TeamLowassa
JF-Expert Member
- Nov 30, 2013
- 1,495
- 937
Kichwa cha habari kinajieleza!
Serikali ya ccm imechoka na kuchakaa mwili, roho na nafsi yake!
Hiki ni kipindi muhimu sana cha kubembeleza kura, lakini bado imeshindwa kuhimili uchovu na uchakavu wake!
Matangazo makubwa makubwa ya dhihaka na ya gharama kubwa kubwa yaliyoandaliwa dhidi ya Lowassa kupitia TBCccm na StarTVccm yatatazamwaje bila umeme?
Serikali imechoka na inahitaji kupumzishwa kwa amani na upendo!
Iombe msamaha kwa wananchi wake kwa matumizi mabaya ya rasilimali za Taifa!
Kuchagua tena serikali ya CCM ni sawa na kuchagua gharama kubwa za maisha, kuporomoka kwa uchumi kila uchwao!
CCM imechoka na inajua hili! Kwamba eti inaingiza gesi kwenye mitambo yake ni danganya toto!
Ukweli ni kuwa mgao wa escrow hasa ule uliobebwa na masantarusi kupitia stanbic ndio iliyofikisha shirika hapa lilipo! Kile kipande cha rugemalila kilikuwa hela ya kunywa maji!
Kwa hali ya maisha tuliyonayo sasa kwa upande tu wa mgao wa umeme inatosha kusema mtu yeyote anaeshabikia CCM ama ana matatizo sugu ya akili ama amelaaniwa!
Halafu eti Dr Slaa ama Mzee Mwanakijiji wanatuponda wapenda mabadiliko! Hakika nimewadharau sana!
Watu wapo marekani huko halafu wanabembea kwenye mapikipiki makubwa akina akina Steven Seagar halafu anatuambia sisi tusio na umeme tuwachague CCM!
Mnatudharau sana! Sijui mnatuonaje vile!
Serikali ya ccm imechoka na kuchakaa mwili, roho na nafsi yake!
Hiki ni kipindi muhimu sana cha kubembeleza kura, lakini bado imeshindwa kuhimili uchovu na uchakavu wake!
Matangazo makubwa makubwa ya dhihaka na ya gharama kubwa kubwa yaliyoandaliwa dhidi ya Lowassa kupitia TBCccm na StarTVccm yatatazamwaje bila umeme?
Serikali imechoka na inahitaji kupumzishwa kwa amani na upendo!
Iombe msamaha kwa wananchi wake kwa matumizi mabaya ya rasilimali za Taifa!
Kuchagua tena serikali ya CCM ni sawa na kuchagua gharama kubwa za maisha, kuporomoka kwa uchumi kila uchwao!
CCM imechoka na inajua hili! Kwamba eti inaingiza gesi kwenye mitambo yake ni danganya toto!
Ukweli ni kuwa mgao wa escrow hasa ule uliobebwa na masantarusi kupitia stanbic ndio iliyofikisha shirika hapa lilipo! Kile kipande cha rugemalila kilikuwa hela ya kunywa maji!
Kwa hali ya maisha tuliyonayo sasa kwa upande tu wa mgao wa umeme inatosha kusema mtu yeyote anaeshabikia CCM ama ana matatizo sugu ya akili ama amelaaniwa!
Halafu eti Dr Slaa ama Mzee Mwanakijiji wanatuponda wapenda mabadiliko! Hakika nimewadharau sana!
Watu wapo marekani huko halafu wanabembea kwenye mapikipiki makubwa akina akina Steven Seagar halafu anatuambia sisi tusio na umeme tuwachague CCM!
Mnatudharau sana! Sijui mnatuonaje vile!