Jibu la I AM SINGLE

Jibu la I AM SINGLE

Complicated means 'am married or in relation,but tempted to cheat anytime'

Uhuni tu!

Afu kumtaja taja zombie unanistua mtima

Napendekeza your next research iwe kwenye hili suala.
 
Wanawake wengi dawa yao ni kuwadanganya, asipodanganywa hakubali kabisa thats why utakuta mtu anaazima gari hata nguo ili aonekane anazo na hatimaye akubaliwe na mdada.
 
Kuna tafti zingine haziwezi kutusaidia ktk maisha, haina haja ya kufanya utafiti kama huu wakati una majibu tangiapo, fanya tafti za kibiashara, ili mwisho wa siku tupate vitu vipya, watu wanapoteza muda mwingi ktk maisha ya uhusiano, everyday your dreaming, wen will yo achieve yo drm? Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza............................................................................................................................ Tusipoteze muda mwingi ktk maeneo yasiyo na vipawa mbele in our life...

Kila kitu ktk social life kina umuhimu wake.....kuna watu wanakaa darasani hata miaka 9 wanasomea mambo haya ya human behavior (sociologists) ikiwemo hii...unafikiri ni ujinga kuwepo kwa course hii??? kila kitu ni muhimu kwa namna yake
 
Kuna tafti zingine haziwezi kutusaidia ktk maisha, haina haja ya kufanya utafiti kama huu wakati una majibu tangiapo, fanya tafti za kibiashara, ili mwisho wa siku tupate vitu vipya, watu wanapoteza muda mwingi ktk maisha ya uhusiano, everyday your dreaming, wen will yo achieve yo drm? Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza............................................................................................................................ Tusipoteze muda mwingi ktk maeneo yasiyo na vipawa mbele in our life...

Wapi kabatan ka "like"...u deserve it
 
Nimekuwa nikifanya informal research online (taking facebook, jf and teentz as my cases ) I used a random sampling method na tanzania ndo hasa ilikuwa my focus.
Kweli kabisa of atleast 100 Tanzanian men I met online na tukawa friends (kaka na dada) only 10% of these men were free to state that they were in a relationship though hawakusita kupiga mzinga as ussual. Nilitumia facebook IDs tofauti kutuma friend request na kuwa na urafiki wa kuchat kwa wanaume ambao nilijua kabisa wana uhusiano but still when it came kwenye kuuliza haya na yale walisema wako single and so they proposed tuwe wapenzi...

Mwingine ilienda hadi tukaonana live just for a friendly chat, nkamfahamu kwa kiasi flani but still alisisitiza yuko single...cku moja bajaji man niliyekuwa nimezoea kumchukua anipeleke kwa huyu jamaa pindi tutembeleanapo akajikuta akiropoka kuhusu huyu demu wa jamaa . Kumbe alikuwa ananialika kwake for a dinner or whatever wakati mpenzi wake hayupo, all these alifanya kumaintain uongo wake hata kwa mtu ambae hakuwa interested kuwa inlove na yeye.

Back kwenye hoja ya msingi...ni kwanini watu hasa online wengi wao wamekuwa wakisema uongo? niko single while i am not......ni kwamba watanzania tumeamua kuukubali uongo uwe sehemu ya maisha yetu? au vitu vya online tunavichukulia kiutani utani tu hata pale ambapo una interact na mtu ambae ni wa heshima na anajiheshimu>?? Najua uongo ni everywhere but hapa case yetu ni online....

I remain solely down-to-earth for any criticism

Karibuni kwa mjadala,


Kwa taarifa yako ninyi ndo mnaozalisha waongo! Hebu tuambie huo utafiti wako umetusaidia nini?
 
Kuna tafti zingine haziwezi kutusaidia ktk maisha, haina haja ya kufanya utafiti kama huu wakati una majibu tangiapo, fanya tafti za kibiashara, ili mwisho wa siku tupate vitu vipya, watu wanapoteza muda mwingi ktk maisha ya uhusiano, everyday your dreaming, wen will yo achieve yo drm? Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza............................................................................................................................ Tusipoteze muda mwingi ktk maeneo yasiyo na vipawa mbele in our life...

ln addition to this,you will never write off men,women needs men,and no way out you can change dis,
by the way,huyu mtafiti anatakiwa kuweka wazi je yeye alitegemea out come iwe vipi,becides, wanawake wengi ukiwapa ukweli hautakulipa,bora kuwadanganya,na pia utafiti mdogo unaonyesha wanake wanapenda kudanganywa.
 
My grandama told me truth begets truth do does a lie..If you lied kuwafanya wenzio ma guinea pigs kupata data za research yako utapata hayohayo..
jamii yetu imeshazoea ujanja+uongouongo,mwanamke wa kiswahili mchane facts kwamba kwenu we choka
na ada ya shule ulilipiwa na mjomba ako....uone...Nduuuki neneeee!!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom