Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
Siku zinavyozidi kusonga mbele hapa jijini naona asilimia zaidi ya 75 ni wafupi, sijaelewa ni nini kimetokea ila ukweli ni kwamba wanawake warefu wamekuwa wachache sana Dar es Salaam.
Hata ukija na jazba, ukweli ndio huo kuwa wanawake warefu jijini Dar wameadimika sana.
BY: SUPU YA MAWE
Hata ukija na jazba, ukweli ndio huo kuwa wanawake warefu jijini Dar wameadimika sana.
BY: SUPU YA MAWE
Last edited by a moderator: