ajabu lingine ni kwamba idadi ya watalii mbuga za wanyama inaongezeka kila mwaka....
Kitu nachojua huwezi kuwashinda kuongea hao wanaweza kuongea hadi kesho ila arusha na mwanza .mwanza iko mbele sema wajitahidi tu wataifikiaSasa nyie watu wa Arusha mna tulet down bana,, mnatumia nguvu nyingi mno kuonyesha kuwa arusha pazuri,, yani huu uzi ulitakiwa ujae mapicha na sio vijembe,,, acheni picha na videos ziongee na sio maneno,, mwisho wa siku hata anayebisha atatulia tu,, jifunzeni kule kwenye uzi wa mwanza,, umejaa picha kibao,, tunataka ushahidi, ilu muongeze watalii wa ndani,, mkono mtupu haulambwi!, Over!!
Sent using Jamii Forums mobile app
arusha wanaishi watu wanaojitambua na usafi kwao ni tabiaMbona kusafi hivyo....Kwani Arusha wanadeki barabara zao..??
Mkuu, watalii zaidi ya millions 2.3 ikiwa ni ongezeko la 47% kwa Arusha pekee !!! Ilhali nchi nzima jumla ya watalii kwa mwaka ni 1.2 milions !!!.View attachment 560874 Kwa mara ya kwanza jiji la arusha limerikodi ongezeko kubwa la idadi ya watalii nchini tofauti na vipindi vilivyopita![]()
View attachment 560875
Ambapo mpaka sasa imerikodi watalii zaidi ya millions 2.3 ikiwa ni ongezeko la 47% huku kampuni za kitalii expeditions zikiongezeka kwa 31% hali inayotafsiriwa kama kiashiria kizuri cha sector hiyo nchini. View attachment 560876View attachment 560877
![]()
Rekebisha kauli yako mkuu,mchagga na mmasai ni vitu viwili tofauti..na ukumbuke pia wamasai si wabantu..Kabla ya kusema hivyo kumbuka 1970 Arusha iligawanywa na kupatikana mkoa wa Kilimanjaro na wairaq Kwa sasa wapo mkoa wa manyara manyara. Mchaga asili yake ni mmasai
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan hao wameru asili yao si mixer ya mchaga na mmasai?Asili ya wakazi wa arusha ni wamasai wameru na wairaq wachaga wahamiaji tu wakitokea Kilimanjaro
Sent using Jamii Forums mobile app
nani kakwambia?Kwan hao wameru asili yao si mixer ya mchaga na mmasai?
Dad yako..nani kakwambia?
inaoekana unapenda sana totoz wwPatamu sana hapo hasa mitaa ya shivas
video barabara ya sakina-tengeru