Jide na Gadner acheni hizooo!

Watanzania tusijidanganye!!! Hakuna kitu kizuri kama likizo yako private na family au hata wazazi. Unapata muda wa ku-reflect maisha yenu na maendeleo kwa ujumla. Ni muda mzuri pia wa ku-iron mambo ambayo hayakwenda vizuri since your last vacation. Kama una pesa tumia na utafute nyingine!! Mim likizo ni lazima, tena huwa na bajeti yake kabisa. Ishi utakavyo na si wanadamu watakavyo!!! Kwani pesa wanakutafutia?? Acheni hizo wakuu mnaopinga Manka na G wake kwenda mapumzikoni.
 
Duh kuna watu hapa hata Mikumi hawajahi fika lakini ndo kwanza wanawaponda wenzao basi kama vp anza wewe kuitangaza TZ kuna wengi hapa mpo majuu huko mtakubaliana na mm kuwa hata kitu kimoja kinacho kuonyesha wewe ni Mtanzania iwe flana au culture huna upo upo tu.
 
Its good to have a vacation like this ila mmmmm upande wa pili balaa....ni hizi hizi cd tunazonunua ama ?yaa naoenda sana nitapanga kwenda kupanda kilimanjaro tena njia ngumu ..........
 
Wajameni, naona kama tunaingilia privacy ya watu kwa kiasi kikubwa mno... Namuomba PDiddy a "wrap-up" hii mada for the interest of our sister and brother.

Its painful to read some of the comments made

sema na wewe ma bro, watu wanadhani binadamu wengine wana roho za chuma, wanapohoji kuhusu mtoto wanadhani kuna binadamu anaumba? watu wanaingilia mpaka kazi za muumba....
 
Watanzania tusijidanganye!!! Hakuna kitu kizuri kama likizo yako private na family au hata wazazi. Unapata muda wa ku-reflect maisha yenu na maendeleo kwa ujumla. Ni muda mzuri pia wa ku-iron mambo ambayo hayakwenda vizuri since your last vacation. Kama una pesa tumia na utafute nyingine!! Mim likizo ni lazima, tena huwa na bajeti yake kabisa. Ishi utakavyo na si wanadamu watakavyo!!! Kwani pesa wanakutafutia?? Acheni hizo wakuu mnaopinga Manka na G wake kwenda mapumzikoni.


nimependa hiyo kaka, watu wana pesa za mawazo bac m2 mwingine akifanya atakacho oohh anachezea pesa, yaani binadamu kiumbe kigumu sana....kama vile mwamsaidia kuzitafuta.
 
Duh kuna watu hapa hata Mikumi hawajahi fika lakini ndo kwanza wanawaponda wenzao basi kama vp anza wewe kuitangaza TZ kuna wengi hapa mpo majuu huko mtakubaliana na mm kuwa hata kitu kimoja kinacho kuonyesha wewe ni Mtanzania iwe flana au culture huna upo upo tu.

khaa watu wanaropokwa tu luv.....
 
khaa watu wanaropokwa tu luv.....

Ndo maanake unajua binadamu haelewiki kabisa tunapo kosoa lazima ujiulize kwanza wewe je ukoje? Usiwe wa kwanza kutoa boliti kwa mwanzako wakati wewe nawe bado inakuwasha.
 
Watu bwana! hizi ni dalili za umbeya kuongelea mambo ya watu tena ya chumbani.wakipanga kufanya vekesheni si wao na ratiba zao?Mbona wengine mnakaa nje ya nchi miaka yote kama hamna kwenu mbona hamjisemi na mtu kwenda likizo siku kadhaa ishakuwa nongwa! Kama unaona ni matumizi mabaya ya fedha mshauri kwanza,anaweza kukusikiliza sio mpaka kila mtu ajue hata vitu ambavyo havina maslahi kwa taifa.
 
guys hela za mtu ni zake jamani, atumie atakavyo. Mbona majuzi sijui nani uyo sijui mmiliki wa timu gani iyo katua Bongo na bonge ya ndege sijui inaitwa Boeing nini nini vile, ndani wapo less than 10 people. Dege la kubeba mo than 700 people? Mwacheni Jide atumie vijisenti vyake jamani.
 
maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua...
 
Last edited:
Mimi nakubaliana na akina Gadner kwa chochote wanachokifanya au walichofanya kuanzia kuzaa mpaka matumizi ya hela zao.

ILA tu....


Kama wangevaa fulana yenye bendera ya Tanzania pale au yenye Mount Kilimanjaro au Mbuga ya Serengeti.... hapo walipotembelea gereza, wangesaidia kutangaza TZ.......Uzalendo.

Ningewafagilia zaidi.

Mambo yao mengine personal


upi huo? natumai na wewe umeshatoka nje ya nchi kidogo, ulijitahidi kuonyesha huo uzalendo?.....
 
wote nyie pumba tuuuuuuuuuuuuuuu, kichwanii 000000000000000000, si nani wala nani
jadilini mambo ya maendeleo...
 
Mimi nakubaliana na akina Gadner kwa chochote wanachokifanya au walichofanya kuanzia kuzaa mpaka matumizi ya hela zao.

ILA tu....


Kama wangevaa fulana yenye bendera ya Tanzania pale au yenye Mount Kilimanjaro au Mbuga ya Serengeti.... hapo walipotembelea gereza, wangesaidia kutangaza TZ.......Uzalendo.

Ningewafagilia zaidi.


Mambo yao mengine personal

Priceless.
 
Wandugu comments nyingi zimejaa elements za wivu mtupu..let them enjoy...kila mtu anatamani kufanya kitu fulani kufurahisha nafsi yake lakini kutokana na kipato chao..ndio maana wengine tunaishia kujazana kwenye fukwe zetu za bongo..ni kitu kizuri ila nadhani ungekuwa na fedha ungependa utembelee hata mwezini..tuwe na tabia ya kupeana moyo pale mwenzetu anapofanya jambo fulani ambalo ni zuri...kwani kutembelea jela alilofungwa madiba ni dhambi?..to me is a history making event wangapi wanatamani kufanya hivyo lakini hawawezi hata kutembelea kaburi la baba wa taifa!!! Think big tuache tabia za uswahili zilizojaa wivu,chuki na fikra za kimasikini....we are not that poor FYI!!BIG UP JIODE AND GARDNER
 
2namshauri dada yetu hana uwezo wa kutumia pesa kijinga asije akayavaa makubwa awe makini, ni kijana mdogo sana anahitaji kutulia...hayo mambo ya akina britney spears wenzao wana mabilioni na mabilioni...yeye hata m 100 kwenye account hana, afu anatuzingua hapa na mambo eti ya edgers, nani asiyepajua cape town bwana mpaka picha kibaoooo.nawewe pia hapo juuu usimsemee.mwambie ajibu yeye.pumbav

Wazi wazi kabisa inaeleweka Kamanda!

Wabongo ndio zetu tukipata nafuu kidogo tu ya maisha basi inakuwa shida tupu!.Mambo haya bwana niyakina 'Abrahamovich", jamaa zetu wanayaiga tuu!!
 
waacheni wapate raha, vacation muhimu kama pesa inaruhusu. Na huu ndio muda mzuri kwao kujivinjari, maana Jide akija kujaaliwa kuzaa atakuwa busy na watoto.
 
Back
Top Bottom