Jiji la Arusha chini ya CHADEMA lafanya maajabu

Jiji la Arusha chini ya CHADEMA lafanya maajabu

Wewe mtu ajabu mumesema mumekusanya sawa, mlichohudumia na hizo hela mlizo kusanya ni kipi? Kiweke hapa.Kukusanya ni kitu kingine na kuonyesha umefanyia nini hela hizo ni kitu kingine.Tupe mchanganuo mumehudumia nini na hizo hela? Usiseme mna spidi ya kuhudumia wananchi mumewahudumia nini weka hapa.
Swali gani la kiboya hivo unauliza.. Kawaulize ccm matrilion ya kwenye migodi huwa wanapeleka wapi
 
Hilo swali peleka hazina utapata jibu lake

Hizo hela si mmesema CHADEMA ndio wamekusanya? na si ndio wanasimamia jiji la arusha mapato na matumizi yake MAANA wao ndio wameshika usukani? MNAANZA kukwepa mnataka kuzibomoa kama ambavyo huwa mnachangisha watu KAMPENI ZA chadema halafu hamtoi mchanganuo mmetumiaje.Safari inakula kwenu Magufuli hacheki,mmezikusanya lazima mzitumie zote kwa maendeleo ya wana Arusha na lazima baraza la madiwani na meya awekwe kitimoto zikitumika ndivyo sivyo.Si kuchekelea tu kukusanya tunawasubiri kwenye matumizi huko ndiko viongozi wengi CHADEMA wadhaifu.
 
Halmashauri ya jiji la Arusha chini ya UKAWA ndani ya miezi miwili limekusanya zaidi ya million 500 kutoka na faini na ushuru wa mabango tu kwa Mara ya kwanza.

Chanzo: Magazetini asubuhi
Actually kama JPM anataka kufanikiwa kukomesha wizi, rushwa na ubadhirifu wa mali ya umma; achune uso "akifute" chama chake CCM kwa sababu sera na itikadi yake ni Wizi, rushwa, ujangili na ufisadi!
 
Swali gani la kiboya hivo unauliza.. Kawaulize ccm matrilion ya kwenye migodi huwa wanapeleka wapi

Huwa yanatolewa kwenda CHADEMA kama ruzuku na zikienda kule wanazibomoa hata ofisi hawajengi wanapanga na hawataki mtu awahoji akiwahoji wanamfukuza kwenye chama
 
Hizo hela si mmesema CHADEMA ndio wamekusanya? na si ndio wanasimamia jiji la arusha mapato na matumizi yake MAANA wao ndio wameshika usukani? MNAANZA kukwepa mnataka kuzibomoa kama ambavyo huwa mnachangisha watu KAMPENI ZA chadema halafu hamtoi mchanganuo mmetumiaje.Safari inakula kwenu Magufuli hacheki,mmezikusanya lazima mzitumie zote kwa maendeleo ya wana Arusha na lazima baraza la madiwani na meya awekwe kitimoto zikitumika ndivyo sivyo.Si kuchekelea tu kukusanya tunawasubiri kwenye matumizi huko ndiko viongozi wengi CHADEMA wadhaifu.
Pole sana na bado mtazidi kutokwa na mapovu midomoni maana cdm kila kona ni huduma swaafi kwa wananchi,kwa Arusha ndio tumeanza nao,hapa Nasari,pale Lema , ccm lazima ife tu
 
Huwa yanatolewa kwenda CHADEMA kama ruzuku na zikienda kule wanazibomoa hata ofisi hawajengi wanapanga na hawataki mtu awahoji akiwahoji wanamfukuza kwenye chama
Una roho mbaya leo hii unatetea mafisadi wa nchi kwa hoja za matumizi mabaya ya fedha za chama ambayo hata ushahid hauna
Sisi Watanzania wana UKAWA tutaanza kuyaamini mabadiliko chini ya magufuli endapo tu ataanza kushughulikia waizi wa ESCROW MEREMETA EPA bila kumsahau fisadi wetu mkuu LOWASA na lirichmond lake
 
Habari mbaya zilizotufikia punde....

Eti Vyama vinavyounda UKAWA vimeibuka na ushindi katika uchaguzi wa Umeya wa Manispaa ya Kinondoni baada ya kupata kura 38 dhidi ya CCM waliopata kura 20.

Meya mpya ni Boniface Jacob. Manispaa ya ilala zoezi bado linaendelea
 
hapa songea chini ya ccm halmashauri imekusanya kodi yal mabango shillingi laki mbili na nusu
 
Mbunge wao ni picha tosha ya walivyo wakazi wa Arusha.....Arusha ndio makao makuu ya NDUMU a.ka shada, GOMBA.....
Enz za ccm labda kwanza kwa sasa ukikutwa unakula gomba fain elfu 60 sasa Kula gomba uone. Chadema imepiga Marufuku gomba , viroba, na kukaa bar wakat wa kazi. Baada ya mwaka mmoja magamba wote sijui mtaongea nini .lema alishindwa kwa sbb ccm walikuwa wanamuonea sana kwa sasa kajipanga subirien
 
Pole sana na bado mtazidi kutokwa na mapovu midomoni maana cdm kila kona ni huduma swaafi kwa wananchi,kwa Arusha ndio tumeanza nao,hapa Nasari,pale Lema , ccm lazima ife tu
waambie hao..kwa taarifa yao mayor amesema ndani ya miez miwili watajenga shule 49 coz watt wamefaulu wengi sana,pia barabara kata zote zinaendelea kufanyiwa ukarabati wa kutisha.ila sasa hivi wametoa 50m kwa ajili ya makabiliano ya kipindupindu..kwa mayor Chuga msimu huu wamelamba dume..
 
waambie hao..kwa taarifa yao mayor amesema ndani ya miez miwili watajenga shule 49 coz watt wamefaulu wengi sana,pia barabara kata zote zinaendelea kufanyiwa ukarabati wa kutisha.

Hongera ila taratibu za tenda zizingatiwe. Tenda za ujenzi na ukarabati zisitolewe kindugu,kikabila wala kiupendeleo na wasijipe tenda hizo madiwani wenyewe au hawara zao.Kuwe na uwazi kwenye tenda
 
Halmashauri ya jiji la Arusha chini ya UKAWA ndani ya miezi miwili limekusanya zaidi ya million 500 kutoka na faini na ushuru wa mabango tu kwa Mara ya kwanza.

Chanzo: Magazetini asubuhi
Zikahudumie wananchi zisihudumie matumbo yao tu! Arusha kuna kipindupindu waweke miundombinu vizuri. Arusha maji ni Problem, waboreshe miundombinu ili maji safi na salama yapatikane
 
Magamba safari hii mtaihama hii nchi maana speed hii ya cdm kuwahudumia wananchi haitawaacha salama machoni mwa watanzania

Labda kuwe na Madiwani wenye uwezo lakini wakimtegemea Lema wamekwisha....yule ndugu ni hewa kushinda maelezo.

Yeye umualike kwenye fujo na vurugu ndio uwezo wake utaonekana.
 
waambie hao..kwa taarifa yao mayor amesema ndani ya miez miwili watajenga shule 49 coz watt wamefaulu wengi sana,pia barabara kata zote zinaendelea kufanyiwa ukarabati wa kutisha.ila sasa hivi wametoa 50m kwa ajili ya makabiliano ya kipindupindu..kwa mayor Chuga msimu huu wamelamba dume..
Shule 49 manispaa ya arusha? Mkuu usizungumze usioyajua
 
CCM mmegeuka na kuwa wapinga maendeleo.
Ishu ya mabango ilikua ni chakula ya Mulongo Magesa na ccm kwa ujumla.
 
Shule 49 manispaa ya arusha? Mkuu usizungumze usioyajua
ndo hivo mkuu...amesema Arusha wamefaulu asilima 98 ko shule hazitoshi..af inawezekana coz kuna kata 25 af kata zingine wanaweza jenga hadi 2...anasema hata hao aslmia 2 watapelekwa QT...
 
Habari mbaya zilizotufikia punde....

Eti Vyama vinavyounda UKAWA vimeibuka na ushindi katika uchaguzi wa Umeya wa Manispaa ya Kinondoni baada ya kupata kura 38 dhidi ya CCM waliopata kura 20.

Meya mpya ni Boniface Jacob. Manispaa ya ilala zoezi bado linaendelea
Nasikia magamba woote wamejifungia lumumba wanajadili jinsi ya kuficha mauoza yao waliyokuwa wanayafanya
 
Back
Top Bottom