msafwa93
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 4,840
- 6,141
Kwenye red nipe sababu Mr,
Mkuu The hammer Danp36 amekudanganya,MBEYA hauwez kujenga zaid ya ghorofa 4,na sio 6 kama anavodai..
Last edited by a moderator:
Kwenye red nipe sababu Mr,
Kwangu Mimi Arusha na Mwanza ndio majiji bora......
sijui ni vigezo gani vinatumika kuupandisha mji kuwa jiji lakini kwa Mbeya na Tanga TAMISEMI walichemsha, hii miji inashindwa hata na mji wa Dodoma kwa kweli...kipindi cha Pasaka nilikuwa Dodoma yaani pale pako bize sana na mzunguuko wa pesa ni mkubwa labda kutokana na shughuli iliyonipeleka pale sijui kwa seckta zingine...pale Arusha napo ni padogo mno yaani kamji kamejibana sehemu moja tuu, ukiitembea mwendo wa kilometa 5 tuu upo nje ya mji....Mwanza ni nyumbani naomba nitoe pongezi kwa Wasukuma wenzangu mlioamua kubaki na kuuendeleza mji, ndiyo sehemu pekee ambayo nikiwa nje ya Dar bado najiona nipo mjini nikiwa Mwanza, ni pazuri sana.
Ukisikia jiji la mbeya utafikiri bonge la jiji kumbe upuuzi mtupu. sasa hapa kati nilipata safari ya mbeya nikakwepa fastjet ile kutua kwa kweli uwanja wa songwe ni mzuri kiasi (pengine kwa sababu ya upya) sasa tukapanda shuttle kwenda mjini 10,000/= (bei ya kulangua) nikafika hoteli ambayo ndio wanaisifia ni classic (Mbeya hotel) duuh ni kama nyumba ya makumbusho nikamuambia dereva nipeleke nyingine tukaenda Paradise Hotel (nayo ya kipuuzi pia) nikaenda nyingine (GR City) daah ndo nikajua kumbe zile sifa za wanyakyusa hapo Dar kwao hamna lolote sasa sehemu ya kula ndo ishu yaani labda uende CITY PUB hakuna sehemu nzuri ya kupata varieties.
Poor Mbeya inastahili kuitwa KIJIJI CHA MBEYA si JIJI LA MBEYA mmekalia UCHAWI tu.
Ukisikia jiji la mbeya utafikiri bonge la jiji kumbe upuuzi mtupu. sasa hapa kati nilipata safari ya mbeya nikakwepa fastjet ile kutua kwa kweli uwanja wa songwe ni mzuri kiasi (pengine kwa sababu ya upya) sasa tukapanda shuttle kwenda mjini 10,000/= (bei ya kulangua) nikafika hoteli ambayo ndio wanaisifia ni classic (Mbeya hotel) duuh ni kama nyumba ya makumbusho nikamuambia dereva nipeleke nyingine tukaenda Paradise Hotel (nayo ya kipuuzi pia) nikaenda nyingine (GR City) daah ndo nikajua kumbe zile sifa za wanyakyusa hapo Dar kwao hamna lolote sasa sehemu ya kula ndo ishu yaani labda uende CITY PUB hakuna sehemu nzuri ya kupata varieties.
Poor Mbeya inastahili kuitwa KIJIJI CHA MBEYA si JIJI LA MBEYA mmekalia UCHAWI tu.
Mkuu huyu ni wa kuhurumia tu! Atakuwa anaizungumzia Mwanza ya Madaso na siyo Mwanza tunayoifahamu!Mkuu Bateko kama umetumia saa tatu toka Nyakato hadi Liberty lazima ulikuwa unatumia baiskeli zile za walemavu za wheelchair. Nyakato hadi Liberty kwa miguu hardly nusu saa, kwa gali wakati WA foleni ya asubuhi dk 25, mida mingine isiyo na foleni Ni dakika 10 tu. Msiwe mnatupia uongo humu as if wasomaji ni watoto wadogo.
"Mbeya ni kijiji kikubwa"......By Olenjolay...
Kwi kwi kwi kwi kwi.....Teh teh teh teh teh....Ha ha ha ha
mimi sijadanganya mkuu...ghorofaya tra zipo ngapi?na hotel na shule ya uwata rrm?zinafika sota..usiseme usichokijua @ somji jumaMkuu The hammer Danp36 amekudanganya,MBEYA hauwez kujenga zaid ya ghorofa 4,na sio 6 kama anavodai..
kumbe mgeni