Jibu ni 2, tatizo ni njia

kijana umenofurahisha sana!!
swali kama hilo lazima utumie graphical method ndo peekeyake italeta jibu.
Anza hivi
2^x=2x
=>2^x-2x=0
hapa functionaly itakua hivi
f(x)=2^x-2x
let f(x)=y
utakua
y=2^x-2x
then make table of values kuanzia x=-4,-3,-2,-1,0,1,2,3na4
then chora graph of y=2^x-2x
kumbuka kua y=f(x)=0
then angalia katika graph yako thamani za x wakati y=0
utaona ziko 3 ambazo ni
x=0
x=1
x=2
sasa turudi katika swali ukitest utaona x=0 inakataa so unaipotezea.
but x=1 & x=2 zimekubali so the answers are
X=1 and X=2

natumai umeelewa

sawa ila if x=0,y=1 so haipo
 
swali kama hilo lazima utumie graphical method ndo peekeyake italeta jibu.
uko hivi
2^x=2x
=>2^x-2x=0
hapa functionaly itakua hivi
f(x)=2^x-2x
let f(x)=y
=> y=2^x-2x
then make table of values kuanzia x=-4,-3,-2,-1,0,1,2,3na4
then chora graph of y=2^x-2x
kumbuka kua y=f(x)=0
then angalia katika graph yako thamani za x wakati y=0
utaona ziko 2 ambazo n
x=1 na x=2
so the answers are X=1 and X=2
kama kunamtu hajanielewa anaweza uliza ndo madhumuni ya jukwaa hili
 
watu wabshi jibu ni kwa 4m ya de kabsa ndo mana unapata v2 mbili log kakeshe nayo hamna kitu
 
hapo hakuna any other solution than graphical method, hata utumie DE utachemsha tu,wa log ndo hata msijaribu mtaishia njiani. nimetoa graphical solution hapo juu hiyo ndio njia pekee itakayo solve hilo swali. angalieni mengine haya yanafanana
3^x=9X
4^x=16x
 
Mkuu mbona ishakwisha hapo? Hata Lindugani,Matley au Fuvu alikua hatoi hizo Hesabu kwani anajua mkondo mzima ungepata,hata ukienda kwa mkemia kunywa juice utaona karatasi za miogo watu wameshusha hayo mahesabu...

Kaka Lindugani Mlingile hakutoa kwenye zile pepa zake za Tshs 200/- za kila wikiend, but haya ni yale ambayo tulikua tunayatunga na kuyarusha shule zingine halafu yanarudi bila majibu.

Fuvu na Matley walikua walimu wa maswali ya kawaida tu,

Mkemia Juice zake alikua anatumia barafu za kuhifadhia maiti Muhimbili.

Back to topic, maliza hii hesabu mwana,
Aza Boy tulitesa kwa Number, why not you??
 
hili swali lenye mfumo huo lilishaletwa na kujibiwa zaidi ya mara mbili, tatizo la vijana mnakimbilia kutawadha mtoto kabla hajenda haja..tumieni tool inaitwa "search". msitujazie server.
 
kijana umenofurahisha sana!!
swali kama hilo lazima utumie graphical method ndo peekeyake italeta jibu.
Anza hivi
2^x=2x
=>2^x-2x=0
hapa functionaly itakua hivi
f(x)=2^x-2x
let f(x)=y
utakua
y=2^x-2x
then make table of values kuanzia x=-4,-3,-2,-1,0,1,2,3na4
then chora graph of y=2^x-2x
kumbuka kua y=f(x)=0
then angalia katika graph yako thamani za x wakati y=0
utaona ziko 2 ambazo n
x=1
x=2
:-X=1 and X=2

natumai umeelewa

Kaka,
Ku-solve graphically ni sawa tu na "trial and error",
Maana mwisho wa siku utaangalia interception tu.

Anyway,
We kuna kuna kichwa kwanza, shirikisha hata vipanga unaowaamini mkuu wangu.

Yupo jamaa pale juu kaamua kumshirikisha hadi Mwalimu wake wa Engineering but seems to be bado!!
 
hili swali lenye mfumo huo lilishaletwa na kujibiwa zaidi ya mara mbili, tatizo la vijana mnakimbilia kutawadha mtoto kabla hajenda haja..tumieni tool inaitwa "search". msitujazie server.

Tafuta hiyo thread,
Ukiipata naahidi kujipiga BAN forever.

Hili swali lina "Patent Right" yangu as a "Sole Owner" na sijawahi kulileta hapa!!
 
Kaka,
Ku-solve graphically ni sawa tu na "trial and error",
Maana mwisho wa siku utaangalia interception tu.

Anyway,
We kuna kuna kichwa kwanza, shirikisha hata vipanga unaowaamini mkuu wangu.

Yupo jamaa pale juu kaamua kumshirikisha hadi Mwalimu wake wa Engineering but seems to be bado!!

mbona unauliza swali na majibu unayo, au ndo kupimana akili mkuu??

unasema njia ya "Trial and Error" inatupa majibu lakini sioni jinsi ulivyo onesha, na mimi ninge sema kua graphical method inatoa majibu bira ya kuonesha ni jins gan inatoa majibu usinge kubali, kwa mantiki hii naomba uoneshe kimahesabu jinsi hiyo njia ya "Trial and Error" inavyo tupa majibu
 
X | 0, 1,2, 3...
2^x| 1, 2,4, 8...
2x | 0, 2,4,6...
Kwenye hiyo table hapo juu.Majibu ni X = 1 or 2.
 
mbona unauliza swali na majibu unayo, au ndo kupimana akili mkuu??

unasema njia ya "Trial and Error" inatupa majibu lakini sioni jinsi ulivyo onesha, na mimi ninge sema kua graphical method inatoa majibu bira ya kuonesha ni jins gan inatoa majibu usinge kubali, kwa mantiki hii naomba uoneshe kimahesabu jinsi hiyo njia ya "Trial and Error" inavyo tupa majibu

I salute you bro!!
2^x = 2X
Let start with x=0,
Then 2^0 = 2(0)
1 = 0 which is not true.

Come again x=1
Then 2^1 = 2(1)
2 = 2 imekuja

Try x=2
Then 2^2 =2(2)
4 = 4 nayo imekuja.

Kwa zinazoendelea hapa hazitakuja.
Even also any number <0 yaani negative nayo haitakuja coz any power of -ve will make the answer to be 1/# that is 0.###

Ni hivyo tu mkuu wangu
Then 2^
 
Aply log on both side

Xlog2=log2+logx
Xlog2-log2=logx
log2(x-1)=logx
Aya endelea sasa

Mkuu..nimependa approach ila kosa liko kwenye kufactor out log 2..cheki hapa

Xlog2-lo2=logx
Ukifactor out log 2 inatakiwa kuwa
(X-1)log2=logx
Ambapo huwezi tena kulinganisha log values kulia na kushoto
 
Jibu hili hapa wakuu:

2^x=2x......eqn (1)
Apply log both sides
Log2^x=log2x
log2^x=log2+logx
log2^x-logx=log2
log division rule
Log(2^x/x)=log2
Compare log values
2^x/x=2
2^x=x2......eqn (2)

Substitute value of 2^x in eqn (1)
Therefore:
X2=2x
Divide by x both sides:
X=2.
 
I salute you bro!!
2^x = 2X
Let start with x=0,
Then 2^0 = 2(0)
1 = 0 which is not true.

Come again x=1
Then 2^1 = 2(1)
2 = 2 imekuja

Try x=2
Then 2^2 =2(2)
4 = 4 nayo imekuja.

Kwa zinazoendelea hapa hazitakuja.
Even also any number <0 yaani negative nayo haitakuja coz any power of -ve will make the answer to be 1/# that is 0.###

Ni hivyo tu mkuu wangu
Then 2^

Duuuuu!! sasa nimegundua kwanini mwalimu wangu hakunifundisha njia hiyo kwahiyo mzee hapo ni mwendo wa kutest tu ikikataa unatupa kule itakayo kubali unachukua?? sasa hiyo njia hata mtoto wa form two si anaweza itumia?? kweli elimu haina mwisho nimeamini.
naomba nikuulize swali:
HIYO NJIA INAKUBALIKA NA NECTA???
 
Back
Top Bottom