Pdraze
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 615
- 324
acha izo wanafundishwa ili waajiliwe mitaala inawaandaa ivoElimu ya Tz ni janga la kitaifa, vijana wanasoma ili waajiriwe.
acha izo wanafundishwa ili waajiliwe mitaala inawaandaa ivoElimu ya Tz ni janga la kitaifa, vijana wanasoma ili waajiriwe.
Ni tofauti zinazofanana, hiyo hiyo mitaala ndo janga la kitaifaacha izo wanafundishwa ili waajiliwe mitaala inawaandaa ivo
una uhakika gani kua kila anayetafuta kazi ana blackbery,laptop na desktop?kuongea ni rahic kuliko kutenda ndugu
Hii NGO na nyingine kama , EngenderHealth, Elizabeth Glaser Padiatric, kila mara wanatoa matangazo ya kazi kwenye magazeti ila upatikanaji wake ni kizungumkuti.
Pole, ila inaonekana hunda detail za kutosha za EGPAF, si kila uki apply ndo uitwe kwa interview.
halafu ukiitw kwenye interview uombe mungu kuwe hamna mwanamke kwani HR wao anapenda chupi kweli kweli.
hao jpiego nimeshawachoka sihangaiki nao tena.
Very true ndugu, hawa wengine wanadhan ukiapply ni must kupewa, hawaangalii vigezo stahili na competency yao, wao wanadhani kuwa cv zao zimekaa vizuri kushinda watu wote, kumbe siyojhpiego hawana hizo...me nilipata kazi kwao na sikuwa namjua mtu yoyote...kazi ni qualifications zako na unavyojiexpress...nothing more
kwa hiyo ndugu kaza buti
Kiongozi mkuu wa NGO hiyo ni Counrty Director na Sio Managing Director kama usemavyo. Acha uvivu wa kufikiri na kutafuta visingizio, Kasome uongeze elimu, Nenda Jhpiego Kaombe Feedback kwa nini hukuchaguliwa, fanyia kazi areas of growth au weekness utakazo ambiwa then anza upya. Huwezi kusema umeonewa kwa fikra zako tu bila kujua wangapi waliomba kazi ile na wewe na wao uzoefu, elimu na IQ zenu zimeachana vipi.....vinginevyo utalia lia kila siku.
Kiongozi mkuu wa NGO hiyo ni Counrty Director na Sio Managing Director kama usemavyo. Acha uvivu wa kufikiri na kutafuta visingizio, Kasome uongeze elimu, Nenda Jhpiego Kaombe Feedback kwa nini hukuchaguliwa, fanyia kazi areas of growth au weekness utakazo ambiwa then anza upya. Huwezi kusema umeonewa kwa fikra zako tu bila kujua wangapi waliomba kazi ile na wewe na wao uzoefu, elimu na IQ zenu zimeachana vipi.....vinginevyo utalia lia kila siku.
Watanzania tubadililike.... ukishindwa mtihani umeonewa, Ukishindwa interview ndo kaisa, Ukiugua umelogwa.... duh.
Very true ndugu, hawa wengine wanadhan ukiapply ni must kupewa, hawaangalii vigezo stahili na competency yao, wao wanadhani kuwa cv zao zimekaa vizuri kushinda watu wote, kumbe siyo
Kiongozi mkuu wa NGO hiyo ni Counrty Director na Sio Managing Director kama usemavyo. Acha uvivu wa kufikiri na kutafuta visingizio, Kasome uongeze elimu, Nenda Jhpiego Kaombe Feedback kwa nini hukuchaguliwa, fanyia kazi areas of growth au weekness utakazo ambiwa then anza upya. Huwezi kusema umeonewa kwa fikra zako tu bila kujua wangapi waliomba kazi ile na wewe na wao uzoefu, elimu na IQ zenu zimeachana vipi.....vinginevyo utalia lia kila siku.
Acha uzushi bhana, HR wao ni mwanamke, Halaf unapitia interview kama 3, na unakutana na watu zaidi ya 2, Hivi yafaa nini kuzusha au kujadili jambo ambalo hulijui? Nenda ofisi zao pale victoria utapewa detail za akina nani wameitwa kwa interview halafu fuatilia na uone kama walikuwa na ndugu walio wasimamia au la!!
Acha uzushi bhana, HR wao ni mwanamke, Halaf unapitia interview kama 3, na unakutana na watu zaidi ya 2, Hivi yafaa nini kuzusha au kujadili jambo ambalo hulijui? Nenda ofisi zao pale victoria utapewa detail za akina nani wameitwa kwa interview halafu fuatilia na uone kama walikuwa na ndugu walio wasimamia au la!!