Hii picha ni Kali balaa
Cha ajabu Ma co. Ya tours mengine yanauza Magari yao kwa kukosa kazi,Ma dereva wanalalamika watalii ni wachache sana.
Arusha ya sasa hivi sio ile iliyozoeleka aisee,kipindi kile watalii wa kutosha na pesa ilikua inaonekana sana.
Supply ya madereva ni kubwa, mpaka graduates wahasibu wameenda soma tour guiding, kuna ulimbukeni wa ki Tanzania wa kukimbilia fani ndiyo waleta changamoto
Hii ndio maana halisi ya bangi...Muriet kule Lami imefika mpaka Dampo..ni ulaya tuu
HahahahqTatizo lako unadhani Arusha ni level ya majiji mengine ya Tz...
FYI, Arusha ni level ya Ulaya
AhaaahhaahahaDude...is this Arusha or Paris?
Mwanza region isn't Mwanza cityTanzania ina mikoa masikini, na miongoni mwa mikoa masikini zaidi ni
Kagera
Mtwara
Lindi na
Mwanza
Hiyo ni kauli ya Naibu waziri mwezi uliopita...au hukuisikia?