ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,728
- 34,850
Nimekuwa siku hizi,nimeacha.Hivi umeacha kupiga chata siku hizi?
Nimekuwa siku hizi,nimeacha.Hivi umeacha kupiga chata siku hizi?
Hahahahaaa! Dah. Hivi gari lilivyo kubwa vile unaibiwaje? Inashangaza!
Hahahahaaa. Kwa hiyo unachati kimyakimya? Nipe namba ya fazahausi nimwambie mpangaji wake alipo.Hapana asifanye hivyo...... fazahausi ananidai rent
Kuchukua vitu vya watu bila kupewa ni wizi. Kama wewe una hatua naomba unipeKwahiyo umeamua kuchukua hatua gani????
Hahahahaaa! Wanajidai hapa kazi tu! Kulima hakuna mitindo. Ni kupiga jembe kwenye ardhi tu.hahahah jamaa ana fustuations had leo!ngoja arudi misungwi akalime dengu!mjini hapamfai
hahah wakafie frontHahahahaaa! Wanajidai hapa kazi tu! Kulima hakuna mitindo. Ni kupiga jembe kwenye ardhi tu.
Wakifwaliki kesho tunawatoa "fentifodi"!hahah wakafie front
Tehe tehe....Kuchukua vitu vya watu bila kupewa ni wizi. Kama wewe una hatua naomba unipe
Ni namba Saba machachari, zamani alichezea Pàn Africa Ila wee mwambie niko JF akikuuliza iko wapi mwambie mlemle maisha basementHahahahaaa. Kwa hiyo unachati kimyakimya? Nipe namba ya fazahausi nimwambie mpangaji wake alipo.
Hakyanane [HASHTAG]#bujibuji[/HASHTAG] siyo mzima. Kichwa chako utakua ukitembea kama unakwepa upepo wa Mafiati Mbeya.Ni namba Saba machachari, zamani alichezea Pàn Africa Ila wee mwambie niko JF akikuuliza iko wapi mwambie mlemle maisha basement
Go Die forwardhahah wakafie front
Wakifwaliki kesho tunawatoa "fentifodi"!
Bela segito, ukaja Mibikimitaali halafu haaa, ndaaaa! Hatukujiona, haa?haaaaahhhh
Upepo wa uwanja wa ndege pale TIA.Hakyanane [HASHTAG]#bujibuji[/HASHTAG] siyo mzima. Kichwa chako utakua ukitembea kama unakwepa upepo wa Mafiati Mbeya.
Cha kusikitisha zaidi mrembo wenu akawa ameibwa. HahahahaaaUpepo wa uwanja wa ndege pale TIA.
Kulikuwa Na mrembo anaitwa Lili Na boyfriend wake anaitwa Gilbert, tukaenda Vamponji ya airport kumngoja bibie. Tulipigwa Na baridi kuanzia saa tatu hadi saa Tisa, mnakunywa konyagi hamlewi, tukaja kulewa usiku tukiwa tumefika ghetto
Tumetoka mbaliNimekuwa siku hizi,nimeacha.
Bela segito, ukaja Mibikimitaali halafu haaa, ndaaaa! Hatukujiona, haa?
Yuuwii daadeee! Mubaya veve segito!hhahaha ndikafisille had kumdabulo,kutwico!ke usupali be !ke nywesige ulasi ipo pa Itulavanu!hatukujiona be