
 
Naishi Segerea, ni mjumbe wa kamati ya Utendaji-CHADEMA jimbo la Segerea. Ukweli unabaki palepale, CCM wakae pembeni, si lazima wasimamishe mgombea hata wanapojua watashindwa.. Bora huo muda waendelee kujirekebisha kwa yale ambayo ndani tu ya chama chao wameshindwa kuyaweka sawa.

Nawasilisha.
 
Kesi ya Segerea wala haiitaji hata Jaji kuiamuwa iko open & clear na kwa hakika Makongoro mwenyewe analifahamu hili dhahiri shayiri na anakijuwa alichokifanya kwenye uchaguzi ule.

Na kinachonikera zaidi baada ya Makongoro kugunduwa kwamba ameshaanguka Ubunge alichofanya ni ku sabotage matokeo ya kata zote alizoona kwamba alizidiwa sana na Mpendazoe, na madhara yake akaathiri mpaka matokeo ya udiwani kwamba hata wale madiwani wa CHADEMA walioshinda kwenye zile kata hawakutangazwa na matokeo yakaenda kubandikwa Anatouglo eti ni madiwani CCM ndio walishinda!! kwa sababu ya mpumbavu mmoja tu huyu Makongoro.

Nitamchukia milele Makongoro kwa kosa hili alilotufanyia kwa sababu ya uroho wake wa madaraka

- Matola with all due respect can we talk plan B, badala ya hukumu ya sheria inayosubiriwa, I mean je CCM inakubalika Segera jimbo letu au? Kama haikubaliki what needs to be done? Kama inakubalika what needs to be done!

- Otherwise, heshima mbele sana! and OFF TO UDSM kutoa shukrani kwa my great supporters there!

Later watu!

Willie @DSM City
 
kaka william jaribu kufikiria na CDM kidogo, mzee wako hawampendi akina JK na EL na vibaraka wao...labda umsaliti mzee huende kwa Ridh ubusu pete (mithili ya mafia) na kupledge allegiance nae, au chagua upande wa EL nenda Monduli busu mkono wa EL sema yeye ni mfano wa kuigwa na uko tayari kuongeza namba kwenye kambi yake na unaamini urais uko kwake tu hapo utapewa na $200,000 za kampeni na utashinda, bila hivyo hamna kitu wanakata tu jina, muulize mtoto wa Warrioba 2010 kule kawe. Ukweli ni hawataki tena hawa wazee wa chama chetu waendelee kuenziwa na vizazi vipya, inatishia nguvu zao na mpango wao wa kukibinafshisha chama kua mali yao binafsi. funguka kaka kama unachukulia mfano wa Makongoro 95" kuhamia NCCR na baadae akarudi CCM, huo ni mfano mbaya, Makongoro wa 95 alikua siyo huyu wa leo, na mwaka 95 upinzani haukua hivi..fikiria kaka
 
- Ndio tofauti yetu hapa, mimi naongea nikiwa Segerea shambani kwangu, wewe unaonegelea nje ya jimbo na kujifanya unalijua sana jimbo kuliko mimi mkazi wake!

- Chairman Mao alisema: NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK!

Willie @DSM City!


Unajua matatizo ya wapiga kura wa Segerea wewe?
 
W J M

Kunywa whisky upunguze unene na kuhema hovyo.

- Mkuu wangu heshima mbele kwanza, well baaada ya kukaa sana Majuu chakula kule sio organic kama hapa bongo, so was trying to catch up organic hapa bongo, lakini mind you nakimbia Mile 2 kila siku asubuhi njoo huku baharini asubuhi, so dont worry nilikuwa nina-catch up na organic kidogo za bongo,na vitumbuwa, maandazi na sambusa sana you know! ha! ha! ha! na Chips mayai kwenye makalai mtaani super sana you know! ha! ha! ha!

- HOWEVER; huna hoja on Segerea au? ha! ha! ha!

Willie @DSM City!
 
Magamba hawakubaliki sana jimbo la Segerea ni sawa na kibaka tu.
 
kaka william jaribu kufikiria na CDM kidogo, mzee wako hawampendi akina JK na EL na vibaraka wao...labda umsaliti mzee huende kwa Ridh ubusu pete (mithili ya mafia) na kupledge allegiance nae, au chagua upande wa EL nenda Monduli busu mkono wa EL sema yeye ni mfano wa kuigwa na uko tayari kuongeza namba kwenye kambi yake na unaamini urais uko kwake tu hapo utapewa na $200,000 za kampeni na utashinda, bila hivyo hamna kitu wanakata tu jina, muulize mtoto wa Warrioba 2010 kule kawe. Ukweli ni hawataki tena hawa wazee wa chama chetu waendelee kuenziwa na vizazi vipya, inatishia nguvu zao na mpango wao wa kukibinafshisha chama kua mali yao binafsi. funguka kaka kama unachukulia mfano wa Makongoro 95" kuhamia NCCR na baadae akarudi CCM, huo ni mfano mbaya, Makongoro wa 95 alikua siyo huyu wa leo, na mwaka 95 upinzani haukua hivi..fikiria kaka

- SUPER! NIMEKUSIKIA SANA MKUU!

Willie @DSM City!
 
- Kwa maneno mengine ni Jimbo langu, I grew up there na infact nina shamba na nyumba kule, I pray for my good friend Mahanga to survive, otherwise it sound interesting, yaani iwapo jimbo litakuwa open!

William @DSM City!
una uchu wa madaraka sana upo tayari kufanya lolote ili uwe mbunge na may be waziri! Juzijuzi umeshindwa kwenye ubunge wa EALA hujakaa na kujitafakari kilichosababisha wabunge na wana ccm wenzio wakakunyima kura sasa unaanza kutamani jimbo ambalo kesi ipo mahakamani na maamuzi bado!Umenishtua sana na conclusion remark yako kuwa ina sound interesting kama jimbo linakaliwa na chama chako litakuwa open! watu wanaokimbilia madaraka wa aina yako waogopwe kama ukoma -nyerere !!
 
- Kwa maneno mengine ni Jimbo langu, I grew up there na infact nina shamba na nyumba kule, I pray for my good friend Mahanga to survive, otherwise it sound interesting, yaani iwapo jimbo litakuwa open!

William @DSM City!
...dah! huyu mbwiga tena?...
 
- Matola with all due respect can we talk plan B, badala ya hukumu ya sheria inayosubiriwa, I mean je CCM inakubalika Segera jimbo letu au? Kama haikubaliki what needs to be done? Kama inakubalika what needs to be done!

- Otherwise, heshima mbele sana! and OFF TO UDSM kutoa shukrani kwa my great supporters there!

Later watu!

Willie @DSM City

Willy unapochokoza mada kama hizi usikimbie kaa hapa tukufunde ili uwe na uwelewa wa kile unachotamani au kutaka kukifanya uwe na uhakika nacho.

Jimbo la Segerea ukiwa kama mgombea wa CCM kuna kata za Vingunguti, Buguruni, kipawa na kiwalani, kihistoria hili jimbo ni la Waswahili wa pwani hasa hizi kata nilizokupa orodha yake hizo kata kwa wanaCCM uzaramo na Uislamu ni moja ya advantage ya mgombea.

Kwa ninavyowafahamu mimi wanaCCM wenzako kwa jimbo hili unatwanga maji kwenye kinu, kuna mtu mmoja anaitwa Joseph Kessy yeye ndiyo alikuwa mwenyekiti wa kamati ya Maendeleo ya Tabata na Tabata unayoina leo ni mchango mkubwa wa Joseph Kessy lakini amegombea mara 2 mfululizo na huyu Makongoro hakufuwa dafu.

Sifa kuu na umahiri wa Makongoro anawafahamu fika wanaCCM wa jimbo hili kwahiyo yeye huwa anawaandalia bahasha zao basi mchezo unakuwa umekwisha

CCM jimbo la Segerea sasa hivi iko vipande vipande wana siasa za makundi kuliko CCM ngazi ya Taifa tofauti tu ni kwamba wao hawapati coverage ya media.

Usitake kuvuna ambacho haujakipanda nakushauri ufanye research kule kwenu Mtera tatizo lao kubwa ni nini na uanze kuwatatulia hayo matatizo kabla hata ya kugombea, hii ndiyo njia aliyoitumia George Simachawene kule kwao Kibakwe licha ya kwamba yeye tunaishi jimbo moja la Segerea na anakaa kata ya Vingunguti.
 
Kaka Bado tu hujakoma! Magamba wenzio kwanza hawakutaki. Ukija huku CDM pia hawawataki Wanafiki. Shetani hakutaki, Mungu kakukataa, sijui utakwenda wapi? Mbona kazi zipo nyingi, kwani lazima uwe mwanasiasa!

Usiogope. Ila ni vema ukaangalia jinsi mwenendo unavyoelekea. Kugombea kupitia CCM siku hizi hasa mijini inabidi uwe na moyo kweli. Otherwise ni risk. Unaweza ukabaki mwenyewe na tai yako mfuko ukatoboka na bila ubunge.
 
una uchu wa madaraka sana upo tayari kufanya lolote ili uwe mbunge na may be waziri! Juzijuzi umeshindwa kwenye ubunge wa EALA hujakaa na kujitafakari kilichosababisha wabunge na wana ccm wenzio wakakunyima kura sasa unaanza kutamani jimbo ambalo kesi ipo mahakamani na maamuzi bado!Umenishtua sana na conclusion remark yako kuwa ina sound interesting kama jimbo linakaliwa na chama chako litakuwa open! watu wanaokimbilia madaraka wa aina yako waogopwe kama ukoma -nyerere !!

- Wacha Fear mkuu wangu na wewe nilikuwa ninakuamini kumbe unaniogopa hivi, yaaani unasema mtu ukipata ajali usiendeshe tena gari, vipi Great Thinker hapa tunaongea plan B na political speculation ndiyo moja ya kazi yetu kubwa JF,

- I mean hata ukikuogopa mtu unajaribu kuficha kidogo kuliko ulivyofunguka yaani open kabisaaa, duh! ha1 ha!

Willie @DSM City!
 
Back
Top Bottom