specialist88
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 1,141
- 617
Huyu ni tapeli mkubwa, anatapeli watu kwa kujifanya anauza piki piki na vifaa vya pikipiki.
Akishakutapeli anakublock ili usilalamike kwenye page yake ya instagram.
Lengo la kuleta taarifa hizi ni kuwatahadharisha wananchi wenzangu na kutoa call kwa polisi au vyombo vya dola vimfuatilie na kumtia nguvuni tapeli huyu.
Huyu tapeli anatumia namba 0625933983 na pia anapokea pesa kupitia namba 0719255409 jina Mary mboya.
Tushirikiane kutokomeza utapeli wa mitandaoni.
Sent using Jamii Forums mobile app