Kingeke Mavoya
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 619
- 599
Sio kweli wapo walio ua kwa upanga wakafa kwa maleria mkuuAuwae kwa upanga hufa kwa upanga isomwe tu ...walivyotaka kuuwa walitegemea nn ?
Sio kweli wapo walio ua kwa upanga wakafa kwa maleria mkuuAuwae kwa upanga hufa kwa upanga isomwe tu ...walivyotaka kuuwa walitegemea nn ?
Muongo! Kaa kimya, hujui chochote!
Huoni huu niujinga mkuu? Yaani umemtuma mtoto nazi ameleta umekula ufe kwani wewe ndo mwiziMbona una hofu mkuu? Uko miongoni mwa watu wasiojulikana nini? Albadir haina mchezo, inatembea haswa na inatafuta, kila aliyehusika inamchukua.
Iliwahi kusomwa Tanga miaka ya nyuma na sharifu ilikuwa balaa, watu walitafutana.
Ni baada ya mwenye shamba la minazi kuingia shambani kwake na kukuta makumbi tu ya nazi, wezi walisafisha shamba zima.
Akatangaza kwa siku tatu, aliyehusika ajitokeze mwenyewe, watu wakakaa kimya, baada ya siku tatu kupita, sharifu akaenda kuisoma, ilikuwa ni kutafutana haswa kupita kiasi.
Punda aliyebeba nazi alikufa, chuma kilichofulia nazi kilimong'onyeka, wezi wote walikufa, kila aliyekula zile nazi alikufa, iliacha gumzo kubwa Tanga miaka na miaka, yoyote aliyeshiriki katika hizo nazi alikufa.
Ni sasa hivi tu kwa kuwa madhambi yamezidi... lakini albadir huwa haina masihara.... Mpaka kesho Tanga wapo mbuzi wa albadir.... Hawana mwenyewe hao mbuzi... Wanazunguka tu mitaani... Mkamate umle ndio utaiona shughuli yake.Huoni huu niujinga mkuu? Yaani umemtuma mtoto nazi ameleta umekula ufe kwani wewe ndo mwizi
kereka mwana kukereka ..........................Hapo kwenye uchi wa mnyama hapo ndo umekera wengi, unataka kumuonyesha nani ako kabamia kako wewe poyoyo??
Ufafanuzi mzuri kabisa, Allah akubariki sanaKusoma Halal Badiri au Albadiri (Ahlul-Badr) Kwa Ajili Ya Kinga Na Kuapiza Ni Shirki Na Dhambi Kuu!
Albadir imetoka katika lugha ya Kiarabu lakini kupotolewa au kuandikwa na kusomwa makosa katika Kiswahili. Wapo wanaosema Alibadirilakini makusudio ni Ahlul-Badr, yenye maana watu wa Badr (wale waliopigana vita vya Badr). Badr ni sehemu iliyo karibu na Madiynah na ndio iliyokuwa sehemu ambayo Waislamu wakiongozwa na Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) walipambana na mushirikina wa Makkah katika vita vya kwanza baina ya pande hizo mbili. Waislamu waliohudhuria walikuwa baina ya 313 – 317, lakini pamoja na idadi yao ndogo hiyo waliweza kuwashinda washirikina waliokuwa na idadi kubwa ipatayo mara sita yao.
Kisomo cha Ahlul Badri inakuwa ni kutaja majina ya Maswahaba (Radhiya Allaahu ‘anhum) mmoja baada ya mwingine. Katika kutaja huko ni Imani ya mwenye kusoma hao Maswahaba (Radhiya Allaahu ‘anhum) wanamsaidia kwa njia moja au nyingine. Ima kupata kitu alichopoteza au kilichoibiwa au kulaaniwa aliyefanya. Na hii katika Uislamu ni njia moja ya shirki ambayo Allaah Aliyetukuka na Mtume Wake (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) wameikema na kuipiga vita sana. Allaah Aliyetukuka Anasema:
“Hakika Allaah Hasamehe kushirikishwa, na husamehe yaliyo duni ya hilo kwa Amtakaye. Na anayemshirikisha Allaah basi hakika amezua dhambi kubwa” (4: 48). Shirki ni dhuluma kubwa sana.
najua ukikiandika kuna watu wataanza kutukana kama kawaida yao;Nahisi kuandika kitu lkn Nafsi inanisuta, nahisi nitachafua ukulasa bule.
![]()
![]()
![]()
![]()
Hofu yako nini au wewe ni mojawapo wa watu waliofanya dhuluma?Waislamu kwa visasi utazani mnaenda mbinguni wote,
.aya ngoja tuyaone kesho ayo,