Jibu la I AM SINGLE

Jibu la I AM SINGLE

Nimekuwa nikifanya informal research online (taking facebook, jf and teentz as my cases ) I used a random sampling method na tanzania ndo hasa ilikuwa my focus.
Kweli kabisa of atleast 100 Tanzanian men I met online na tukawa friends (kaka na dada) only 10% of these men were free to state that they were in a relationship though hawakusita kupiga mzinga as ussual. Nilitumia facebook IDs tofauti kutuma friend request na kuwa na urafiki wa kuchat kwa wanaume ambao nilijua kabisa wana uhusiano but still when it came kwenye kuuliza haya na yale walisema wako single and so they proposed tuwe wapenzi...

Mwingine ilienda hadi tukaonana live just for a friendly chat, nkamfahamu kwa kiasi flani but still alisisitiza yuko single...cku moja bajaji man niliyekuwa nimezoea kumchukua anipeleke kwa huyu jamaa pindi tutembeleanapo akajikuta akiropoka kuhusu huyu demu wa jamaa . Kumbe alikuwa ananialika kwake for a dinner or whatever wakati mpenzi wake hayupo, all these alifanya kumaintain uongo wake hata kwa mtu ambae hakuwa interested kuwa inlove na yeye.

Back kwenye hoja ya msingi...ni kwanini watu hasa online wengi wao wamekuwa wakisema uongo? niko single while i am not......ni kwamba watanzania tumeamua kuukubali uongo uwe sehemu ya maisha yetu? au vitu vya online tunavichukulia kiutani utani tu hata pale ambapo una interact na mtu ambae ni wa heshima na anajiheshimu>?? Najua uongo ni everywhere but hapa case yetu ni online....

I remain solely down-to-earth for any criticism

Karibuni kwa mjadala,

When you advice your friend to go to lonely hearts dating site it simply means you're both rejects and nobody around you can admire you from your looks and character hence you end up dating online. I don't see why you're so bitter when you come across rejects like yourselves.
So you better put up or shut up.
Genuine people and nice looking girls don't date online. Be real girl
 
Mrembo by Nature kuna rafiki yangu mmoja aliuliza kuwa facebook wanaume wengi mno wapo single, afu wanawake wengi mno wapo in-relation, sasa swali lake hawa wanawake wapo kwenye relation na nani!? Manake wanaume wapo single?

Interesting. Kweli tunaambiwa kuwa wanawake wako wengi zaidi ya wanaume.

Halafu tunaambiwa wanaume wengi wanadai eti wapo single.

Hapo hapo, wanawake wengi wanadai wako kwenye mahusiano.

An obvious question ni hawa wanawake wako kwenye mahusiano na watu agani?

Watakuwa wako kwenye mahusiano na zombies kama Kongosho?
 
Last edited by a moderator:
When you advice your friend to go to lonely hearts dating site it simply means you're both rejects and nobody around you can admire you from your looks and character hence you end up dating online. I don't see why you're so bitter when you come across rejects like yourselves.
So you better put up or shut up.
Genuine people and nice looking girls don't date online. Be real girl
Siku ingine uelewe hoja ndo ukomment,mbona povu linakutoka???mmojawapo nini kati ya waongo,kojoa ukalale
 
married bachelor....lol

Na wale wanaosema ni "complicated" wawekwe kundi gani?

“It’s complicated" inaweza kuwa na maana kuwa “something is going on, but I don’t want to say what it is”

Inaweza pia kuwa na maana kuwa “something is going on, but I don’t know what it is” lol.

Halafu kama ni complicated, inakuwa complicated for my own benefit, for my friends, or for the persons involved in said complicated state of affairs?
 
Yani hayo ni maswali ya msingi kabisa! Na hayo yana tatiza kabisa! Wanawake wengi wako in relaation!

Interesting. Kweli tunaambiwa kuwa wanawake wako wengi zaidi ya wanaume.

Halafu tunaambiwa wanaume wengi wanadai eti wapo single.

Hapo hapo, wanawake wengi wanadai wako kwenye mahusiano.

An obvious question ni hawa wanawake wako kwenye mahusiano na watu agani?

Watakuwa wako kwenye mahusiano na zombies kama Kongosho?
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
Yani hapo ndipo pana shangaza wengi! Wana majibu mawili either its complicated or in relation ship! Alaf wanaume wako single!
Na wale wanaosema ni "complicated" wawekwe kundi gani?

“It’s complicated" inaweza kuwa na maana kuwa “something is going on, but I don’t want to say what it is”

Inaweza pia kuwa na maana kuwa “something is going on, but I don’t know what it is” lol.

Halafu kama ni complicated, inakuwa complicated for my own benefit, for my friends, or for the persons involved in said complicated state of affairs?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
You seem to understand nothing on the issue my dear, calm down and read between lines!

Stick on topic!

When you advice your friend to go to lonely hearts dating site it simply means you're both rejects and nobody around you can admire you from your looks and character hence you end up dating online. I don't see why you're so bitter when you come across rejects like yourselves.
So you better put up or shut up.
Genuine people and nice looking girls don't date online. Be real girl
 
Na wale wanaosema ni "complicated" wawekwe kundi gani?

“It’s complicated" inaweza kuwa na maana kuwa “something is going on, but I don’t want to say what it is”

Inaweza pia kuwa na maana kuwa “something is going on, but I don’t know what it is” lol.

Halafu kama ni complicated, inakuwa complicated for my own benefit, for my friends, or for the persons involved in said complicated state of affairs?
Complicated ina maana hayo mahusiano hayana uhakika..it means mtu anaweza kuingia mahusiano mapya any time
 
You seem to understand nothing on the issue my dear, calm down and read between lines!

Stick on topic!

You sound like a bitter old man, maybe you should consider swallowing some pills (eg prozac) and calm yourself down.
 
Interesting. Kweli tunaambiwa kuwa wanawake wako wengi zaidi ya wanaume.

Halafu tunaambiwa wanaume wengi wanadai eti wapo single.

Hapo hapo, wanawake wengi wanadai wako kwenye mahusiano.

An obvious question ni hawa wanawake wako kwenye mahusiano na watu agani?

Watakuwa wako kwenye mahusiano na zombies kama Kongosho?

Ni ukweli unaoshangaza sana
 
Last edited by a moderator:
Ok, thanx am proud to be old!
Let me take my pills!

But don forget to calm down my dear, this is free -stress zone.

Your welcome! Lets get back to topic my dear!

You sound like a bitter old man, maybe you should consider swallowing some pills (eg prozac) and calm yourself down.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom