Jikoni Leo -Bamia,Kwanini Wanaume wengi Hawali?

hapo ukinipa na ugali aisee nitahitaji winchi nitolewe......
napenda mno bamia.....
yaani wakati mwingine napika hadi na nyama
 

Mkuu Mzizi Mkavu mambo gani haya kuzichechemua enzymes zetu mapema asubuhi?? Hutaki tufanye kazi tuanze kuutafakari ugali wa mchana kwa VIDOLE VYA KIKE aka Bamia??? Njaa imeanza kuniuma tayari...
 
Bamia nazipenda sana,tena bamia unazikaanga na biliganya,pilipili wowo,unaweza kuchanganya na nyanya ukipenda,ukila na ugali acha kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…