Nasikia wana mauno balaa, mwanamke huna pilika unatulia tuliii jamaa wanashughulika, ukitaka kusikia story zao hawa tembelea salon za kinondoni yaani kule wanawake wamepinda kila mtu na mzaire wake
nasikia wazaire wana dawa, hata kama hujawahi kuhonga kunakuwa na kitu ndani kinakusukuma uuze hata dhahabu zako umpe mzairwaa
Napesi nakolobate engai nayo nafasi ya Kinshasa sherii nangaii nalobi nayo nabiso nasalibiteko
Kumbe ndio zao eeh?
nasikia wazaire wana dawa, hata kama hujawahi kuhonga kunakuwa na kitu ndani kinakusukuma uuze hata dhahabu zako umpe mzairwaa
Mi nawaza ni nyie tu hapa, shida ni kuwa mnashindwa kuonesha mapenzi kwa ma fie wenyu sasa akitokea mtu akafanya vile anamkoroga kabisa bibi yako, mwanamke anatakiwa kudeka bwana, sasa sie tunawalambula, tunawabeba, tunawatumikia vya kabambe mu kitanda, kwanini wasitupende?
we unaenda mukazi depuit asubuhi haumuiti bibi yako mu telephoni wala hautumi text, ukirudi magharibi hauoneshi mapenzi yoyote unafanya vya ukali tu, sie tunawananawisha bafuni, tunawalambula kila fasi
kazi yenu!
Nasikia wana mauno balaa, mwanamke huna pilika unatulia tuliii jamaa wanashughulika, ukitaka kusikia story zao hawa tembelea salon za kinondoni yaani kule wanawake wamepinda kila mtu na mzaire wake
acheni kushoboka
hili la msingi. Wasichana tuna shoiboka sana, yaani usisikie mtu katoka nje, unajilengesha.
Lakini ukiwa na Bwana Yesu unaishinda dhambi.
nadhani ni ushamba, lack of confidence, kutafuta sifa za kijinga mtaani, na kukosa exposure kwa madada zetu wengi. hivi mtu hafanyi kazi yeyote zaidi ya kukata mauno, inawezekanaje asiwe na muda mwingi wa kufikiria ubunifu wa ngono?? na hapo pia hamuoni kuwa ngono kwao ndio ajira yao .. sababu asipojitahidi kungonoka ni wazi huyo binti atamuacha tu ... kwanini mtu asijishughulishe?? this kinda sex tourism kama wale beach boys wanaotembea na vibibi vya kizungu (gigolos).
funny thing is, wanaume wa kibongo nao wanashobokewa sana na mabinti wa kikongo; wanaamini tanzania kuna maisha mazuri sana sana, ukienda kule lazima umpate wa kukung'ang'ania uje naye huku umtafutie kazi au uje kumweka kinyumba, so kama umeshawahi fika DRC, hutoshangaa huu upuuzi. Thus being said, hao ni wajasiria mali, wako kikazi zaidi!
ndo mkome, umebaki ww.. Utaonga mpka nymba mnafkili wazaire wanatofaut gan na wamasai kwann mcwaonge hao ata baiskeli tu..