Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Watanzania tusijidanganye!!! Hakuna kitu kizuri kama likizo yako private na family au hata wazazi. Unapata muda wa ku-reflect maisha yenu na maendeleo kwa ujumla. Ni muda mzuri pia wa ku-iron mambo ambayo hayakwenda vizuri since your last vacation. Kama una pesa tumia na utafute nyingine!! Mim likizo ni lazima, tena huwa na bajeti yake kabisa. Ishi utakavyo na si wanadamu watakavyo!!! Kwani pesa wanakutafutia?? Acheni hizo wakuu mnaopinga Manka na G wake kwenda mapumzikoni.