kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,940
- 7,847
na zile kandarasi vp bado anapewa zote yuleyule.Halmashauri ya jiji la Arusha chini ya UKAWA ndani ya miezi miwili limekusanya zaidi ya million 500 kutoka na faini na ushuru wa mabango tu kwa Mara ya kwanza.
Chanzo: Magazetini asubuhi