Jifunze ushirikina hapa

Jifunze ushirikina hapa

mshana jr
NAANZA KUTEACH AT DEEP NOW:-
WAT I BRING HERE IS SO TRUEL AND WORK WELL,
GET KNOW.....

Benefits of Birds
When swallow feathers are
placed under the pillow of a
person, he will not be able to fall
asleep for as long as the
feathers are there.
Crow's egg, when given to an
alcoholic, will stop his habit.
When a person eats the tongue
of a mynah, parrot or cockatoo,
he will have a long tongue and
be very talkative.
Whoever eats the meat of a
pigeon will change from being
stupid to being intelligent/
Give us some more,its interesting
 
Kuna kitu natamani kujua kwa yyt mwenye ufahamu wa haya mambo nikwanini waganga wanapenda kutumia vitu vilivyokufa kwa mfano...mafuvu...ya watu...migupa labda ya mnyama nk Wakati nilikuwa naendekeza mambo hayo ya kishirikina kabla sijamjua MUNGU wa KWELI niliwahi kumuuliza swali hili Mganga 1 huko NEWALA lkn hakunijibu hadi bado natamani kujua
 
Ngekewa ni nini na inauhusiano gani na imani za kichawi
Hii nikama NYOTA ya kukubalika kwa Lugha ya BIBLIA inaitwa KIBALI manake kila unachofanya kinafanikiwa.....Pia kuna mnyama flan mdogo sana anaitwa hilo jina inasemekana anapokaa huyo mnyama basi kila aina ya wadudu wanamsogelea sasa washirikina wanamchukua wanamfanyia majambo kwenye biashara
 
kama ni aina ya sayansi si waufundishe mashuleni
 
Kuna kitu natamani kujua kwa yyt mwenye ufahamu wa haya mambo nikwanini waganga wanapenda kutumia vitu vilivyokufa kwa mfano...mafuvu...ya watu...migupa labda ya mnyama nk Wakati nilikuwa naendekeza mambo hayo ya kishirikina kabla sijamjua MUNGU wa KWELI niliwahi kumuuliza swali hili Mganga 1 huko NEWALA lkn hakunijibu hadi bado natamani kujua
" huyo ni mshirikina"
mtu akisha gusa tu human parts mwogope! ndio hao washenzi wanao maliza ndg zetu albinisms/
 
" huyo ni mshirikina"
mtu akisha gusa tu human parts mwogope! ndio hao washenzi wanao maliza ndg zetu albinisms/
mkuu naskia watu wanaongelea spell ndo nini hzo, napendaga sana kujua haya mambo ya ajabu
 
A VERY SIMPLE BUSINESS TRICK *******************************
mshana jr do you know this?
Mzizi mkavu

For the increase in sales –
Scatter
a fistful of pepper and black
grams
in your shop on Sunday. Sweep
them yourself with a broom and
bury them in a hole. Thus any
‘black magic’ or evil eye cast on
your shop becomes Ineffective,
and the sales increase many
times.
n.b
****
tryed/
it works well.
 
Ingia play store tafuta app inaitwa pinterest. Humo andika chochote kuhusu hayo mambo, utapakuliwa uleeeeee mpaka ushibe. Magic, whitches, spell, kila kituuuuu
 
Pia ukitaka fukuza wachawi au chuma ulete au wachawi ndani ya chumba au nyumba . chukua chumvi yakawaida , chukua mkaa usage/twanga uchekeche na ungawake changanya na chumvi, hiyo itaitwa black salt weka chumbani au sebuleni washikaji watashindwa ingia
 
Wanakaa opposite shule ya Bondeni.......?.....
Sorry mrembo nilikuwa offline kidogo,nafikiri itakuwa hivyo coz nyumba yao iko eneo hilo la bondeni,nyumba yao ni rangi ya njano advertisement ya MOBISOL na imeandikwa MOBIOSOL kwa juu, yeye mwenyewe mweupe chotara.
 
Back
Top Bottom