masanzu
JF-Expert Member
- May 6, 2013
- 605
- 219
njomba baada ya dar ni mwanza njomba kwingine ndy kunafuatiaMwanza gani unayoisema? hata Arusha ninayojua! Ndiyo maana tunadharauliwa na nchi za jirani! hivi ni wapi Tanzania hii ambapo mtu anaweza kuwacheka sehemu nyingin ya Tz,hebu acheni kuleta ujinga wenu hapa.