Mbona unapoteza network? Wamesema Mbeya ni "Wachawi", ama washirikina na siyo "waganga". Kungekuwa na waganga si angalau wangekuwa wanafanya uharibifu kwa hofu ya kuumbuana.
Hivi wewe unakaa Tanzania ya wapi unayebisha macho makavu kwamba Mbeya si kituo cha uchawi na ushirikina?
Hao wanyambuda wanatoka wapi?
Hao wamanyafu ni wafipa?
Hao wenye vi ndyeki ni wabondei?
Hao wanojenga nyumba lazima kuwa na chumba cha giza cha siri kisichofunguliwa ovyo ni wazaramo?
Hao wanaoweka vichaa mbele ya biashara zao ni wakwere?
Wanaofanya biashara kwa kura ya kuku kudonoa mahindi ni waruguru?
Hao wanaua watoto na kuwafanya vijiti kisha kutembea navyo viunoni ni waunguja?
Hao kina Mwa....wamiliki wa hoteli wanaoserve soup kwa kutumia human skullls badala ya soup bowls, na kukorogea chakula mikono mikavu ya watu badala ya wooden spoons ni wahaya?
Hao wanaofanya biashara wakiwa uchi wa mnyama hapo soko la ...na..... ni Wafaransa?
Ni vizuri ukanyamaza kimya ili tusizidi kusema tunayoyafahamu mkaaibika zaidi.
Acha hizo.
Hivi wewe unakaa Tanzania ya wapi unayebisha macho makavu kwamba Mbeya si kituo cha uchawi na ushirikina?
Hao wanyambuda wanatoka wapi?
Hao wamanyafu ni wafipa?
Hao wenye vi ndyeki ni wabondei?
Hao wanojenga nyumba lazima kuwa na chumba cha giza cha siri kisichofunguliwa ovyo ni wazaramo?
Hao wanaoweka vichaa mbele ya biashara zao ni wakwere?
Wanaofanya biashara kwa kura ya kuku kudonoa mahindi ni waruguru?
Hao wanaua watoto na kuwafanya vijiti kisha kutembea navyo viunoni ni waunguja?
Hao kina Mwa....wamiliki wa hoteli wanaoserve soup kwa kutumia human skullls badala ya soup bowls, na kukorogea chakula mikono mikavu ya watu badala ya wooden spoons ni wahaya?
Hao wanaofanya biashara wakiwa uchi wa mnyama hapo soko la ...na..... ni Wafaransa?
Ni vizuri ukanyamaza kimya ili tusizidi kusema tunayoyafahamu mkaaibika zaidi.
Acha hizo.
ndiyo nasikia kwako eti mbeya inasifiika uchawi?. sijawahi ona mganga kutoka mbeya. au mbeya ikitajwa kama bagamoyo, sumbawanga, pemba, kigoma au kule kwenye gamboshi. nahisi kama kuna chuki binafsi na mbeya kwenye post yako. hebu nikuulize, kwanini unaichukia mbeya kiasi cha kuitungia uongo?.