Jhpiego kiini macho cha ajira

Jhpiego kiini macho cha ajira

I am just saying fellow africans...mimi nlipata kazi yangu ya kwanza straight from University bila kuwa referred na mtu yeyote, tena kwenye multinational company..ila hakuna sheria inayokataza kuajiri mtu unayemjua..acheni kulalamika,,jengeni competencies..kazi za kugombania kwa high level interview, communication and related skills ziko nyingi tu...ila sababu waafrika mmekalia lawama tu..kazi zinaenda kwa wahindi na wengine walio aggressive!!...wake up people!!

Being employed by a multinational company doesn't mean that you are exceptional wala haimaanishi kuwa uko competent kuliko wengine wote...you just got luck

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Being employed by a multinational company doesn't mean that you are exceptional wala haimaanishi kuwa uko competent kuliko wengine wote...you just got luck

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Everyone makes his own luck my friend..I have worked on my communication skills and I am excellent at it..if I have read and researched more about the company than you did in preparation for the interview..if I have worked on my confidence level overtime and its now at its peak..if. I focused on my studies at school, got better grades than you did..obviously I'll be more 'lucky' than you, ALL THE TIME..don't you think??
 
ujue hapa unaweza ukasema hata unamiliki kampuni ya ndege kwa kuwa hutukuoni. Lakin ukweli unaujua, huna jipya, i can read your ability from the way u construct ur argument. We can expect nothing new from individual like u. Eti bil get? Ndo amekaririshwa
Endelea kuajiriwa na kuwahamisisha vijana kutokujiajiri coz that is ur level of incompetence
 
Tatizo letu jingine watanzania ni ubinafsi, kwa kuwa tatizo halikugusi kwa wakati huo basi si lako bali la wengine, wale. Na tunatupa mzigo wa lawama kwa wale walio katika tatizo kwamba ndio wanabear responsibility kwa tatizo walilomo, wakazi wa mabondeni wanapofikwa na mafuriko tutawabebesha lawama, walio kando kando ya barabara wanakumbwa na bomoa bomoa tutawapa lawama. Hata kipindi kile baadhi ya wanafunzi walipokuwa wanakosa mikopo kwa kuwa hawajafikia daraja flani la ufaulu bado kuna wanafunzi waliokuwa wanapata mikopo waliwapa mzigo wa lawama hawa ambao hawajafaulu kwa kiwango cha kupata mikopo. Na katika ajira wasio na ajira wanaonwa na baadhi ya walio katika ajira kuwa ni kosa lao, hawako competent, wanabagua kazi na maeneo, hawataki kujitolea and all that kind of stuff...kwanini? Kwa sababu ya ubinafsi tu.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Everyone makes his own luck my friend..I have worked on my communication skills and I am excellent at it..if I have read and researched more about the company than you did in preparation for the interview..if I have worked on my confidence level overtime and its now at its peak..if. I focused on my studies at school, got better grades than you did..obviously I'll be more 'lucky' than you, ALL THE TIME..don't you think??

Now this is meritocracy, u should be employed on this basis and not otherwise. Kama watakuajiri kwa sifa hizi hiyo ni fair na ndiyo tunayoililia hapa na si kwa kuwa unafahamiana na muajiri kwamba eti utakuwa loyal kwake.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Vijana acheni kulalama katika hii dunia ya utandawazi mwenye network kubwa ndiyo anafanikiwa.Jifunzeni kutengeneza network hata kwa kuomba kazi kwa kujitolea kwenye hizo organization.

Yeah, hata mimi nillimshauri binti mmoja graduate kuhusu jambo hilo.
Tangu amalize chuo yuko home miaka mitatu sasa anadai eti kazi ni kwa kujuana au kutoa rushwa ya ngono..
 
Hawa jamaa hawasomeki maana mambo yao huishia kwenye application its hard to know contacted applicants
 
Kujuana muhim sn! Hata JK kamchukua Mama Salma kuwa first lady! Chezea bongo ww!
 
Mwaka umekwisha ndugu zangu,muda wote huo mliopoteza na mnaoendelea kupoteza ulikua unatosha kabisa kufanya jambo lenye manufaa,hasa kujiajili.Kwa mfano mtu unamiliki simu aina ya brackberry,laptop au desktop computer ambazo unaweza kuuza na kupata mtaji mdogo,unaoweza kukuwezesha kufungua hata biashara ya matunda au juice,mashuleni au vyuoni,mfano ukiuza glasi 200 za juisi kwa shilingi 300 ni sawa na 60,000 kwa siku,ambayo ni sawa na 1,200,
000 kwa mwezi,kwa siku 20, ukitoa siku za wikiendi,mtaji hauzidi shilingi 500,000.Ukitoa gharama za ushuru na mengineyo,haukosi kuanzia 800,000 hadi 900,
000 kwa mwezi.kumbuka kuna waajiliwa hawapati kiasi hicho kwa mwezi na wanahodhi madaraka makubwa ofisini.Je unataka uajiliwe kama status tu au utengeneze pesa,mtakufa masikini ndugu zangu.
 
Hii inaruhusiwa mkuu,,hakuna dhambi..kikubwa ni kutengeneza na wewe network ya kufahamika na watu strategic..hata mimi ningekuwa mwajiri ningeajiri wale walio recommended kwanza..its less risky, na unatengeneza watu wanaoku-'owe'..which is good for other business deals..tembelea ofisi za wahindi mjini..wote wameajiri ma-cousin,niece,nephew..etc..hakuna dhambi!!

Acheni kusuport ujinga jamani, network ni nini? upuuzi mtupu, kama sisi kwetu mi ndo nliesoma tu, ukoo wetu ni masikini sana na simjui mtu ila ninavigezo vyote vya hiyo kazi na uwezo wa kuifanya ninao kutokana na field nlioisomea, leo hii unaniambia sintaitwa kwa interview kwa kua sina mtu anaenifahamu, hii inaingia akilini kweli? da! inauma sana, ila yatakua na mwisho tu, haya ni mapito tu.
 
hapana mkuu pale kazi zipo wazi tu mbona mimi nilifanyiwa interview kwa sim nanikapata kazi nikaitwa kazini dodoma office na sijuani na mtu yeyote lakini sikuenda kwasababu nilipata kazi nyingine
 
Hiyo ni kweli wanatoa mimi niliomba nikaitwa nikafanya interview na nikapata kazi tukashindana maslai,nilipo achana nao walitangaza tena hiyo nafasi!

Okay bwana Kajembe ,tulipiga interview Juzi kati ya kuandika...nahisi nishatoswa tena..Wacha nijipange
 
Hii inaruhusiwa mkuu,,hakuna dhambi..kikubwa ni kutengeneza na wewe network ya kufahamika na watu strategic..hata mimi ningekuwa mwajiri ningeajiri wale walio recommended kwanza..its less risky, na unatengeneza watu wanaoku-'owe'..which is good for other business deals..tembelea ofisi za wahindi mjini..wote wameajiri ma-cousin,niece,nephew..etc..hakuna dhambi!!

m2 mwenye kazi utamjua tu hata kwa coment zake.
 
Mwaka umekwisha ndugu zangu,muda wote huo mliopoteza na mnaoendelea kupoteza ulikua unatosha kabisa kufanya jambo lenye manufaa,hasa kujiajili.Kwa mfano mtu unamiliki simu aina ya brackberry,laptop au desktop computer ambazo unaweza kuuza na kupata mtaji mdogo,unaoweza kukuwezesha kufungua hata biashara ya matunda au juice,mashuleni au vyuoni,mfano ukiuza glasi 200 za juisi kwa shilingi 300 ni sawa na 60,000 kwa siku,ambayo ni sawa na 1,200,
000 kwa mwezi,kwa siku 20, ukitoa siku za wikiendi,mtaji hauzidi shilingi 500,000.Ukitoa gharama za ushuru na mengineyo,haukosi kuanzia 800,000 hadi 900,
000 kwa mwezi.kumbuka kuna waajiliwa hawapati kiasi hicho kwa mwezi na wanahodhi madaraka makubwa ofisini.Je unataka uajiliwe kama status tu au utengeneze pesa,mtakufa masikini ndugu zangu.
una uhakika gani kua kila anayetafuta kazi ana blackbery,laptop na desktop?kuongea ni rahic kuliko kutenda ndugu
 
Back
Top Bottom