Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,371
- 14,481
mimi hii post yako nairipoti lakini nakushauri ifute utapata shida wadau wakiingia humu wapo wengi kichizi. Hujui hao unaowaita Wachawi ndio wanaolisha familia yako!? mimi nimekaa hapo mbeya kwa miezi 6 mfululizo. Huwezi kufananisha na mkoa mwingine wowote kwa mahitaji muhimu, chakula, hewa safi, utulivu, watu wastaarabu yaani mimi huwa naliita jiji la mbeya StressFree City.
Bora bhana umempa ukweli huyu jamaa,Watu tumepatia maisha pale,halafu yeye anatuletea dharau,hivi cjui alizaliwa wapi huyu!!!.