SSH2025_2030
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 9,661
- 9,753
Mbeya punguzeni SIFA za ajabu ajabu na UCHAWI
Ukisikia jiji la mbeya utafikiri bonge la jiji kumbe upuuzi mtupu. sasa hapa kati nilipata safari ya mbeya nikakwepa fastjet ile kutua kwa kweli uwanja wa songwe ni mzuri kiasi (pengine kwa sababu ya upya) sasa tukapanda shuttle kwenda mjini 10,000/= (bei ya kulangua)
Mleta thread anamaanisha UCHAWI wa kuwanga yaani kulogakama mnaona wamelala kwanini msiitumie hiyo fursa kufungua HOTEL NA PUB za hadhi muitakayo?
Kama vp mtuache watu wa mbeya ,tumeridhika na mji wetu
uliyesema sisi wachawi , ni UCHAWI gani unaozungumzia hapa?..maana unafki kama wa mtoa thread nao ni UCHAWI pia!
Karibuni MBEYA muwekeze, ili iwe vile mnavyoiwazia
Ulozi ndio nin?Mbeya sijui tatizo ni nini hasa, maana ni kama HIROSHIMA-NAGASAKI baada ya kupigwa bomu na marekani vita vya 2 ya dunia kuisha. Sasa Kazi tu mpunguze ULOZI!!!
Hata Dodoma , Moshi na tanga kuna hotel nzuri bombaUkiwa nje ya Dar majiji ni Arusha na Mwanza tu.................Arusha na Mwanza hutoboreka.....kumechangamka......sehemu classic na kisasa kutembelea zipo kibao.....si mji unaitwa jiji unaomba kupelekwa hotel 1st class unapelekwa hotel za Temeke stereo nafuu..........:der:
Kweli Mbeya Kwa sasa ni makao makuu ya Ndumba za kila aina .Mbeya sijui tatizo ni nini hasa, maana ni kama HIROSHIMA-NAGASAKI baada ya kupigwa bomu na marekani vita vya 2 ya dunia kuisha. Sasa Kazi tu mpunguze ULOZI!!!
Kiuhalisia huwezi kuifananisha Moshi na Mbeya kwa Uzuri wa mji na majengo hata mandhari yake...kamwe hiyo nakataaHata Dodoma , Moshi na tanga kuna hotel nzuri bomba