Fabolous
JF-Expert Member
- Sep 23, 2010
- 3,410
- 4,680
Ikifika 2027 Dar kutakua hakuna shida ya maji? Miundombinu ya barabara itakua kama Nairobi?Punguzeni negativity. Sio kila kitu lazima mkitolee maoni ya kukosoa.
Ikifika 2027 nenda katembee huko Arusha utakutana na vyote hivyo vinavyopungua muda huu.