Jimbo la Lupa-Chunya limetawaliwa na CCM tangu uhuru, halina barabara ya lami hata nusu kilometer

peno hasegawa

JF-Expert Member
Feb 24, 2016
13,114
21,872
Ukweli Tanganyika ni nchi ngumu.
Jimbo la lupa lililopo chunya, halina hata nusu Kilomita ya Barbara ya Lami.

Na Cha kufurahisha mbunge wake Yuko bungeni na anatarajia kurudi kuomba kura tena, ili aendelee kuwa mbunge wa Lupa.

Ninashauri CCM itusaidie kumuondoa mbunge wa sasa, itupatie mtu anayeelewa wananchi wanachokitaka.

Cha kufurahisha zaidi hata maji safi na salama hayapo, Jimbo nzima
 
Tena ni sehemu strategic kwenye maendeleo, kuna madini ya dhahabu, kuna kilimo cha zao la tumbaku, kuna ufugaji wa ng'ombe na kule mbele kama unaelekea Tabora kuna hifadhi zenye wanyama pori.

Ni aibu kwamba ile barabara kuu kabisa inayounganisha Mbeya na mikoa ya Tabora na Singida ni ya vumbi.

Kichekesho zaidi ni kile kipande 'kipya' cha lami kinachotokea mbeya mjini mpaka Chunya mjini, barabara haina hata muda mrefu imejaa mashimo ya kutisha. Mchina ametupiga pale, nchi shamba la bibi hili.
 
Ukweli Tanganyika ni nchi ngumu.
Jimbo la lupa lililopo chunya, halina hata nusu Kilomita ya Barbara ya Lami.

Na Cha kufurahisha mbunge wake Yuko bungeni na anatarajia kurudi kuomba kura tena, ili aendelee kuwa mbunge wa Lupa.

Ninashauri CCM itusaidie kumuondoa mbunge wa sasa, itupatie mtu anayeelewa wananchi wanachokitaka.

Cha kufurahisha zaidi hata maji safi na salama hayapo, Jimbo nzima
Kwa hiyo ule ujenzi unaoendelea kutoka Makongamano kwenda Tabora/Singida lami itapita angani?

Pili Je ni Kwa Kasaka au Kwa Mlugo?
 
Tena ni sehemu strategic kwenye maendeleo, kuna madini ya dhahabu, kuna kilimo cha zao la tumbaku, kuna ufugaji wa ng'ombe na kule mbele kama unaelekea Tabora kuna hifadhi zenye wanyama pori.

Ni aibu kwamba ile barabara kuu kabisa inayounganisha Mbeya na mikoa ya Tabora na Singida ni ya vumbi.

Kichekesho zaidi ni kile kipande 'kipya' cha lami kinachotokea mbeya mjini mpaka Chunya mjini, barabara haina hata muda mrefu imejaa mashimo ya kutisha. Mchina ametupiga pale, nchi shamba la bibi hili.
 

Attachments

  • VID-20240511-WA0002.mp4
    6.3 MB
Tena ni sehemu strategic kwenye maendeleo, kuna madini ya dhahabu, kuna kilimo cha zao la tumbaku, kuna ufugaji wa ng'ombe na kule mbele kama unaelekea Tabora kuna hifadhi zenye wanyama pori.

Ni aibu kwamba ile barabara kuu kabisa inayounganisha Mbeya na mikoa ya Tabora na Singida ni ya vumbi.

Kichekesho zaidi ni kile kipande 'kipya' cha lami kinachotokea mbeya mjini mpaka Chunya mjini, barabara haina hata muda mrefu imejaa mashimo ya kutisha. Mchina ametupiga pale, nchi shamba la bibi hili.
Kila sehemu Tzn hii ni strategic kiuchumi ni vile hakuna Rasilimali za kutosha kujenga Kila Barabara Kila mahala Kwa wakati mmja.
 
Kwa hiyo ule ujenzi unaoendelea kutoka Makongamano kwenda Tabora/Singida lami itapita angani?

Pili Je ni Kwa Kasaka au Kwa Mlugo?
Kila sehemu Tzn hii ni strategic kiuchumi ni vile hakuna Rasilimali za kutosha kujenga Kila Barabara Kila mahala Kwa wakati mmja.
Wakili wa serikali umeshafika na gauni lako.Unatetea hadi jumba bovu kwa kuliwekea miti mbavuni lisianguke.
 
Ukweli Tanganyika ni nchi ngumu.
Jimbo la lupa lililopo chunya, halina hata nusu Kilomita ya Barbara ya Lami.

Na Cha kufurahisha mbunge wake Yuko bungeni na anatarajia kurudi kuomba kura tena, ili aendelee kuwa mbunge wa Lupa.

Ninashauri CCM itusaidie kumuondoa mbunge wa sasa, itupatie mtu anayeelewa wananchi wanachokitaka.

Cha kufurahisha zaidi hata maji safi na salama hayapo, Jimbo nzima
Lucas Mwashambwa anabubujikwa na machozi kwa furaha
 
Mradi umeanzia mkiwa Singida kuja Makongolosi.

Huwezi Anza kujenga maporini badala ya sehemu waliko watu.

Kila siku nakwambia Toka huko maporini huelewi
Weka tenda documents hapa za mradi.
Mkandarasi anaitwa nani?
Mradi ni kms ngapi?
Mradi ni Trilion ngapi?
Mradi ulianza lini?
Mradi unamalizika lini?
 
Back
Top Bottom