truckdriver
JF-Expert Member
- May 7, 2012
- 562
- 266
Walirudisha saa nane usiku ..alfajiri wameshakata tena ...hii nchi hii!
Walikata Tz nzima nini maana hata huku kwa Wanyalukolo wamekata sijui saa 10 ile ila umerudi kama dakika 10 hivi zilizopita
Pesa zote zipo kwenye kampeni za ccm !
Mwanza tumeshazoea, jana walikata saa moja na nusu usiku na nimeamuka alfajiri sijaukuta.Word mkuu umekata mapemaaaaa,.na jana nasikia ulirudi usiku sana,
Pesa zote zipo kwenye kampeni za ccm !
View attachment 293920hana habari anakula bhata uarabuni
arusha kama kawa wameleta saa 4 usiku saa 10 hii asubuh wameshakata tayari