Jiji lisilo na maji wala barabara litakuwaje mwenyeji wa AFCON?

Jiji lisilo na maji wala barabara litakuwaje mwenyeji wa AFCON?

Dadi Barnea

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2024
Posts
654
Reaction score
1,305
Hebu tutafakari kwa pamoja Wakuu,

Vigezo gani vilitumika na CAF kuichagua Tanzania kuwa mwenyeji wa AFCON 2027? HIYO NI KESHO TU ETI

Kwanza, Kenya na Uganda wamekwishamaliza ujenzi wa viwanja vitakavyotumika kwa fainali hizo, Tanzania bado nywinywinywi hakuna kitu

Dar es Salaam ambayo ndiyo taswira ya nchi hakuna maji, hakuna barabara, vurugu za bodaboda na bajaji katikati ya mji, parking za bodaboda na bajaji hadi mbele ya mahotel makubwa ambako ndiyo timu zitaishi, beach zote ni chafu kupindukia, majengo katikati ya mji yamechakaa na machafu kupindukia, uchafu kila mahali🚮🚮

Rais wa nchi kajifungia Tunguu Zanzibar, na kufikia wakati huo bila shaka atakuwa kifungoni The Hague

Waziri Mkuu lopolopo🚮🚮

Waziri wa Habari na Michezo ni zero brain hawezi kusema hata sentensi moja kwa Kiingereza. Asilimia 99 pia ya Wakaazi wa mji huu hawawezi kuwasiliana kwa Kiingereza ama lugha nyingine yoyote kubwa ya Kimataifa kama Kifaransa

Sasa Uenyeji wa Tanzania wa Mashindano ya AFCON utakuwaje? Tulikuwa na sifa kweli kuandaa mashindano hayo au kijani walihonga??

Nachoka mimi
 
Punguzeni negativity. Sio kila kitu lazima mkitolee maoni ya kukosoa.

Ikifika 2027 nenda katembee huko Arusha utakutana na vyote hivyo vinavyopungua muda huu.
 
Hebu tutafakari kwa pamoja Wakuu,

Vigezo gani vilitumika na CAF kuichagua Tanzania kuwa mwenyeji wa AFCON 2027? HIYO NI KESHO TU ETI

Kwanza, Kenya na Uganda wamekwishamaliza ujenzi wa viwanja vitakavyotumika kwa fainali hizo, Tanzania bado nywinywinywi hakuna kitu

Dar es Salaam ambayo ndiyo taswira ya nchi hakuna maji, hakuna barabara, vurugu za bodaboda na bajaji katikati ya mji, parking za bodaboda na bajaji hadi mbele ya mahotel makubwa ambako ndiyo timu zitaishi, beach zote ni chafu kupindukia, majengo katikati ya mji yamechakaa na machafu kupindukia, uchafu kila mahali🚮🚮

Rais wa nchi kajifungia Tunguu Zanzibar, na kufikia wakati huo bila shaka atakuwa kifungoni The Hague

Waziri Mkuu lopolopo🚮🚮

Waziri wa Habari na Michezo ni zero brain hawezi kusema hata sentensi moja kwa Kiingereza. Asilimia 99 pia ya Wakaazi wa mji huu hawawezi kuwasiliana kwa Kiingereza ama lugha nyingine yoyote kubwa ya Kimataifa kama Kifaransa

Sasa Uenyeji wa Tanzania wa Mashindano ya AFCON utakuwaje? Tulikuwa na sifa kweli kuandaa mashindano hayo au kijani walihonga??

Nachoka mimi
Hapo Sasa!
Viongozi wamekalia kuiba rasilimali na maliasili za nchi tu!
 
Kwamba kenya wameisha kamilisha ujenzi wa viwanja? Kwamba uganda imeisha kamilisha
-hapa unamdanganya nani?
-kashtaki ICC ya tecdema

Yaani kuna kipindi waweza fikiria kuhusu hawa pinga pinga ukajiuliza maswali yasiokuwa na majibu.
 
Hebu tutafakari kwa pamoja Wakuu,

Vigezo gani vilitumika na CAF kuichagua Tanzania kuwa mwenyeji wa AFCON 2027? HIYO NI KESHO TU ETI

Kwanza, Kenya na Uganda wamekwishamaliza ujenzi wa viwanja vitakavyotumika kwa fainali hizo, Tanzania bado nywinywinywi hakuna kitu

Dar es Salaam ambayo ndiyo taswira ya nchi hakuna maji, hakuna barabara, vurugu za bodaboda na bajaji katikati ya mji, parking za bodaboda na bajaji hadi mbele ya mahotel makubwa ambako ndiyo timu zitaishi, beach zote ni chafu kupindukia, majengo katikati ya mji yamechakaa na machafu kupindukia, uchafu kila mahali🚮🚮

Rais wa nchi kajifungia Tunguu Zanzibar, na kufikia wakati huo bila shaka atakuwa kifungoni The Hague

Waziri Mkuu lopolopo🚮🚮

Waziri wa Habari na Michezo ni zero brain hawezi kusema hata sentensi moja kwa Kiingereza. Asilimia 99 pia ya Wakaazi wa mji huu hawawezi kuwasiliana kwa Kiingereza ama lugha nyingine yoyote kubwa ya Kimataifa kama Kifaransa

Sasa Uenyeji wa Tanzania wa Mashindano ya AFCON utakuwaje? Tulikuwa na sifa kweli kuandaa mashindano hayo au kijani walihonga??

Nachoka mimi
Halafu munasema Zanzibar tuunge maji kutoka huko!! Na kule Tunguu ndio kunakotakiwa kuwe na maji!! Sisi Wadanganyika tumedanganyika sana. Eti wakaazi hawawezi kuwasiliana kwa Kiingereza! Nimecheka sana. Kwahivyo watakuwa mabubu. Kwani hao wanaokuja si wataongea Kiswahili? Kinawashinda nini? Bado tuna mawazo ya kutawaliwa.
 
Kwamba kenya wameisha kamilisha ujenzi wa viwanja? Kwamba uganda imeisha kamilisha
-hapa unamdanganya nani?
-kashtaki ICC ya tecdema

Yaani kuna kipindi waweza fikiria kuhusu hawa pinga pinga ukajiuliza maswali yasiokuwa na majibu.
Onyesha viwanja ambavyo havijakamilika huko Kenya na Uganda...then uzilinganishe na viwanja vinavyoanza kujengwa hapo Arusha na Dodoma...yaani hadi sasa barabara ya kwenda uwanja wa mpira Arusha haijaanza kujengwa, pale Dodoma Ihumwa ndiyo kwanza mkandarasi anaanza mobilization.

Siyo kila hoja inayojenga unapinga tu, ujinga mtupu.
 
Asilimia 99 pia ya Wakaazi wa mji huu hawawezi kuwasiliana kwa Kiingereza ama lugha nyingine yoyote kubwa ya Kimataifa kama Kifaransa
Hii haina ulazima na haihusiani na sisi kuwa wenyeji wa Afcon. Wala sio lazima wenyeji wajue Kiingereza
Na hizi takwimu kuwa asilimia 99 ha wakazi wa Dar hawajui Kiingereza ni uongo. Watu wengi tu wanaongea Kiingereza especially vijana
 
Halafu munasema Zanzibar tuunge maji kutoka huko!! Na kule Tunguu ndio kunakotakiwa kuwe na maji!! Sisi Wadanganyika tumedanganyika sana. Eti wakaazi hawawezi kuwasiliana kwa Kiingereza! Nimecheka sana. Kwahivyo watakuwa mabubu. Kwani hao wanaokuja si wataongea Kiswahili? Kinawashinda nini? Bado tuna mawazo ya kutawaliwa.
Kwahiyo unategemea mgeni aje ajifunze Kiswahili ili akupatie pesa yake kwa kupata services kwako? Au wewe ndiyo ujifunze lugha mbalimbali za wageni wanaokuja kwako ili wapate huduma nzuri na warudi siku nyingine.
Au shule hukusoma marketing kidogo.
 
Kwahiyo unategemea mgeni aje ajifunze Kiswahili ili akupatie pesa yake kwa kupata services kwako? Au wewe ndiyo ujifunze lugha mbalimbali za wageni wanaokuja kwako ili wapate huduma nzuri na warudi siku nyingine.
Au shule hukusoma marketing kidogo.
Kiingereza sio lazima
Binadamu ni viumbe intelligent sana, wanaweza kuelewana hata kama kila mtu hajui lugha ya mwenzake
Watz wengi wanajua basic English ambayo inatosha kufanya biashara. Ni English deep ya kupiga story na watu ndio hawajui
Tanzania watu wanaongea Kiswahili lakini bado tunapata watalii wengi kuliko Nigeria au Zimbabwe ambazo zinaongea Kiswahili sembuse Afcon? Yani wabongo wajifunze English ili waweze kupiga story na wageni kipindi cha Afcon??
 
Bado tuna pepo la utumwa.
Ni lini CAF walitoa masharti ya lazima kuongea lugha za kigeni ndiyo kigezo cha kuandaa fainali za AFCON?
 
Kwamba kenya wameisha kamilisha ujenzi wa viwanja? Kwamba uganda imeisha kamilisha
-hapa unamdanganya nani?
-kashtaki ICC ya tecdema

Yaani kuna kipindi waweza fikiria kuhusu hawa pinga pinga ukajiuliza maswali yasiokuwa na majibu.
Usipende kuchangia kila hoja. Hoja iliyopo mezani ina mashiko kwa heshima ya Taifa letu. Jifunze kutenganisha siasa na taaluma.

Mikoa/Miji teule wandaaji na wenyeji wa mashindano yale hususani Arusha na Dodoma, miundo mbinu bado sana. Ukilinganisha na muda uliobaki.

Arusha ni mji maarufu sana kwenye Utalii lkn mipangilio ya ujenzi wake ni zero hasa nje ya mji. Uwanja unajengwa nje kidogo ya mji wenyewe. Ukiangalia mazigira yale lazima hofu itawale.

Mtoa mada kaliona hilo yaani makosa ktk kupangilia ujenzi toka mwanzo. Je muda uliobaki unatosha kuficha/kufunika aibu ya ujenzi mbovu wa mji wa Arusha wa hapo awali? Weka ushabiki pembeni.
 
Dadi Barnea
Siyo Dar pekee kwenye shida ya maji.
Arusha yanatoka mara moja tu kwa wiki tena kwa masaa machache. Shida ya maji iko kila sehemu ya jiji la Arusha

Kwa upande wa barabara ndiyo aibu. Arusha barabara za mitaani ni majanga. Hiyo AFCON labda wanakuja kushangaa na mashimo kwenye barabara zetu
 
Kwahiyo unategemea mgeni aje ajifunze Kiswahili ili akupatie pesa yake kwa kupata services kwako? Au wewe ndiyo ujifunze lugha mbalimbali za wageni wanaokuja kwako ili wapate huduma nzuri na warudi siku nyingine.
Au shule hukusoma marketing kidogo.
Mkuu mimi sijaenda shule ni madrasa tu, lakini sijasema waje wajifunze Kiswahili. Nimeuliza tu kwani wao hawazungumzi Kiswahili badala ya kutegemea Kiingereza? Kwahivyo kwetu sisi Wadanganyika kutokuzungumza Kiingereza ni kosa ila wao kutokuzungumza Kiswahili ni sawa!! Mkuu si umechelewa?!

Mwisho; mimi sikusoma marketing na pia sikusoma Kiingereza wala sikusoma Kiswahili. Ikiitokea wewe umesoma vyote hivyo, na haya ndo umeandika, utakuwa umekula hasara.
 
Mkuu mimi sijaenda shule ni madrasa tu, lakini sijasema waje wajifunze Kiswahili. Nimeuliza tu kwani wao hawazungumzi Kiswahili badala ya kutegemea Kiingereza? Kwahivyo kwetu sisi Wadanganyika kutokuzungumza Kiingereza ni kosa ila wao kutokuzungumza Kiswahili ni sawa!! Mkuu si umechelewa?!

Mwisho; mimi sikusoma marketing na pia sikusoma Kiingereza wala sikusoma Kiswahili. Ikiitokea wewe umesoma vyote hivyo, na haya ndo umeandika, utakuwa umekula hasara.
Kiingereza ni Moja kati ya lugha kubwa kimataifa na ni vyema kuijua Kwa ufasaha kabisa
Yaani unategemea mtu wa Morocco, Ghana, South Africa ajifunze kiswahili Ali awasiliane na mdengereko taxi driver?
 
Back
Top Bottom