Ni kweli mkuu,kuna haja ya kuwa na mawasiliano na na hawa wakubwaNinatamani mameya wa UKAWA waweke number au emails za mawasiliano na public ili wapate michango mbali mbali ya wananchi namna ya kuleta maendeleo sahihi.
Ni kweli mkuu,kuna haja ya kuwa na mawasiliano na na hawa wakubwaNinatamani mameya wa UKAWA waweke number au emails za mawasiliano na public ili wapate michango mbali mbali ya wananchi namna ya kuleta maendeleo sahihi.
Wanaongelea kukusanya kodi/ushuru wewe unaongelea kushusha mabango, hata akili ya bluetooth tu huna?Eti chini ya Ukawa, mabango yalianza kushushwa hata kabla ya maludio ya uchaguzi.
Miaka mitano back c walikuwa chadema hao hao mapato yalikuwa vipi?
HapaKaziTu
Faini kwa makosa yepi?
mnapozungumzia ukawa halmashauri ya hapo arusha mnanichanganya. ebu tupieni idadi ya madiwani wa kila chama nione ukawa inaingiaje hapo.Kil
Kila kitu kipo under control mkuu, ni mambo ya muda tu na yote yatakua shwari kabisa. Hii ndo Chuga bana aka Geneva of UKAWA ( Africa)
mnapozungumzia ukawa halmashauri ya hapo arusha mnanichanganya. ebu tupieni idadi ya madiwani wa kila chama nione ukawa inaingiaje hapo.
CDM 24...Ccm 1mnapozungumzia ukawa halmashauri ya hapo arusha mnanichanganya. ebu tupieni idadi ya madiwani wa kila chama nione ukawa inaingiaje hapo.
Hasa kuibaInaoneka wakaazi wa arusha wanavunja sana sheria.
ARUSHA WANAVUNA MATUNDA YA CCM ILIYOJENGA BARABARA,MAKAO MAKUU YA EAC,UTALII NK.HUU NDIO UKWELIHalmashauri ya jiji la Arusha chini ya UKAWA ndani ya miezi miwili limekusanya zaidi ya million 500 kutoka na faini na ushuru wa mabango tu kwa Mara ya kwanza.
Chanzo: Magazetini asubuhi
Eti chini ya Ukawa, mabango yalianza kushushwa hata kabla ya maludio ya uchaguzi.
Miaka mitano back c walikuwa chadema hao hao mapato yalikuwa vipi?
HapaKaziTu
Geneva of Africa....mtaota sana.Arusha bado ni mji mdogo sana, unplanned, dirty, and chaotic!!!!!!!! Cliton aliwadanganya sana endeleeni kuvimba vichwa!!!Geneva of Africa viva Ukawa....
waelimishe wenzako kuwa halmashauri ya jiji la arusha hakuna ukawa. si kuja hapa na kubweeeeka kwa jambo wasilolijua vizuri. ok?CDM 24...Ccm 1
Sanaaa naona wanaanza kuisoma noCcm ni majiizi