Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,314
- 2,635
una mbio wewe ..?? shart la kazi hii ujue kukimbia msala.Ngoja nianze hii kazi.. kumbe ina "fursa" nyingi hivyo.
una mbio wewe ..?? shart la kazi hii ujue kukimbia msala.Ngoja nianze hii kazi.. kumbe ina "fursa" nyingi hivyo.
hahahaha kijiwe utakiwekea wapi nikutafutie wateja.Nitonye mtu wangu... ikiwezekana ninunue vitendea kazi kabisa.
mke chan-gudoa atatiwa tuu hata ukimpeleka nyumba ya ibada. kujiheshimu ndio dawa pekeeJamani chondechonde, pamoja na ajira milioni moja kuongezeka kupitia wakata kucha lakn hawa wamekuwa wakigegeda wake za watu sana na binafso nimefanya hako kautafiti na kuthibitisha,
can you imagine eti unafanyiwa pedicure/manicure na kijana.................
naomba nanyi mfanye utafiti
Jamani hata jumapili anashindwa kukufanyia japo foot massage? Au ndiyo anataka akina Amavubi waendelee kukushikashika kila weekend?
nafikiri Mwenge pangemfaa zaidi...hapo watoto wa chuo kibaohahahaha kijiwe utakiwekea wapi nikutafutie wateja.
Wengine hawadarasiki...wivu umewajaa mwili mzima. Kama hana wivu basi niko teyari kumpa darasa lakini kama wa wivu basi nawaachia akina Amavubi waendelee kujinoma na mali za watu.nahisi ndicho anachotaka. au nimlete kwako umpe darasa?
Wengine hawadarasiki...wivu umewajaa mwili mzima. Kama hana wivu basi niko teyari kumpa darasa lakini kama wa wivu basi nawaachia akina Amavubi waendelee kujinoma na mali za watu.
MillionHairs naomba mumshauri atoe na usia kabisa maana hapo mwenge nyuma ya kituo cha mabasi ni balaa mzee wa watu Baba V atatutoka hivi hivi.nafikiri Mwenge pangemfaa zaidi...hapo watoto wa chuo kibao
Ha ha haa umenikumbusha kitu...kuna mshikaji wangu mmoja(Nailer art) siku moja aliitwa kwenye zile nyumba za TPDC maeneo ya Mikocheni kwa kwenda kutoa huduma ya Pedicure na Manicure, karibu na kumaliza ghafla akatokea mume wa yule mama ambaye anatengenezwa kucha na mshikaji wangu...mzee akashuka kwenye gari na akaona mke wake amelala usingizi wa pono pale sitting room huku miguu yake imepakatwa na inafanyiwa soft massage na jamaa wa kucha.MillionHairs naomba mumshauri atoe na usia kabisa maana hapo mwenge nyuma ya kituo cha mabasi ni balaa mzee wa watu Baba V atatutoka hivi hivi.
Ngoja nikanunue silaha kabisa kabla sijajifunza kupaka rangi kucha na kukata.endeleeeni mwaya. tukiwaambia wapenzi wetu wajifunze kupaka rangi wawe wanatuhudumia wenyewe hawataki.
hahahaha kijiwe utakiwekea wapi nikutafutie wateja.
aisee kwahiyo umetumia njia gani katk utafiti wako questionare au interview?namimi nataka nifanye..
hiyo gesti hakikisha iwe karibu na jengo la ibada ili mambo yakiharibika iwe rahisi kwenda kutubia.Mtu wangu hii ntaanza kwa kuwafuata makwao, kikichanganya nafungua ofisi kwenye gest yoyote inayofikika kirahisi..
Ha ha haa umenikumbusha kitu...kuna mshikaji wangu mmoja(Nailer art) siku moja aliitwa kwenye zile nyumba za TPDC maeneo ya Mikocheni kwa kwenda kutoa huduma ya Pedicure na Manicure, karibu na kumaliza ghafla akatokea mume wa yule mama ambaye anatengenezwa kucha na mshikaji wangu...mzee akashuka kwenye gari na akaona mke wake amelala usingizi wa pono pale sitting room huku miguu yake imepakatwa na inafanyiwa soft massage na jamaa wa kucha.
Yaani mzee hakutaka Salam wala kuuliza kitu...alichofanya ni kumwinua huyu mshikaji wangu kwenye ile sturi aliyokuwa ameikalia na kuanza kumpiganayo kichwani hadi akamtoa damu...jamaa yangu akaanza kutimua vumbi huku madamu yanamtoka na yule mzee aliendelea kumfukuza hadi getini ndipo akamwacha. Kibaya zaidi hakulipwa pesa zake na vitendea kazi vyake vyote aliviacha pale pale. Ni true story
hapa sio ndio chumbani kabisaa....?
Jamani chondechonde, pamoja na ajira milioni moja kuongezeka kupitia wakata kucha lakn hawa wamekuwa wakigegeda wake za watu sana na binafso nimefanya hako kautafiti na kuthibitisha,
can you imagine eti unafanyiwa pedicure/manicure na kijana.................
naomba nanyi mfanye utafiti
usione vyapendeza....vimegharamiwamh...ila kwakweli me vitu vingine wala sikubalianagi navyo! kama mtaniona conservative mnionetu....hivi jamani mdada kabisa, tena msomi/wakisasa kucha mpaka ukasafishwe na mtu mwingine!! ukiniambia kutengenezwa nywele sawa, wala sibihi, ila kucha!!! hapana, me hata wangu sinto mruhusu...vitu vingi tunaiga sana, halaf me nilidhani pengine mnakwenda shule ili aikii zenu ziwe huru kumbe wpi, ndio kwanza mnafuata mikumbo na kuiga had vitu vya ajabu......