Jifunze ushirikina hapa

Jifunze ushirikina hapa

Naeza pita kimya mimi bt hii ni social network ambayo mayb kuna family members wangu wanapta huoni km bdo kuna impacts zitapatkana km ukiichwa kumezesha watu sumu km usipoambiwa ukwel,dini zote zinapinga ushilikina so acha hizo mada ili upate wepesi siku ya hukumu...naihusia nafsi yangu na yako pia kuepuka ushilikina
mbaumbau rafiki wewe bado sana na una safari ndefu mpaka kuja kunielewa na kujielewa. ...hao family members naamini pia wameshapita instagram Facebook badoo mitandao ya ngono wanasoma magazeti ya udaku na vijarida na baadhi yao wana video na picha chafu chafu kwenye simu zao bado msg na maongezi yao....tafakari haya kwanza
 
So yeyote anekupinga direct huyo ni ana destructive arguments....bro u can fool peoples sometimes bt u'll never full dthem all the times!!!!!,hakuna taifa liliondelea kwa raia wake kueneza ideas za uchawap daily pia tambua nchi yako ipo 3rd world so play ur part at least isogee ktk 2nd world by impacting peoples with constructively ideas not wichcraft ideas!!!!!nina log out coz IQ yangu ndogo sn siwez bishana sana na bingwa wa mabishano km ww!!!!!!thanks for ur time
 
Oya mm nataka kujifunza mazingaumbwe kwa kusoma naweza pats wapi elimu hiyo
 
So yeyote anekupinga direct huyo ni ana destructive arguments....bro u can fool peoples sometimes bt u'll never full dthem all the times!!!!!,hakuna taifa liliondelea kwa raia wake kueneza ideas za uchawap daily pia tambua nchi yako ipo 3rd world so play ur part at least isogee ktk 2nd world by impacting peoples with constructively ideas not wichcraft ideas!!!!!nina log out coz IQ yangu ndogo sn siwez bishana sana na bingwa wa mabishano km ww!!!!!!thanks for ur time
Sijapenda umaliziaji wako nimeumia sana sana usipende kujinenea mabaya si jambo zuri...usirudie tena kujisema kuwa una IQ ndogo!sawa mbaumbau...!!!kumbuka perception creates reality...!
 
Weka link ya mada moja Tu ya kimaendeleo ambayo ushawahi kuandika hapa jf, moja Tu tafadhari!
Ukiwa huna constructive idea kukaa kimya pia inasaidia......cjawah weka mada coz IQ yangu ndogo sn bt inaniwezesha kujua km mtu kakosea,txt yako inonesha umepanic..,relax bro
 
Ukiwa huna constructive idea kukaa kimya pia inasaidia......cjawah weka mada coz IQ yangu ndogo sn bt inaniwezesha kujua km mtu kakosea,txt yako inonesha umepanic..,relax bro
Futa kabisa kwenye medulla yako hilo neno la kuwa na IQ ndogo kumbuka sifa ni kusifiwa sio kujisifia
 
next time jiitahd kuegemea ktk mada za maendeleo ktk jamii yetu na taifa kwa ujumla,taifa haliwez kuendelea kwa nguvu kazi yake kujadili uchawi daily.....una sambaza ideas za uchaw daily badala ya kusambaza ideas za kimaendeleo au kuna taifa umewah kuskia uchawi umeimalisha hali ya maisha ya raia wake na uchumi kwa ujumla.
Mkuu haiwezekani Taifa lenye watu zaidi ya 40ml...mkajadili jambo 1hata kwenye Familia 1 haiwezekani...so...Wengine watajadili...uchumi...wengine...watajadili..NDOA wengine Uzazi...uchawi nk so issue nikila MTU anapenda afuatilie nini lkn kusema eti....mengine yasijadiliwe sidhani kama uko sahihi hata huko Uganda au Rwanda Kura ya Maoni Inaonyesha jambo limepitishwa kwa %zaidi ya 90 unadhani kweli wote waliongea Lugha 1?
 
Haiitaj kuwa na elemu kubwa sn kutofautisha kat ya mtu anaekueleza kitu ili mjadili na anaekueleza kitu ili umuamin na ufate atakalo....sorry jamani IQ yangu ndogo nsameheni km nakosea
 
Haiitaj kuwa na elemu kubwa sn kutofautisha kat ya mtu anaekueleza kitu ili mjadili na anaekueleza kitu ili umuamin na ufate atakalo....sorry jamani IQ yangu ndogo nsameheni km nakosea
mbaumbau nadhani unahitaji msaada wa kiuandishi na kimaono pia
 
Zipo wapi embu nitag nikaperuzi huko
1455893863267.jpg
1455893874370.jpg
 
kaka hicho kitabu kinapatikana kwa jina la spells book?..kwenye website gani au google playstore?
 
Kwaivyo hayo mapepo yy mwenyw anajua kuwa anayo au hajui au anayatunza kbsa, ndo yanakuwa kma ulinzi wake kwa kumtaarfu au?
Dalilo gani zinaonesha kma huyu mtu ana mapepo au anatunza mapepo?
 
A VERY SIMPLE BUSINESS TRICK *******************************
mshana jr do you know this?
Mzizi mkavu

For the increase in sales –
Scatter
a fistful of pepper and black
grams
in your shop on Sunday. Sweep
them yourself with a broom and
bury them in a hole. Thus any
‘black magic’ or evil eye cast on
your shop becomes Ineffective,
and the sales increase many
times.
n.b
****
tryed/
it works well.

Si utumie kiswahili ndugu wengine elimu zetu std 7
 
Back
Top Bottom