United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 2,878
- 5,697
Huwa siamiani kama mwanamwke anaweza kukosa mchumba,au mwanaume wa kumtongoza kundi la wanawake wanaosimama kanisani Kwa mwamposa ambao hawana wachumba,na wanaume ni kubwa tena Hilo kundi linakua na mixture ya wanawake wote mim kitu ambacho huw najiuliza nyinyi wanawake ambao hamna wachumba Wala wanaume kwamba humtongozwi,au Kuna Nini behind
Au nyinyi ndio wale ambao mkitongozwa mim na mtu wangu ila mkiwa kanisani mnasimama muombewe mpate wachumba na je kama kweli hamna humo kanisani hamna vijana kweli wakachangamkia hiyo fursa manaa Kuna watoto wengine wakisama unaridhika mwenyewe unasema hapa kweli Mungu kaumba
Haiwezakani Mwanamke wa miaka 24 to 25 ukawa huna mchumba kabisa kwajinsi sisi wanaume tulivyo Kuna wanaume wanaweza kutongoza hadi wanawake wa miaka 50 nyiny mabinti wadogo mnakua mmejifisha wapi
Au nyinyi ndio wale wanawake ambao tukiwa kweny daladala tukiwapa salamu tu mnajifanya mpo bize mnachart na simu zenu Yani mwanamke unakosaje mwanaume kabisa yani wew utoke mbezi hadi kariakoo ukose kijana wakukusumbua humo njiani maana kariakoo ndio sehemu yenye vijana wakila aina wenyewe sumu Kali mdomoni,wasumbufu,vinganizi wa kuomba namba,waongaji,waongowaongo wasumbufu,wale wenye kusifia sifia na chap Kwa chap anakuomba namba hapo hapo
Kweli upite mfano ule mtaa wa congo na mchikichi ule mtaa wa vijana wanauza suluali za jeans za kike wanapenda kuweka begani wale vijana wanawasumbua sana na wanatongoza sana wanawake ovyo ule mtaa una vijana machachari kweli.
Mwanamke kukosa mchumba au mwanaume ni ungo tusidanganyane Kwa sababu Kuna vijana wa ovyo anaweza kupanga Ata listi ya wanawake kumi peke Ake
Au nyinyi ndio wale January hadi disemba nyumbani kazin kazini nyumbani nyumbani kazini hutaki Ata kwenda coco beach kutembea,tu au sehemu zenye mikusanyiko hutaki
Au nyinyi ndio wale ambao mnataka tall dark handsome men mkishakosa mtaani mnakimbilia kanisani kuombewa
Mim hii kitu SIAMINI kabisa mnamchosha mzee wa watu tu kanisani na kama kweli hamna kabisa wanaume na wachumba basi kutakua Kuna sababu kubwa nyuma ya panzia iliyopelekea kuwafikisha kuanza kuombewa
Au nyinyi ndio wale ambao mkitongozwa mim na mtu wangu ila mkiwa kanisani mnasimama muombewe mpate wachumba na je kama kweli hamna humo kanisani hamna vijana kweli wakachangamkia hiyo fursa manaa Kuna watoto wengine wakisama unaridhika mwenyewe unasema hapa kweli Mungu kaumba
Haiwezakani Mwanamke wa miaka 24 to 25 ukawa huna mchumba kabisa kwajinsi sisi wanaume tulivyo Kuna wanaume wanaweza kutongoza hadi wanawake wa miaka 50 nyiny mabinti wadogo mnakua mmejifisha wapi
Au nyinyi ndio wale wanawake ambao tukiwa kweny daladala tukiwapa salamu tu mnajifanya mpo bize mnachart na simu zenu Yani mwanamke unakosaje mwanaume kabisa yani wew utoke mbezi hadi kariakoo ukose kijana wakukusumbua humo njiani maana kariakoo ndio sehemu yenye vijana wakila aina wenyewe sumu Kali mdomoni,wasumbufu,vinganizi wa kuomba namba,waongaji,waongowaongo wasumbufu,wale wenye kusifia sifia na chap Kwa chap anakuomba namba hapo hapo
Kweli upite mfano ule mtaa wa congo na mchikichi ule mtaa wa vijana wanauza suluali za jeans za kike wanapenda kuweka begani wale vijana wanawasumbua sana na wanatongoza sana wanawake ovyo ule mtaa una vijana machachari kweli.
Mwanamke kukosa mchumba au mwanaume ni ungo tusidanganyane Kwa sababu Kuna vijana wa ovyo anaweza kupanga Ata listi ya wanawake kumi peke Ake
Au nyinyi ndio wale January hadi disemba nyumbani kazin kazini nyumbani nyumbani kazini hutaki Ata kwenda coco beach kutembea,tu au sehemu zenye mikusanyiko hutaki
Au nyinyi ndio wale ambao mnataka tall dark handsome men mkishakosa mtaani mnakimbilia kanisani kuombewa
Mim hii kitu SIAMINI kabisa mnamchosha mzee wa watu tu kanisani na kama kweli hamna kabisa wanaume na wachumba basi kutakua Kuna sababu kubwa nyuma ya panzia iliyopelekea kuwafikisha kuanza kuombewa