Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,833
Hawa wenzetu wanapenda sana vya bure, na kudandia wanawake wenye uwezo.
Ukiwa naye utamnunulia vipodozi, nguo tena hadi ndani, atakuomba na hela ya daladala na ya kula pia.
Unampendezesha wewe, anaenda kula raha na wanawake wengine, yaani hawaridhiki, sijui wana nini?
Haya yamemkuta mfanyakazi mwenzetu, alihonga hadi gari kwa mzaire. Mzaire muda wote yuko bize kwenye gari na mabinti wa Biafra sekondari
Ukiwa naye utamnunulia vipodozi, nguo tena hadi ndani, atakuomba na hela ya daladala na ya kula pia.
Unampendezesha wewe, anaenda kula raha na wanawake wengine, yaani hawaridhiki, sijui wana nini?
Haya yamemkuta mfanyakazi mwenzetu, alihonga hadi gari kwa mzaire. Mzaire muda wote yuko bize kwenye gari na mabinti wa Biafra sekondari