Kuna Mwanza pia mkuuMkuu hii hali inakera mnooo. ...
Arusha nahisi tunakosa umeme mara nyingi kuliko wengine. ..
Inawezekana maana kuna mdau wa moro naye anasema umekatika!
Yaani hawa jamaa mwisho wao sijui utakuaje aisee maana nadhani hata staffs wa TANESCO nafsi zinawasuta maana wanalazimishwa kusema uongo, maana tulianza na sababu ya MAFUTA MAZITO HAKUNA tukapigwa na mgao tukaendelea nao akaja Prof. Muongo akatuambia mgao ni historia pia kinachoendelea ni MITAMBO NA MIUNDOMBINU MICHAKAVU hivyo wanabadilisha nguzo na vitu vingine wakati ukipita mitaa mbalimbali huoni kama kuna kubadilisha miundombinu (unless kama miundombinu iliyochaa ilikuwa porini), sasa hivi tunaambiwa WANAUNGA MTAMBO WA GAS hivyo hali itatengemaa mpaka tarehe 20 wanaogopa kusema tarehe 26 October na kuendeleanadhani hii ni operation endelevu kabisaah see
Huku pia wameshakata...daaah!
Sasa hivi usiku inabidi ugeuke mchana maana shughuli zote zinafanyika usiku!
arusha kama kawa wameleta saa 4 usiku saa 10 hii asubuh wameshakata tayari
Huku tangu saa kumi alfajiri, Tanesco imefilisika na mgao mkali zaidi unakuja
Word mkuu umekata mapemaaaaa,.na jana nasikia ulirudi usiku sana,
Sijakataa.....umeme umekatika kwa baadhi ya maeneo, lakini watu hapa wanageneralize. Kumbuka pia aliyesababisha yote haya ni mzee wa Monduli!!
Yaani hawa jamaa mwisho wao sijui utakuaje aisee maana nadhani hata staffs wa TANESCO nafsi zinawasuta maana wanalazimishwa kusema uongo, maana tulianza na sababu ya MAFUTA MAZITO HAKUNA tukapigwa na mgao tukaendelea nao akaja Prof. Muongo akatuambia mgao ni historia pia kinachoendelea ni MITAMBO NA MIUNDOMBINU MICHAKAVU hivyo wanabadilisha nguzo na vitu vingine wakati ukipita mitaa mbalimbali huoni kama kuna kubadilisha miundombinu (unless kama miundombinu iliyochaa ilikuwa porini), sasa hivi tunaambiwa WANAUNGA MTAMBO WA GAS hivyo hali itatengemaa mpaka tarehe 20 wanaogopa kusema tarehe 26 October na kuendelea
Lowassa anazidi kuwabana Tanesco wamlipe hela zake kila siku tunaumia wananchi kumlipa
Hana huruma kabisa huyu fisadi.
Kichwa cha habari kinajieleza!
Serikali ya ccm imechoka na kuchakaa mwili, roho na nafsi yake!
Hiki ni kipindi muhimu sana cha kubembeleza kura, lakini bado imeshindwa kuhimili uchovu na uchakavu wake!
Matangazo makubwa makubwa ya dhihaka na ya gharama kubwa kubwa yaliyoandaliwa dhidi ya Lowassa kupitia TBCccm na StarTVccm yatatazamwaje bila umeme?
Serikali imechoka na inahitaji kupumzishwa kwa amani na upendo!
Iombe msamaha kwa wananchi wake kwa matumizi mabaya ya rasilimali za Taifa!
Kuchagua tena serikali ya CCM ni sawa na kuchagua gharama kubwa za maisha, kuporomoka kwa uchumi kila uchwao!
CCM imechoka na inajua hili! Kwamba eti inaingiza gesi kwenye mitambo yake ni danganya toto!
Ukweli ni kuwa mgao wa escrow hasa ule uliobebwa na masantarusi kupitia stanbic ndio iliyofikisha shirika hapa lilipo! Kile kipande cha rugemalila kilikuwa hela ya kunywa maji!
Kwa hali ya maisha tuliyonayo sasa kwa upande tu wa mgao wa umeme inatosha kusema mtu yeyote anaeshabikia CCM ama ana matatizo sugu ya akili ama amelaaniwa!
Halafu eti Dr Slaa ama Mzee Mwanakijiji wanatuponda wapenda mabadiliko! Hakika nimewadharau sana!
Watu wapo marekani huko halafu wanabembea kwenye mapikipiki makubwa akina akina Steven Seagar halafu anatuambia sisi tusio na umeme tuwachague CCM!
Mnatudharau sana! Sijui mnatuonaje vile!
Mijitu mipuuzi kama wewe ningekuwa karibu na wewe ningekupiga jambia la mk**d*ni ili iwe fundisho...Lowassa anazidi kuwabana Tanesco wamlipe hela zake kila siku tunaumia wananchi kumlipa
Hana huruma kabisa huyu fisadi.