Tuyuku
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 3,292
- 1,935
Unalizungumzia jiji la Mwanza ambalo mvua ikinyesha nusu saa tu barabara hazipitiki?Kwangu Mimi Arusha na Mwanza ndio majiji bora......
Unalizungumzia jiji la Mwanza ambalo mvua ikinyesha nusu saa tu barabara hazipitiki?Kwangu Mimi Arusha na Mwanza ndio majiji bora......
Acha uwongo. Mfikemo hajawahi kumiliki ghorofa. Hadi leo hana. Acha stori za vijiweni, tafiti.Mi ninachokumbuka nimeacha watoto wawili huko dume na jike enzi hizo kutoka mafiati to uyole ghorofa refu"mbili" lilikua mwanjelwa la jamaa mmoja anaitwa mfikemo ila juzi kati naona wamejitahidi kuanzia pale njia panda ya air port/mafiati/uyole wamejenga viota. Mwanjelwa/kabwe/soweto/tunaruka hadi Ilomba na uyole hapa ndio jiji linatakiwa kuonyesha taswira.
Hata ukilinganisha tu Moshi na jiji la Mbeya ni vitu viwili tofauti,Moshi inavutia zaidi kuliko jiji la Mbeya,huko nyuma niliwahi sema Iringa mjini inavutia zaidi kuliko jiji la Mbeya,hiyo ipo wazi tu...Hata ukija mkoa wa Mbeya mzima hauwezi kuufikia mkoa wa Kilimanjaro kwa vyovyote iwavyo nafikiri hata haiwezi ukaikuta mkoa wa Kagera kwa standard za nyumba n.kHapa unamaanisha Mkoa wa Mbeya au mji/jiji la Mbeya? Huwezi kuzungumzia kujengwa kwa MKOA WA MBEYA, ukisema mkoa hapo unajumlisha hadi Tukuyu, Kyela, Tunduma, Mbalali nk, pamoja na vijiji vyake vyote.
Mfikikemo hana Ghorofa na hajawai kumiliki ghorofa. Kwahiyo wewe kwa maelezo yako unafikiri jiji zuri ni lipi?Acha uwongo. Mfikemo hajawahi kumiliki ghorofa. Hadi leo hana. Acha stori za vijiweni, tafiti.
But huwezi linganisha standard ya nyumba za Ngarenaro,Mbauda,Mbauda au hata Matejoo na aina ya makazi ya Mwanjelwa,Simike,Uyole n.knchi hii haiishi vituko hivi we arusha ninayoijua unamcheka mtu wa mbeya!!!!. Hivi mianzini, ngarenaro, mbauda na kwa mrombo ni maeneo yaliyopangika eeh
Hauwezi kufika kwa lipi....tukisema vivutio ni kweli kuna mlima kilimaanjaro na migodi mikubwa ya amadini lkn hivyo vyote ni mali ya serikali... Kama boda ya masaa 24 hata mbeya ipo na ni mbili tu hapa Tanzania kuna ya mbeya na namanga arusha. Kwa mzunguko wa kibiasha mbeya ipo juu sasa sijui hapa tunashindana nini? Kama ni mipango miji nakushauri usiongelee kabisa maana Tanzania ukiondoa dar kidogo mikoa mingine chenga tupu.Hata ukilinganisha tu Moshi na jiji la Mbeya ni vitu viwili tofauti,Moshi inavutia zaidi kuliko jiji la Mbeya,huko nyuma niliwahi sema Iringa mjini inavutia zaidi kuliko jiji la Mbeya,hiyo ipo wazi tu...Hata ukija mkoa wa Mbeya mzima hauwezi kuufikia mkoa wa Kilimanjaro kwa vyovyote iwavyo nafikiri hata haiwezi ukaikuta mkoa wa Kagera kwa standard za nyumba n.k
Bange hizi au Elimu duni ya kaka Mulugo
Toa vigezo hapa kuniaminisha Uyole inashindwa na mtaa wa hovyo hovyo kama Majengo!But huwezi linganisha standard ya nyumba za Ngarenaro,Mbauda,Mbauda au hata Matejoo na aina ya makazi ya Mwanjelwa,Simike,Uyole n.k
Kuna sehemu chache sana Moshi ambazo ni squatter area but most of them wamejenga katika mpangilio mzuri na unaofikika kwa gari,ila kwa Mbeya maeneo yaliyopangiliwa ni machache sanaHauwezi kufika kwa lipi....tukisema vivutio ni kweli kuna mlima kilimaanjaro na migodi mikubwa ya amadini lkn hivyo vyote ni mali ya serikali... Kama boda ya masaa 24 hata mbeya ipo na ni mbili tu hapa Tanzania kuna ya mbeya na namanga arusha. Kwa mzunguko wa kibiasha mbeya ipo juu sasa sijui hapa tunashindana nini? Kama ni mipango miji nakushauri usiongelee kabisa maana Tanzania ukiondoa dar kidogo mikoa mingine chenga tupu.
Acha uwongo. Plan ya Songwe International Airport ipo tangu miaka ya sabiniHata huo uwanja wa ndege ulikuwa wa mwanza but mwandosya akaupora kinguvu kabisa akaupeleka mbeya.
Hata ukilinganisha tu Moshi na jiji la Mbeya ni vitu viwili tofauti,Moshi inavutia zaidi kuliko jiji la Mbeya,huko nyuma niliwahi sema Iringa mjini inavutia zaidi kuliko jiji la Mbeya,hiyo ipo wazi tu...Hata ukija mkoa wa Mbeya mzima hauwezi kuufikia mkoa wa Kilimanjaro kwa vyovyote iwavyo nafikiri hata haiwezi ukaikuta mkoa wa Kagera kwa standard za nyumba n.k
Mbeya Hotel ipo tangu miaka ya 1950Mtazamo wako kidogo una shida, Mbeya hotel imejengwa miaka ya 70 unategemea Leo hii iweje? Paradise miaka ya 90 unategemea Leo ifananeje? Ukienda Arusha ukafikia Arusha hakuna lodge za zamani? Mtazamo wako kidogo una shida rift valley! Mbeya peak.! Hizi hukujaribu? Japo pia ni za 90s. Mwisho nadhani kuna makosa kwenye maoni yako. Coz bado Luna mkulu hotel na nyingine nyingi tu.
Mbeya Hotel ipo tangu miaka ya 1950
Tuache kupoteza muda kwa mambo ya kijinga katika nchi hii hakuna mtu yeyote anaeweza kumnyoshea kidole mwenzake kuwa mkoa wake ni bora zaid ya mwingne... Mikoa yote mipango ya miji ni sifuri....