Jiji la Mbeya kama kijiji

Jiji la Mbeya kama kijiji

andreakalima,


Mbeya haistahili kuitwa jiji.

Shida kubwa inayoukumba mji wa Mbeya ni watu washamba lakini wajuaji na wabishi. Hawataki mawazo mapya hasa yakitolewa na mtu asiye mwenyeji wa kule na ndiyo sababu wamedumaa. Kinachowafanya watu wasichangamkie sana uwekezaji Mbeya ni ubaguzi, ukabila, majungu, fitina, wivu na uchawi. Hizo ndizo sifa za watu wa Mbeya. Ni watu wabaya sana.

Ukiwaona wanachekacheka ni kwa sabbu ya unafiki na umalaya lakini sifa zao asilia ni zile hapo juu.

Mji wa Mbeya pengine ulipewa hadhi ya jiji kwa sababu ya ujenzi holela na nguvu za majungu na unafiki.

Hakuna kitu kule.
 
I see..hapo umedanganya
AICC na zile hotel hazizidi 4 kingine nn Arusha kinacho izidi Mbeya?Wao Arusha hawana hospital kama yetu nzuri ya rufaa,hawana uwanja mzuri wa ndege kama wetu na hawana TAZARA kama yetu pale Iyunga

Jamaa kakurupuka tu kuikandia The Greatest City of Mbeya,The City of Mwandosya!
 
Nahisi mtoa Post amelewa au anafikiria kwa kutumia viroba au ndio wale waliofoji vyeti vya shule ili kupata kazi...na nina kila sababu ya kumwit mpumbavu.Hivi anajua Vigezo vinavyoupa mkoa Hadhi ya Jiji? Kama unagikiri jiji ni majengo ur total wrong.Mbeya ni mkoa pekee wenye boda kubwa mbili ya Tunduma na kasumulu hizi zote zinaiingizia mkoa mapato makubwa sana.Pili ni mkoa unaoongoja kwa kilimo cha kila aina,mpunga,mahindi na kila aina ya mazao hupatika kule.Vyanzo hivi huviingizia mkoa mapato makubwa sana.Tatu ni mkoa wa kibiashara ni watu wachapakazi na uchumi wake upo juu ndio sababu iliyopelekewa kupewa hadhi ya jiji.Mkoa kupewa hadhi ya jiji huzingatia mzunguko wa pesa na population ya watu.Nasikita sana kwa kauli uliotoa ningekuwa karibu ningekulamba kofi.
 
House arrangement, barabara, usafiri( private nd public), hotels( sehemu za kulala), sehemu za kula (restaurants), mpangilio wa mitaa, sehemu za kufanya shopping, hivyo vitu kwa mimi binafsi vinaiondolea mbeya hadhi ya kuitwa jiji,
Kwa maneno haya nakuunga mkono. Na kwamba kwa hoja zako, Tanzania hakuna jiji hata moja. Hakuna mjini wenye mpangilio mbovu kuzidi Dar. Sahau maeneo ya Posta, Mikocheni, Masaki, Oysterbay na Msasani. Kwingine kote ni ujenzi holela.
 
Nimefika miji yote mikubwa Tanzania. Nimeishi Dar miaka kumi, nimeishi Arusha, nimeishi Mwanza, nimeishi Tanga, nimeishi Dodoma na sasa naishi Mbeya. Hakuna mji wa kuucheka mwenzake. Lakini angalau Mbeya hakuna stress za maisha kama hiyo mingine.
 
HUWA HAWAKURUPUKI TU NA KUITA MJI JIJI KUNA VIGEZO NA MIE NATAKA KUAMINI KUWA VILIZINGATIWA.
 
Kuna mtu kaniambia kuwa cku izi barabara za mitaan zinaanza kuwekwa lami. huu mji ulipewa hadhi ya jiji kisiasa manake barabara ilikuwa moja tu ya lami inakatiza mjini. kwa kifupi hadi sasa mwanza peke yake ndo inastahili kuwa jiji after dar, Arusha kwa mbaali ila tanga na mbeya mmmmmh!
No research no right to speak. Wakati Mbeya inapewa hadhi ya jiji hapo Julai 1, 2005 kulikuwa na lami barabara zote muhimu mjini. Pia mitaa yote katikati ya jiji ilikuwa tayari na lami. Nakutajia. Barabara kuu ya Tanzam, Independent Avenue, Karume Avenue, Kaunda Avenue, Hospital Hill, Lumumba, Jamatikhana, Jacaranda, Mbalizi Road, Panorama, West, East, North, South, Acacia, Market Square, Lupa Way, Post Way, Sisimba, Barabara ya Kwanza, Ya Pili, Ya Tatu, na nilizozisahau. Msiseme tu ilimradi mseme.
 
Tanzania hakuna jiji lenye mpangilio mzuri....tukilinganisha na majiji ya nchi zingine za Afria...poor city plan hata inaonekana ya kawaida kwa wale waliobahatika kuona miji ya watu.wewe kama ulienda kula mbeya hotel ina maana hata huyo alie kuonyesha hakuufahamu vizuri mji.Mwanza z the second city in tz but nilipofika kule sikuon tofauti kwani city plan ya tz iliishakosewa tangu apo awali....Acheni kubishana vitu msivyovijua maana hakuna jiji lenye mpangilio mzuri Tz
 
kiukweli mbeya bado sana kwa mara ya kwanza kufika mbeya nilikaa ilomba nikawauliza wenyeji mjini mbali sana wakasema hapa ndio town nilijinyamazia mbeya mipangomiji ni vurugu tupu ,Tanga wamesaidiwa na mji kupangika lakini nako hamna kitu kweli Moshi kuzuri
Aliyekudanganya Ilomba ndo mjini alikuvuruga. Ilomba kwa Mbeya ni kama Mbagara Rangi Tatu. Sasa Mbagara ndo mjini?
 
Uzuri wa makazi ya kuishi kuliko Mbeya je?

nchi hii haiishi vituko hivi we arusha ninayoijua unamcheka mtu wa mbeya!!!!. Hivi mianzini, ngarenaro, mbauda na kwa mrombo ni maeneo yaliyopangika eeh
 
Mi nafikiri watu Arusha msitupotezee mda hapa....kama kuna mtu anawaambia mji wenu ni bora zaidi kuliko Mbeya basi mtakuwa mmelewa Mbege..maana hakuna jipya na mpango miji yake ni mibovu kama ya mwanza na Dar pia...ktk miji inayokuja vizuri kwa mipango miji yenye mpangilio mzuri basi ni Dodoma
 
andreakalima,
Kwanza umeanza kulialia kwa nauli tsh 10000.uoni kama wewe ni lofa pili umepanda ndege ya watu mafukara na ndio maana hata huyo dreva ulipomwambia nataka hoteli.akakupeleka zile za bei chee!kwenu jiji gani
 
The hammer,

Hapa unamaanisha Mkoa wa Mbeya au mji/jiji la Mbeya? Huwezi kuzungumzia kujengwa kwa MKOA WA MBEYA, ukisema mkoa hapo unajumlisha hadi Tukuyu, Kyela, Tunduma, Mbalali nk, pamoja na vijiji vyake vyote.
 
Ukilinganisha na New York, hata Dar siyo City
Ni kweli sisi ni hapa Tanzania ni kama hakuna city nzuri ya kuvutia,mpangilio ni mbaya sana kwa miji yote na hakuna hatua zaidi zinazochukuliwa....kwa mikoa mingine pale mjini kidogo kuna vijumba vimejengwa vinavutia but mbeya ni tofauti kidogo,lazima hilo tukubali,ujenzi wao hata hapa Mwanjelwa tu inatia ukakasi.Kuna mdau mmoja alisema Mbeya imejengwa na wafanyabiashara wazawa tu ndo maana haijajengwa sana ukilinganisha na Mikoa kama mMwanza ambao wapo wawekezaji wakubwa waliowekeza katika kujenga majengo makubwa na ya kuvutia
 
Back
Top Bottom