Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,144
- 166,082
Hahahahaaa! Usikazanie maandishi. Weye elewa maana tu.Mlimani cety!!
Mrimane Syte ni hapo jirani na Keko nadhani wewe ni mgeni Dsm. Mbezi si iko Morogoro?Mliman cety,mliman cyte itakuwa porin sana
Mrimane Syte ni hapo jirani na Keko nadhani wewe ni mgeni Dsm. Mbezi si iko Morogoro?
Hivi hajui hangover la ndumba za wezi?Hahahahaaa! Usikazanie maandishi. Weye elewa maana tu.
Astaghifilullah! Mtu akiwa na hangover ukimuangalia utadhani ana makengeza.Mrimane Syte ni hapo jirani na Keko nadhani wewe ni mgeni Dsm. Mbezi si iko Morogoro?
Duh! mkuu mbona umepigwa kirahisi mno.
Hivi umeacha kupiga chata siku hizi?Duh! mkuu mbona umepigwa kirahisi mno.
Sijiekewi elewi kama niko ndotoni, ulevini au kwenye ulimwengu halisi[HASHTAG]#bujibuji[/HASHTAG] bado umelewa.
Hahahahaaa! Hivi wasukuma ni washamba sana eti?kabila lake ni msukuma!kawaida
Kama kuna mtu jirani yako mwambie amwite father akuombee. HahahahaaaSijiekewi elewi kama niko ndotoni, ulevini au kwenye ulimwengu halisi
Hahahahaaa! Hivi wasukuma ni washamba sana eti?
Hahahahaaa! Dah. Hivi gari lilivyo kubwa vile unaibiwaje? Inashangaza!si unamuona huyu#bujibuji kapigwaje? we mtu humjui anakutoaje mdudu machoni?huyu jamaa namfaham aliwah kuibiwa gari kkoo!lol
Hapana asifanye hivyo...... fazahausi ananidai rentKama kuna mtu jirani yako mwambie amwite father akuombee. Hahahahaaa