Polisi wameshindwa kumkamata huyu tapeli anayewapiga Walimu kila siku?

tpaul

JF-Expert Member
Feb 3, 2008
21,838
18,250
Heri ya mwaka mpya watu wangu wa nguvu. Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi. Naomba niseme kuwa huu ndio uzi wangu wa kwanza kwa mwaka huu wa 2024. Sikuwa nimepanga kuweka uzi hapa JF mapema hivi ila imenibidi nifanye hivyo baada ya kupokea ujumbe huu wa onyo kwa njia ya WhatsApp unaolenga kuwatapeli walimu.
1704095634241-png.2859091


Ujumbe huu umeambatana na audio ya tapeli maarufu wa mtandao ambaye amekuwa akiwasumbua sio tu walimu bali watanzania wengi, hasa watumishi wa umma. Sauti ya mtu huyu sio ngeni. Amekuwa akiwatapeli watanzania kwa muda mrefu sasa. Huenda hata wewe mwanaJF unayepitia uzi huu ulishawahi kukumbwa na dhoruba ya huyu bwana, ama akakutapeli au ukaponea chupuchupu. Sikiliza audio yake kwenye attachment hapo chini.

Kinachonisikitisha ni kuwa huyu jamaa amekuwa akiwatapeli watanzania kwa miaka mingi sasa bila kukamatwa na vyombo vya serikali. Hata TISS nao eti wameshindwa kumtia nguvuni pamoja na vifaa vyote vya kiintelejensia walivyo navyo. Ikiwa tapeli mdogo kama huyu amewashinda, je tuwaamini kulinda usalama wa nchi?

Tunaweza kusema labda polisi wa kawaida wanaodili na cybercrime hawana vifaa vya kumtafuta na kumpata. Hata TISS nao wameshindwa kweli kumtia mikononi huyu mshenzi na kumchukulia hatua za kisheria?

MAONI YANGU
Visa vingi vya utapeli wa rejareja mara nyingi vinalengwa kwa walimu. Hivi walimu wana uwezo mdogo wa kufikiri kiasi hiki hadi kila siku walengwe wao tu? Ikiwa sisi tunawategemea walimu kutufundishia watoto wetu halafu wao wanakuwa na akili ndogo ya kutapeliwa kirahisi tutarajie nini?

Ndio maana ubora wa elimu unazidi kushuka mwaka hadi mwaka kumbe ni kwa sababu elimu inatolewa na watu wenye upeo mdogo wa kufikiri. Mkuu Mpwayungu Village hawa walimu wenzako wanatuangusha sana. Nadhani baada ya kazi ya upolisi, kazi ambayo inasomba watu wasiokuwa na wito ni kazi ya ualimu. Tuna safari ndefu sana ya kufikia maendeleo ya kweli ikiwa think-tank yenyewe tunayotegemea ni ya aina hii ya walimu. Inasikitisha sana.
 

Attachments

  • 1704095634241.png
    1704095634241.png
    16.7 KB · Views: 30
  • WhatsApp Audio 2024-01-01 at 9.10.41 AM.aac
    3.4 MB · Views: 6
Heri ya mwaka mpya watu wangu wa nguvu. Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi. Naomba niseme kuwa huu ndio uzi wangu wa kwanza kwa mwaka huu wa 2024. Sikuwa nimepanga kuweka uzi hapa JF mapema hivi ila imenibidi nifanye hivyo baada ya kupokea ujumbe huu wa onyo kwa njia ya WhatsApp unaolenga kuwatapeli walimu.
1704095634241-png.2859091


Ujumbe huu umeambatana na audio ya tapeli maarufu wa mtandao ambaye amekuwa akiwasumbua sio tu walimu bali watanzania wengi, hasa watumishi wa umma. Sauti ya mtu huyu sio ngeni. Amekuwa akiwatapeli watanzania kwa muda mrefu sasa. Huenda hata wewe mwanaJF unayepitia uzi huu ulishawahi kukumbwa na dhoruba ya huyu bwana, ama akakutapeli au ukaponea chupuchupu. Sikiliza audio yake kwenye attachment hapo chini.

Kinachonisikitisha ni kuwa huyu jamaa amekuwa akiwatapeli watanzania kwa miaka mingi sasa bila kukamatwa na vyombo vya serikali. Hata TISS nao eti wameshindwa kumtia nguvuni pamoja na vifaa vyote vya kiintelejensia walivyo navyo. Ikiwa tapeli mdogo kama huyu amewashinda, je tuwaamini kulinda usalama wa nchi?

Tunaweza kusema labda polisi wa kawaida wanaodili na cybercrime hawana vifaa vya kumtafuta na kumpata. Hata TISS nao wameshindwa kweli kumtia mikononi huyu mshenzi na kumchukulia hatua za kisheria?

MAONI YANGU
Visa vingi vya utapeli wa rejareja mara nyingi vinalengwa kwa walimu. Hivi walimu wana uwezo mdogo wa kufikiri kiasi hiki hadi kila siku walengwe wao tu? Ikiwa sisi tunawategemea walimu kutufundishia watoto wetu halafu wao wanakuwa na akili ndogo ya kutapewa kirahisi tutarajie nini?

Ndio maana ubora wa elimu unazidi kushuka mwaka hadi mwaka kumbe ni kwa sababu elimu inatolewa na watu wenye upeo mdogo wa kufikiri. Mkuu Mpwayungu Village hawa walimu wenzako wanatuangusha sana. Nadhani baada ya kazi ya upolisi, kazi ambayo inasomba watu wasiokuwa na wito ni kazi ya ualimu. Tuna safari ndefu sana ya kufikia maendeleo ya kweli ikiwa think-tank yenyewe tunayotegemea ni ya aina hii ya walimu. Inasikitisha sana.
Usishangae kukuta huyo tapeli ni Tiss pia.
 
Heri ya mwaka mpya watu wangu wa nguvu. Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi. Naomba niseme kuwa huu ndio uzi wangu wa kwanza kwa mwaka huu wa 2024. Sikuwa nimepanga kuweka uzi hapa JF mapema hivi ila imenibidi nifanye hivyo baada ya kupokea ujumbe huu wa onyo kwa njia ya WhatsApp unaolenga kuwatapeli walimu.
1704095634241-png.2859091


Ujumbe huu umeambatana na audio ya tapeli maarufu wa mtandao ambaye amekuwa akiwasumbua sio tu walimu bali watanzania wengi, hasa watumishi wa umma. Sauti ya mtu huyu sio ngeni. Amekuwa akiwatapeli watanzania kwa muda mrefu sasa. Huenda hata wewe mwanaJF unayepitia uzi huu ulishawahi kukumbwa na dhoruba ya huyu bwana, ama akakutapeli au ukaponea chupuchupu. Sikiliza audio yake kwenye attachment hapo chini.

Kinachonisikitisha ni kuwa huyu jamaa amekuwa akiwatapeli watanzania kwa miaka mingi sasa bila kukamatwa na vyombo vya serikali. Hata TISS nao eti wameshindwa kumtia nguvuni pamoja na vifaa vyote vya kiintelejensia walivyo navyo. Ikiwa tapeli mdogo kama huyu amewashinda, je tuwaamini kulinda usalama wa nchi?

Tunaweza kusema labda polisi wa kawaida wanaodili na cybercrime hawana vifaa vya kumtafuta na kumpata. Hata TISS nao wameshindwa kweli kumtia mikononi huyu mshenzi na kumchukulia hatua za kisheria?

MAONI YANGU
Visa vingi vya utapeli wa rejareja mara nyingi vinalengwa kwa walimu. Hivi walimu wana uwezo mdogo wa kufikiri kiasi hiki hadi kila siku walengwe wao tu? Ikiwa sisi tunawategemea walimu kutufundishia watoto wetu halafu wao wanakuwa na akili ndogo ya kutapewa kirahisi tutarajie nini?

Ndio maana ubora wa elimu unazidi kushuka mwaka hadi mwaka kumbe ni kwa sababu elimu inatolewa na watu wenye upeo mdogo wa kufikiri. Mkuu Mpwayungu Village hawa walimu wenzako wanatuangusha sana. Nadhani baada ya kazi ya upolisi, kazi ambayo inasomba watu wasiokuwa na wito ni kazi ya ualimu. Tuna safari ndefu sana ya kufikia maendeleo ya kweli ikiwa think-tank yenyewe tunayotegemea ni ya aina hii ya walimu. Inasikitisha sana.
Daaaah huyu jamaa atafutwe afungwe mpumbavu kabisa atutuulia ndugu zetubkwa presha, ana mikwara si ya nchi hii kama Magu vileeee....
 
Serikali nayo inahusika kuwatengeneza hao matapaeli. Maana haikuwa na sababu ya msingi ya kuanzisha hilo zoezi wakati wa likizo, huku wakitambua fika baadhi ya watumishi hawapo makazini mpaka January.

Hivyo wakati mwingine iache kufanya mambo yake kwa kukurupuka na kutengeneza taharuki zisizo na sababu kwa wafanyakazi!
 
Heri ya mwaka mpya watu wangu wa nguvu. Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi. Naomba niseme kuwa huu ndio uzi wangu wa kwanza kwa mwaka huu wa 2024. Sikuwa nimepanga kuweka uzi hapa JF mapema hivi ila imenibidi nifanye hivyo baada ya kupokea ujumbe huu wa onyo kwa njia ya WhatsApp unaolenga kuwatapeli walimu.
1704095634241-png.2859091


Ujumbe huu umeambatana na audio ya tapeli maarufu wa mtandao ambaye amekuwa akiwasumbua sio tu walimu bali watanzania wengi, hasa watumishi wa umma. Sauti ya mtu huyu sio ngeni. Amekuwa akiwatapeli watanzania kwa muda mrefu sasa. Huenda hata wewe mwanaJF unayepitia uzi huu ulishawahi kukumbwa na dhoruba ya huyu bwana, ama akakutapeli au ukaponea chupuchupu. Sikiliza audio yake kwenye attachment hapo chini.

Kinachonisikitisha ni kuwa huyu jamaa amekuwa akiwatapeli watanzania kwa miaka mingi sasa bila kukamatwa na vyombo vya serikali. Hata TISS nao eti wameshindwa kumtia nguvuni pamoja na vifaa vyote vya kiintelejensia walivyo navyo. Ikiwa tapeli mdogo kama huyu amewashinda, je tuwaamini kulinda usalama wa nchi?

Tunaweza kusema labda polisi wa kawaida wanaodili na cybercrime hawana vifaa vya kumtafuta na kumpata. Hata TISS nao wameshindwa kweli kumtia mikononi huyu mshenzi na kumchukulia hatua za kisheria?

MAONI YANGU
Visa vingi vya utapeli wa rejareja mara nyingi vinalengwa kwa walimu. Hivi walimu wana uwezo mdogo wa kufikiri kiasi hiki hadi kila siku walengwe wao tu? Ikiwa sisi tunawategemea walimu kutufundishia watoto wetu halafu wao wanakuwa na akili ndogo ya kutapewa kirahisi tutarajie nini?

Ndio maana ubora wa elimu unazidi kushuka mwaka hadi mwaka kumbe ni kwa sababu elimu inatolewa na watu wenye upeo mdogo wa kufikiri. Mkuu Mpwayungu Village hawa walimu wenzako wanatuangusha sana. Nadhani baada ya kazi ya upolisi, kazi ambayo inasomba watu wasiokuwa na wito ni kazi ya ualimu. Tuna safari ndefu sana ya kufikia maendeleo ya kweli ikiwa think-tank yenyewe tunayotegemea ni ya aina hii ya walimu. Inasikitisha sana.
Toka lini tiss wakakamata tapeli wa CCM
 
Yaani basi walimu ni wajinga. Hivi kutemwa na pepmis ndiyo kufukuzwa kazi???
yaani kati ya watu wanaotakiwa kuangaliwa kwa jicho la huruma hapa nchini ni waaalimu. wanatia huruma sana, wanafanya kazi mazingira magumu sana na hakuna tumaini la ukombozi wa maisha yao. ndio maana muda wote wamejaa hofu na mashaka ya kufukuzwa kazi. icho icho kidogo walichopata kama kibarua wanakilinda mno,na ni wachache sana wana ujasiri kuacha kazi wakajitegemee mtaani,ni kama wamelogwa na serikali, wanapenda kuajiriwa mno hata kama ni kwa kipato kidogo, as long as ana uhakika wa mshahara kila mwezi na anajua kuna mafao mwishoni ambayo hayafiki hata 200m.
 
Back
Top Bottom