Jiji la Mbeya kama kijiji

Jiji la Mbeya kama kijiji

mimi hii post yako nairipoti lakini nakushauri ifute utapata shida wadau wakiingia humu wapo wengi kichizi. Hujui hao unaowaita Wachawi ndio wanaolisha familia yako!? mimi nimekaa hapo mbeya kwa miezi 6 mfululizo. Huwezi kufananisha na mkoa mwingine wowote kwa mahitaji muhimu, chakula, hewa safi, utulivu, watu wastaarabu yaani mimi huwa naliita jiji la mbeya StressFree City.

Bora bhana umempa ukweli huyu jamaa,Watu tumepatia maisha pale,halafu yeye anatuletea dharau,hivi cjui alizaliwa wapi huyu!!!.
 
kama mnaona wamelala kwanini msiitumie hiyo fursa kufungua hotel na pub za hadhi muitakayo?
Kama vp mtuache watu wa mbeya ,tumeridhika na mji wetu
uliyesema sisi wachawi , ni uchawi gani unaozungumzia hapa?..maana unafki kama wa mtoa thread nao ni uchawi pia!
Karibuni mbeya muwekeze, ili iwe vile mnavyoiwazia

i love my green city,god bless you mbeya.
 
Du Wanyakyusa tena wametoka wapi na dharau zako hizo? wewe ni mkabila na uwezo wako wa kichwani mdogo sana! Wewe umetokea nchi gani? ni Tz hii hii tunayoijua? Kama umeona watu wa Mbeya ni watu wa hovyo tu kama ulivyoandika basi una heri wewe uliyotokea Jiji zuri tuachie kijiji chetu usitukane watu hapa na kuleta chuki zako za kijinga. Wewe kwenu wapi ambako ni kuzuri sana na hakuna wachawi? hata kama n kubaya sisi ni kwetu tu,hongera zako uliyotoka sehemu isiyo ya hovyo hapa Tanzania. Ama kweli jf imevamiwa na watu wenye akili ndogo!

Mkuu ngoja tumsamehe kwa maana hajui aliloliandika.
 
Kwa hiyo ndo kusema wewe una akili sana kuliko wataalamu wote walioipandisha hadhi Mbeya hadi kuwa jiji.
Wanaweza kuwa pia wanatofautiana ktk hisia na mitizamo mengine iliyoamua mbeya iwe jiji.
 
kwanza ulipaswa kututajia kwenu wapi kabla ya kutuandikia upuuzi wako. Hizo hotel nzuri kwenye majiji unayoyapa credit ulijenga wewe?
 
Ndo nasoma Leo huu upuuzi so kwa Kigezo cha hotel Mbeya inabidi iwe kijiji.Nitajie kijiji gani kuanzia na kwenu kwenye ata izo mbaya unazosema.
Kumbuka Dreva wa Tax alikupeleka hotel za hadhi yako.
Fuatilia Koffi Annan Mara ya mwisho alilala wapi napo uende Tax charge isije ikakuahinda kulipa ndo wasi wasi wangu.
Alafu zama izi watu mwaongelea uchawi ivi how do you rate it kama nawe si mchawi.
Kumbuka vigezo vya kuwa jiji na pia kumbuka apo ndo kitovu cha foodbasket of the nation.
Next time ukija tafuta wenyeji sio unakurupuka tuu.
 
Ukisikia jiji la mbeya utafikiri bonge la jiji kumbe upuuzi mtupu. sasa hapa kati nilipata safari ya mbeya nikakwepa fastjet ile kutua kwa kweli uwanja wa songwe ni mzuri kiasi (pengine kwa sababu ya upya) sasa tukapanda shuttle kwenda mjini 10,000/= (bei ya kulangua) nikafika hoteli ambayo ndio wanaisifia ni classic (Mbeya hotel) duuh ni kama nyumba ya makumbusho nikamuambia dereva nipeleke nyingine tukaenda Paradise Hotel (nayo ya kipuuzi pia) nikaenda nyingine (GR City) daah ndo nikajua kumbe zile sifa za wanyakyusa hapo Dar kwao hamna lolote sasa sehemu ya kula ndo ishu yaani labda uende CITY PUB hakuna sehemu nzuri ya kupata varieties.

Poor Mbeya inastahili kuitwa KIJIJI CHA MBEYA si JIJI LA MBEYA mmekalia UCHAWI tu.
Njoo jiji la Tanga ulale Tanga Beach Resort,si unapenda maeneo mazuri ya kulala?
 
Mtazamo wako kidogo una shida, Mbeya hotel imejengwa miaka ya 70 unategemea Leo hii iweje? Paradise miaka ya 90 unategemea Leo ifananeje? Ukienda Arusha ukafikia Arusha hakuna lodge za zamani? Mtazamo wako kidogo una shida rift valley! Mbeya peak.! Hizi hukujaribu? Japo pia ni za 90s. Mwisho nadhani kuna makosa kwenye maoni yako. Coz bado Luna mkulu hotel na nyingine nyingi tu.
 
Yaani wewe lengo la kuhama hama hotel zote hizo ni ili kutafuta tu sehemu ya kulala au ulikuwa na agenda gani nyingine?

Mimi nadhani wewe hata Mbeya hujawahi fika umeulizia tu majina ya hotel ndio unakuja kujidai mjanja hapa!

Umetongoza demu kutoka Mbeya umepewa za uso umeona uje kutukana tukana hapa, jipange dogo!
Ukisikia jiji la mbeya utafikiri bonge la jiji kumbe upuuzi mtupu. sasa hapa kati nilipata safari ya mbeya nikakwepa fastjet ile kutua kwa kweli uwanja wa songwe ni mzuri kiasi (pengine kwa sababu ya upya) sasa tukapanda shuttle kwenda mjini 10,000/= (bei ya kulangua) nikafika hoteli ambayo ndio wanaisifia ni classic (Mbeya hotel) duuh ni kama nyumba ya makumbusho nikamuambia dereva nipeleke nyingine tukaenda Paradise Hotel (nayo ya kipuuzi pia) nikaenda nyingine (GR City) daah ndo nikajua kumbe zile sifa za wanyakyusa hapo Dar kwao hamna lolote sasa sehemu ya kula ndo ishu yaani labda uende CITY PUB hakuna sehemu nzuri ya kupata varieties.

Poor Mbeya inastahili kuitwa KIJIJI CHA MBEYA si JIJI LA MBEYA mmekalia UCHAWI tu.
 
Wanaweza kuwa pia wanatofautiana ktk hisia na mitizamo mengine iliyoamua mbeya iwe jiji.
Kwahiyo unataka kuniambia Sehemu kupandishwa hadhi kuwa mji,manispaa,hadi jiji inategemea Hisia za watu na sio Vigezo vya kitaalamu kadri ya Tasnia ya Mipango miji siyo???.
 
Kwahiyo unataka kuniambia Sehemu kupandishwa hadhi kuwa mji,manispaa,hadi jiji inategemea Hisia za watu na sio Vigezo vya kitaalamu kadri ya Tasnia ya Mipango miji siyo???.
Ndio nimekuambi sio nataka kuambia.Kwanini shida nini km mawaziri wanachaguliwa kishikaji na kutoheshimu taaluma wala weledi.Kwanini mikakati ya kipuuzi isitumike hata ktk haya majiji?
 
Kwahiyo unataka kuniambia Sehemu kupandishwa hadhi kuwa mji,manispaa,hadi jiji inategemea Hisia za watu na sio Vigezo vya kitaalamu kadri ya Tasnia ya Mipango miji siyo???.
Sio nataka ,ila nimekuambia.Kwani haliwezekani?
 
Mkuu pole sana inaonekana wamekuboa sana hapo Mbeya...

Kwenye suala la hotels nakubaliana na wewe, the last time nimeenda hapo biz trip nililala Beaco ambayo ndo walikuwa wanasema ni iko juu,, but ni kawaida sana. Anyway kwa kuwa ndio wamefunguka angani recently labda zitajengwa standard hotels maana hiyo Paradise vyumba vidogo kama gesti hausi

Inategemea bajeti yako. Kama unataka chumba cha laki kushuka chini lazima utapelekewa huko
 
Mbeya ni mji wa kipuuz kama alivyosema mtoa mada. wao wanapenda sifa za kijinga tu lakini opportunities zipo ukizingatia upo njia panda ya MALAWI, ZAMBIA/ZIMBABWE/CONGO DR lakin kinachoiangusha mbeya ni UCHAWI narudia tena UCHAWI halafu ukiwakuta jumapili wanajazana makanisani utafikiri kweli wacha Mungu kumbe sanaa tu.
Kama weee siyo mchawi sasa unajuaje wenzako wachawi ??? Ila sikushangiii kwani utakuwa ulijichanganya watu wakakuombea basi ukawaita wachawi hooooooiiiiiii mbeya patam bana acha ujima wako haaaa
 
Narudia tena Mbeya ni KIJIJI na si JIJI asilani. Yaani inashindwa hata na kimji kama NJOMBE? Aibu Wanyakyusa na mbwembwe zenu mkifika DAR
 
Back
Top Bottom