Tua Ngoma
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 3,107
- 8,033
Hakuna,kuna ukataji miti,na hii siyo mara ya kwanzaKwa hiyo hakuna ujenzi unaoendelea?
Hakuna,kuna ukataji miti,na hii siyo mara ya kwanzaKwa hiyo hakuna ujenzi unaoendelea?
Na yeye ni chawa wa mama, ana jitafutia nafasi ya juu zaidi. Anajikomba komba. Ila anawasema wenzake.Tumeona ziara ya Comrade Makonda MNEC na mwenezi wa CCM Taifa maeneo mengi ya nchi.
Hata tuliokuwa tuna muona Makonda kama muhalifu (mwenye kudhulumu haki ya kuishi) sasa tuna muona shujaa.
Ukiachana na kuwa watu wengi wana angalia vi clip ambapo vinaonesha jinsi anavyo tatua migogoro kwa ufanisi papo kwa papo, lakini ukifuatilia mikutano yake uta baini ajenda zake hizi pia.
1.Na yeye ni chawa wa mama, ana jitafutia nafasi ya juu zaidi. Anajikomba komba. Ila anawasema wenzake.
2. Ana jijenga yeye, muda wote ana jisifia yeye.. Kauli zake ni kama Makonda kaletwa na Mungu. bila makonda msingejua haya, walifanya makosa kunipa Uenezi, Watu wana taka kuniua, Watumishi wazembe wakisikia Makonda wana tetemeka.
Jamaa ni so grandiose
3. Anacheza ngoma ya wapinzani, kuwavuta kwenye mijadala yake, hasa Tundu Lisu. nawapongeza walivyo mpuuza. Muda mwingi ana tumia kuwapiga Vijembe.
4. Makonda ni yule yule, mwenye uadui na visasi. Mara zote analaumu kuwa ilikuwa ale shavu muda mrefu, ila kila jina lake likipelekwa kwa mama kuna watu wana fungua kesi kuwa eti kadhulumu nyumba (nadhani anamsema boss wa Yanga). "Nmekaa miaka mitatu nje ya mfumo, walikuwa na nafasi ya kunimaliza, sasa hawaniwezi"
TURUDI KWENYE MFUPA MGUMU JIJINI MBEYA
Kulikuwa na mambo kadhaa
Kwa sasa Jijini Mbeya kuna malalamiko ya kificho na bayana kuhusu utendaji Mbovu wa dada Spika. Miaka yake hana cha kujivunia zaidi ya matamasha na jogging.
Kwa kipindi chake cha miaka minne sijui ana jivunia nini, mi natamani nije nimsikilize. anasemaje?
Mitaani hata wale chawa wake maarufu wame ishiwa hoja. wana shindwa kumpamba tena.
Jiji la Mbeya lina asili ya kuongozwa na wapinzani kwa miaka mingi. huenda hii ilipelekea kutopewa kipaumbele. Daladala za kule zilikuwa zina itwa Mzunguko kwa maana ikianza stand kuu ni kuzunguka tu mpka igawilo, hakuna barabara za rami za mitaani tofauti na hizo barabara kuu (Moja ya kwenda dar, nyingine Malawi)
Alipoingia Sugu nadhani alikutana na Upepo wa Bank ya Dunia kujenga barabara za mitaani. kilometers nyingi Zika tandazwa akajipatia sifa.
Wakati wa shujaa mwenda zake, jiji likatengwa likawa ukiwa, hakukuwa na miradi mikubwa.. na mwenda zake akiwa uyole mahali ambapo alizomewa na kulazimishwa kuimba "mabadilikooo Lowasaaaa...." kipindi cha kampeni.
Sasa kawa Rais akawachana "Mlikosea na mnajua mlipo kosea, Mwaka 2020 msifanye tena makosa" Kwa hiyo hata kampeni za dada zika jikita hapo, Mbeya jini hamna Connection ndiyo maana hampewi maendeleo ikawa ni kuwa atakapo chaguliwa jiji lita pendeza tena, zita jengwa barabara nne (Hii ni plan ya kitambo sana, ila kwa kuwa wabongo wengi tuna utapia mlo wa kufikiri tuna ona kama ni kweli dada spika anaweza akajenga barabara nne kwa amri yake), pia waka aminisha watu kuwa mitaani barabara zitajengwa. Jiji litakuwa Evergreen
Intelligence ya CCM nadhani walijua kuwa Mbeya pagumu, Alipo fika makonda akabadilisha mtindo badala ya kusoma mabango, eti yeye ndiyo akawa ana msismamisha mtu na kuanza kumnaga.. akaamua kumtoa kafara meneja wa TARURA Mkoa.. ajieleze kwa nini barabara hazijengwi. " HILO SWALI ALIPASWA KUULIZWA MBUNGE, kwa sababu ndiye aliye ahidi.
Pamoja na promo kuubwa walio ifanya, bado hakukuwa na watu wengi. Wapinzani wakija kufanya maandamano yao pale wata pata watu wengi zaidi.
Amepita Mbeya bila kutatatua wala kuelezea Mambo magumu.. alikuwa na cheap Politics.
Ni Wakat wa CCM mbeya kuji tafakari na kuchukua Hatua kama wana nia ya kuendelea kuliongoza. Kama Sugu atakuwa makini na uchaguzi ukawa siyo uchafuzi, Jimbo lipo wazi.
Mbeya ni mfupa Mgumu.
Kwa uandishi huu ulioandika inaonyesha wazi wewe sio mtu wa mbeyaTumeona ziara ya Comrade Makonda MNEC na mwenezi wa CCM Taifa maeneo mengi ya nchi.
Hata tuliokuwa tuna muona Makonda kama muhalifu (mwenye kudhulumu haki ya kuishi) sasa tuna muona shujaa.
Ukiachana na kuwa watu wengi wana angalia vi clip ambapo vinaonesha jinsi anavyo tatua migogoro kwa ufanisi papo kwa papo, lakini ukifuatilia mikutano yake uta baini ajenda zake hizi pia.
1.Na yeye ni chawa wa mama, ana jitafutia nafasi ya juu zaidi. Anajikomba komba. Ila anawasema wenzake.
2. Ana jijenga yeye, muda wote ana jisifia yeye.. Kauli zake ni kama Makonda kaletwa na Mungu. bila makonda msingejua haya, walifanya makosa kunipa Uenezi, Watu wana taka kuniua, Watumishi wazembe wakisikia Makonda wana tetemeka.
Jamaa ni so grandiose
3. Anacheza ngoma ya wapinzani, kuwavuta kwenye mijadala yake, hasa Tundu Lisu. nawapongeza walivyo mpuuza. Muda mwingi ana tumia kuwapiga Vijembe.
4. Makonda ni yule yule, mwenye uadui na visasi. Mara zote analaumu kuwa ilikuwa ale shavu muda mrefu, ila kila jina lake likipelekwa kwa mama kuna watu wana fungua kesi kuwa eti kadhulumu nyumba (nadhani anamsema boss wa Yanga). "Nmekaa miaka mitatu nje ya mfumo, walikuwa na nafasi ya kunimaliza, sasa hawaniwezi"
TURUDI KWENYE MFUPA MGUMU JIJINI MBEYA
Kulikuwa na mambo kadhaa
Kwa sasa Jijini Mbeya kuna malalamiko ya kificho na bayana kuhusu utendaji Mbovu wa dada Spika. Miaka yake hana cha kujivunia zaidi ya matamasha na jogging.
Kwa kipindi chake cha miaka minne sijui ana jivunia nini, mi natamani nije nimsikilize. anasemaje?
Mitaani hata wale chawa wake maarufu wame ishiwa hoja. wana shindwa kumpamba tena.
Jiji la Mbeya lina asili ya kuongozwa na wapinzani kwa miaka mingi. huenda hii ilipelekea kutopewa kipaumbele. Daladala za kule zilikuwa zina itwa Mzunguko kwa maana ikianza stand kuu ni kuzunguka tu mpka igawilo, hakuna barabara za rami za mitaani tofauti na hizo barabara kuu (Moja ya kwenda dar, nyingine Malawi)
Alipoingia Sugu nadhani alikutana na Upepo wa Bank ya Dunia kujenga barabara za mitaani. kilometers nyingi Zika tandazwa akajipatia sifa.
Wakati wa shujaa mwenda zake, jiji likatengwa likawa ukiwa, hakukuwa na miradi mikubwa.. na mwenda zake akiwa uyole mahali ambapo alizomewa na kulazimishwa kuimba "mabadilikooo Lowasaaaa...." kipindi cha kampeni.
Sasa kawa Rais akawachana "Mlikosea na mnajua mlipo kosea, Mwaka 2020 msifanye tena makosa" Kwa hiyo hata kampeni za dada zika jikita hapo, Mbeya jini hamna Connection ndiyo maana hampewi maendeleo ikawa ni kuwa atakapo chaguliwa jiji lita pendeza tena, zita jengwa barabara nne (Hii ni plan ya kitambo sana, ila kwa kuwa wabongo wengi tuna utapia mlo wa kufikiri tuna ona kama ni kweli dada spika anaweza akajenga barabara nne kwa amri yake), pia waka aminisha watu kuwa mitaani barabara zitajengwa. Jiji litakuwa Evergreen
Intelligence ya CCM nadhani walijua kuwa Mbeya pagumu, Alipo fika makonda akabadilisha mtindo badala ya kusoma mabango, eti yeye ndiyo akawa ana msismamisha mtu na kuanza kumnaga.. akaamua kumtoa kafara meneja wa TARURA Mkoa.. ajieleze kwa nini barabara hazijengwi. " HILO SWALI ALIPASWA KUULIZWA MBUNGE, kwa sababu ndiye aliye ahidi.
Pamoja na promo kuubwa walio ifanya, bado hakukuwa na watu wengi. Wapinzani wakija kufanya maandamano yao pale wata pata watu wengi zaidi.
Amepita Mbeya bila kutatatua wala kuelezea Mambo magumu.. alikuwa na cheap Politics.
Ni Wakat wa CCM mbeya kuji tafakari na kuchukua Hatua kama wana nia ya kuendelea kuliongoza. Kama Sugu atakuwa makini na uchaguzi ukawa siyo uchafuzi, Jimbo lipo wazi.
Mbeya ni mfupa Mgumu.
Hakuna uchaguzi ulioporwa hizo ni theory tu. Kila mkishindwa kwenye uchaguzi hamuishi visingizio, badala yakuangalia mlikosea wapi mnatafuta visingizio. Kwa style yenu ya kupinga kila kitu mnategemea mtamshinda nani kwenye uchaguzi. Mpaka sasa hata presisential canditade wenu kwenye uchaguzi wa mwakani haeleweki halafu mkija kugaragazwa kwenye uchaguzi mnadai mmeibiwa.
Mimi mwenyewe nimelishangaa kumbe sio limtu la Mbeya kumbe halipo Mbeya.Si na wewe huwa unajinasibisha kama mtu wa Mbeya?
Kumbe huwa ni fix tu?!
Fala sana
Mpuuzi kabisa
Hufai kwa lolote.
We ni hasara kwa Taifa letu.
Duh!Hakuna,kuna ukataji miti,na hii siyo mara ya kwanza
Mbeya ujuaji ni mwingi ndo imepelekea mji haueleweki na ndio maana mkoa wa njombe umesha wasoma madhaifu yao kipindi Cha nyuma mbeya iliongoza kwa ulimaji wa parachichi now ni njombe haitoshi njombe wameamua kutenga mji special kwa uwekezaji mkubwa shida mbeya ujuaji na siasa wamezipa kipaumbele sana jiji mpangangilio ovyo Barabara za mitaa za kuhesabu nyingi vumbi nyumba za biscut za kutosha na tayari eneo limejaa waliandaa master plan imeshavurugwaPumbavu,mijitu ya huko ni kipumbavu na ilimradi inishe ndio maana ujuaji umefanya limji lenu Lowe la kipumbavu sababu ya ubishi usio na Tija.
Wewe na Hilo jenzako ni mapumbu hamjielewi ndio mnaosababisha limji lenu linakuwa la hovyo.We Mp.mbavu jaribu kuficha Upum.bavu wako .
kumbe haupo Mbeya..?
yaani jiji liwe la kipumbavu sababu ya mijitu ya huko?! we upo wapi?!
Nani kakudanganya Mbeya jiji kuna ujenzi wa barabara Nne una endelea.?!
Kumbuka Mbalizi siyo Mbeya Jiji.
Tatizo la Mbeya sio Halmashauri sijui nini Bali ni ujuaji wa kipumbavu,Wana hususu siasa za kindezi na migogoro badala ya Maendeleo.Umeongea point tupu mkuu ila watakuja wanyakyusa wanaojua Mbeya ni Uyole tu watakupinga!
Jiji la Mbeya lingegawanywa katika halmashauri mbili ili kurahisisha maendeleo,jiji la Mbeya ni pana sana aisee kwa bahati Mbaya wafanya maamuzi wanaijua Mbeya barabarani tuu(TANZAM).
Sasa kama watu mnaowaona ni WA maana kwenu ni dizaini ya kina Mdude,Sugu na Mwabukusi unategemea nini hapo?Tumeona ziara ya Comrade Makonda MNEC na mwenezi wa CCM Taifa maeneo mengi ya nchi.
Hata tuliokuwa tuna muona Makonda kama muhalifu (mwenye kudhulumu haki ya kuishi) sasa tuna muona shujaa.
Ukiachana na kuwa watu wengi wana angalia vi clip ambapo vinaonesha jinsi anavyo tatua migogoro kwa ufanisi papo kwa papo, lakini ukifuatilia mikutano yake uta baini ajenda zake hizi pia.
1.Na yeye ni chawa wa mama, ana jitafutia nafasi ya juu zaidi. Anajikomba komba. Ila anawasema wenzake.
2. Ana jijenga yeye, muda wote ana jisifia yeye.. Kauli zake ni kama Makonda kaletwa na Mungu. bila makonda msingejua haya, walifanya makosa kunipa Uenezi, Watu wana taka kuniua, Watumishi wazembe wakisikia Makonda wana tetemeka.
Jamaa ni so grandiose
3. Anacheza ngoma ya wapinzani, kuwavuta kwenye mijadala yake, hasa Tundu Lisu. nawapongeza walivyo mpuuza. Muda mwingi ana tumia kuwapiga Vijembe.
4. Makonda ni yule yule, mwenye uadui na visasi. Mara zote analaumu kuwa ilikuwa ale shavu muda mrefu, ila kila jina lake likipelekwa kwa mama kuna watu wana fungua kesi kuwa eti kadhulumu nyumba (nadhani anamsema boss wa Yanga). "Nmekaa miaka mitatu nje ya mfumo, walikuwa na nafasi ya kunimaliza, sasa hawaniwezi"
TURUDI KWENYE MFUPA MGUMU JIJINI MBEYA
Kulikuwa na mambo kadhaa
Kwa sasa Jijini Mbeya kuna malalamiko ya kificho na bayana kuhusu utendaji Mbovu wa dada Spika. Miaka yake hana cha kujivunia zaidi ya matamasha na jogging.
Kwa kipindi chake cha miaka minne sijui ana jivunia nini, mi natamani nije nimsikilize. anasemaje?
Mitaani hata wale chawa wake maarufu wame ishiwa hoja. wana shindwa kumpamba tena.
Jiji la Mbeya lina asili ya kuongozwa na wapinzani kwa miaka mingi. huenda hii ilipelekea kutopewa kipaumbele. Daladala za kule zilikuwa zina itwa Mzunguko kwa maana ikianza stand kuu ni kuzunguka tu mpka igawilo, hakuna barabara za rami za mitaani tofauti na hizo barabara kuu (Moja ya kwenda dar, nyingine Malawi)
Alipoingia Sugu nadhani alikutana na Upepo wa Bank ya Dunia kujenga barabara za mitaani. kilometers nyingi Zika tandazwa akajipatia sifa.
Wakati wa shujaa mwenda zake, jiji likatengwa likawa ukiwa, hakukuwa na miradi mikubwa.. na mwenda zake akiwa uyole mahali ambapo alizomewa na kulazimishwa kuimba "mabadilikooo Lowasaaaa...." kipindi cha kampeni.
Sasa kawa Rais akawachana "Mlikosea na mnajua mlipo kosea, Mwaka 2020 msifanye tena makosa" Kwa hiyo hata kampeni za dada zika jikita hapo, Mbeya jini hamna Connection ndiyo maana hampewi maendeleo ikawa ni kuwa atakapo chaguliwa jiji lita pendeza tena, zita jengwa barabara nne (Hii ni plan ya kitambo sana, ila kwa kuwa wabongo wengi tuna utapia mlo wa kufikiri tuna ona kama ni kweli dada spika anaweza akajenga barabara nne kwa amri yake), pia waka aminisha watu kuwa mitaani barabara zitajengwa. Jiji litakuwa Evergreen
Intelligence ya CCM nadhani walijua kuwa Mbeya pagumu, Alipo fika makonda akabadilisha mtindo badala ya kusoma mabango, eti yeye ndiyo akawa ana msismamisha mtu na kuanza kumnaga.. akaamua kumtoa kafara meneja wa TARURA Mkoa.. ajieleze kwa nini barabara hazijengwi. " HILO SWALI ALIPASWA KUULIZWA MBUNGE, kwa sababu ndiye aliye ahidi.
Pamoja na promo kuubwa walio ifanya, bado hakukuwa na watu wengi. Wapinzani wakija kufanya maandamano yao pale wata pata watu wengi zaidi.
Amepita Mbeya bila kutatatua wala kuelezea Mambo magumu.. alikuwa na cheap Politics.
Ni Wakat wa CCM mbeya kuji tafakari na kuchukua Hatua kama wana nia ya kuendelea kuliongoza. Kama Sugu atakuwa makini na uchaguzi ukawa siyo uchafuzi, Jimbo lipo wazi.
Mbeya ni mfupa Mgumu.
na zle kura za kwny mabegi zlitoka wp? Kama huwa mnashnda kihalali kwann hamtak tume huru mnalazmisha tume iliyojaa makada wa ccm walioteuliwa na mwnykt wa ccm, kama mlishnda kihalali yako wp matokeo ya uchaguz yanayowekwaga online na tume, mwsho TWAMBIE NI MAENDELEO GN WATZ TUMEPATA BAADA YA CCM KUIBA CHAGUZ ZOTE 2 MITAA NA MKUU WAKABAK WNYW MAANA TULIAMBIWA HATUPATI MAENDELEO SBB TUMECHAGUA UPNZAN HAYA TUAMBIE HAYO MAENDELEO YAKO WP AU ndo hzo tozo, umeme wa magumash, sukari nk.Hakuna uchaguzi ulioporwa hizo ni theory tu. Kila mkishindwa kwenye uchaguzi hamuishi visingizio, badala yakuangalia mlikosea wapi mnatafuta visingizio. Kwa style yenu ya kupinga kila kitu mnategemea mtamshinda nani kwenye uchaguzi. Mpaka sasa hata presisential canditade wenu kwenye uchaguzi wa mwakani haeleweki halafu mkija kugaragazwa kwenye uchaguzi mnadai mmeibiwa.