QUALIFIED
JF-Expert Member
- Jun 13, 2012
- 773
- 119
mkuu pitia vizuri laws za log
wewe ndo itabidi ukajipange kwenye laws of logarithm mkuu
mkuu pitia vizuri laws za log
Halafu kuna kilaza anapromote njia yake feki ya graph. Hiyo njia kaka hatujaikubali, haipo. Tunataka isoviwe
Hapo mwisho sio sahihi,Aply log on both side
Xlog2=log2+logx
Xlog2-log2=logx
log2(x-1)=logx
Aya endelea sasa
Niseme tu sikupata jibu la hili swali. Miaka zaidi ya kumi imepita sasa, pengine tuna wataalam wapya wameibuka.
Kama jibu calculation yako inatoa jibu moja tu la 2, ujue kuna makosa. 1 uniacha wapi.log 2 na log x zinaisha vp mkuu mbona zinabaki hata kama zote zina base 1
Mkuu labda hukupitia majibu uliyopewa. September 12, 2012 NingaR alikupa jibu. Naliweka tena hapa lbda hukulionaNiseme tu sikupata jibu la hili swali. Miaka zaidi ya kumi imepita sasa, pengine tuna wataalam wapya wameibuka.