peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 13,114
- 21,872
Ukweli Tanganyika ni nchi ngumu.
Jimbo la lupa lililopo chunya, halina hata nusu Kilomita ya Barbara ya Lami.
Na Cha kufurahisha mbunge wake Yuko bungeni na anatarajia kurudi kuomba kura tena, ili aendelee kuwa mbunge wa Lupa.
Ninashauri CCM itusaidie kumuondoa mbunge wa sasa, itupatie mtu anayeelewa wananchi wanachokitaka.
Cha kufurahisha zaidi hata maji safi na salama hayapo, Jimbo nzima
Jimbo la lupa lililopo chunya, halina hata nusu Kilomita ya Barbara ya Lami.
Na Cha kufurahisha mbunge wake Yuko bungeni na anatarajia kurudi kuomba kura tena, ili aendelee kuwa mbunge wa Lupa.
Ninashauri CCM itusaidie kumuondoa mbunge wa sasa, itupatie mtu anayeelewa wananchi wanachokitaka.
Cha kufurahisha zaidi hata maji safi na salama hayapo, Jimbo nzima