Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 361,154
- 831,823
- Thread starter
- #181
Usiishi kwenye dunia ya kufikirika SIJAKUELEWA!!! soma jibu langu kwa huyo mtu...halafu haya maneno mengine msiyaongee tu kama fasheni kama hamuijui maana yake hasa...hiyo brainwashing iko wapi hapa?najua umenielewa,na kama alivyochangia mkuu huko juu kuwa,jf inasomwa na ndugu zetu,jamaa zetu na rafiki zetu,so huwezi kuachiwa kirahisi tu ili uwa brain wash watu na mambo yasio leta maendeleo katika jamii! Think Big.
Hivi unajua hao mnaowaita ndugu wamepitia wapi kabla hawajafika JF? Huku ndio ku THINK BIG? Hebu kachunguzeni hizo simu za hao ndugu zenu muone madudu yaliyomo kabla hujaja hapa na slogan za brainwashing na think big