Jhpiego kiini macho cha ajira

Jhpiego kiini macho cha ajira

Elimu ya Tz ni janga la kitaifa, vijana wanasoma ili waajiriwe.

utakuta we mwenyewe umeajiriwa. Nashangaaga sana una kuta mtu ameajiriwa alafu anawaambia wenzaje jiajiri, kama ni rahis hivyo kwa nin we usijiajiri, unaendelea kuwa kibaraka cha mwajiri. Fursa zipo sawa, lakin je miundo mbinu ina sapoti?
 
Hii inaruhusiwa mkuu,,hakuna dhambi..kikubwa ni kutengeneza na wewe network ya kufahamika na watu strategic..hata mimi ningekuwa mwajiri ningeajiri wale walio recommended kwanza..its less risky, na unatengeneza watu wanaoku-'owe'..which is good for other business deals..tembelea ofisi za wahindi mjini..wote wameajiri ma-cousin,niece,nephew..etc..hakuna dhambi!!

Wapi inaruhusiwa hii? Kwa sababu umenufaika na mfumo huu usiuhalalishe.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Pole sana, ila check vigezo na masharti ya ku-apply, sifanyi kazi Jhpiego ila najua waombaji wengi kuna kitu kinaitwa salary history wanasahau kuandika. Halafu pia kuna ishu ya ku select project ya kuomba na location, wengi mnaomba zile zenye competition kubwa na mnataka mkae mjini. Suala la upendeleo sina hakika, kuna watu nawafahamu kabisa hawana mpambe lakini wameitwa kwa interview. Katika NGO zenye HR walio stable na wacha Mungu ninazo zifahamu Jhpiego ni mojawapo!!

Halafu naona wengi wamecomment kwa mazoea, but the truth is on the other side of the river!!

Shutuma hizi ni widespread kusema tu HOUR wao ni mchamungu haitoshi kumsafisha, upendeleo upo.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hii inaruhusiwa mkuu,,hakuna dhambi..kikubwa ni kutengeneza na wewe network ya kufahamika na watu strategic..hata mimi ningekuwa mwajiri ningeajiri wale walio recommended kwanza..its less risky, na unatengeneza watu wanaoku-'owe'..which is good for other business deals..tembelea ofisi za wahindi mjini..wote wameajiri ma-cousin,niece,nephew..etc..hakuna dhambi!!

alafu wewe tofautisha makampun ya kifamilia na mashirika ya umma. Ngo ni mashirika sawa ya umma kwan hela zao zimetolewa na wafadhil kwa ajil ya wananch wa tanzania
 
utakuta we mwenyewe umeajiriwa. Nashangaaga sana una kuta mtu ameajiriwa alafu anawaambia wenzaje jiajiri, kama ni rahis hivyo kwa nin we usijiajiri, unaendelea kuwa kibaraka cha mwajiri. Fursa zipo sawa, lakin je miundo mbinu ina sapoti?
Acha kubwabwaja, ni vyema watu wakawa creative kama mimi na ku-find alternative ways of making a better life si kungoja kuajiriwa kila siku. Unamkuta kijana 5 yrs anaswaga soli kutafuta kazi. Bil gate alikacha masomo university akiwa mwaka wa pili baadaye akawa tajiri wa dunia. Halafu una jazba nadhani una frustration za kuajiriwa na upo ofisini unapigika mida hii.
 
alafu wewe tofautisha makampun ya kifamilia na mashirika ya umma. Ngo ni mashirika sawa ya umma kwan hela zao zimetolewa na wafadhil kwa ajil ya wananch wa tanzania

Ha ha...ndugu yangu,,,NGO sio shirika la umma,,umeshasikia watu wanalipwa kwa kutumia TGS D huko?..principally, hata wewe unaweza kuanzisha NGO yako na ukapata hela za wafadhili...hii haiifanyi kuwa sehemu ya serikali, au ya kiserikali..tena you can even call it family business sababu ilikuwa ni idea yako na juhudi zako...
 
Wapi inaruhusiwa hii? Kwa sababu umenufaika na mfumo huu usiuhalalishe.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

I am just saying fellow africans...mimi nlipata kazi yangu ya kwanza straight from University bila kuwa referred na mtu yeyote, tena kwenye multinational company..ila hakuna sheria inayokataza kuajiri mtu unayemjua..acheni kulalamika,,jengeni competencies..kazi za kugombania kwa high level interview, communication and related skills ziko nyingi tu...ila sababu waafrika mmekalia lawama tu..kazi zinaenda kwa wahindi na wengine walio aggressive!!...wake up people!!
 
Hata kuvolunteer ishu, lazima awepo mtu ndani wa kukukingia kifua mwanzo mwisho

Siku ikijulikana kuwa waafrika wote tuna mawazo kama haya, africa haitaendelea kamwe...you guys need to build your confidence..the only thing that stands between someone and winning is their desire to succeed..ONLY..acheni uoga
 
Pole sana, ila check vigezo na masharti ya ku-apply, sifanyi kazi Jhpiego ila najua waombaji wengi kuna kitu kinaitwa salary history wanasahau kuandika. Halafu pia kuna ishu ya ku select project ya kuomba na location, wengi mnaomba zile zenye competition kubwa na mnataka mkae mjini. Suala la upendeleo sina hakika, kuna watu nawafahamu kabisa hawana mpambe lakini wameitwa kwa interview. Katika NGO zenye HR walio stable na wacha Mungu ninazo zifahamu Jhpiego ni mojawapo!!

Halafu naona wengi wamecomment kwa mazoea, but the truth is on the other side of the river!!

Kweli mkuu NGO hasa zile International zinajitahidi kufuata taratibu kwa kuwa zina policy nzuri za ajira pia lazima ieleweke kwamba wakati unaomba unaweza kuwa na vigezo kweli lakini wenye vigezo kama vyako mkawa wengi na ikumbukwe kwamba wasomi siku hizi ni wengi, tena kwenye ajira kama NGO wengi wao ni watu wa kuhamahama, unakuta mtu mwingine anaomba kutoka NGO nyingine ambayo imetekeleza project kwa mafanikio inayofanana na hiyo ya Jhpiego hivyo in most cases lazima atapewa.

Kwa kazi za mjini kiukweli unatakiwa ujipange pia usikate tamaa maana siku hizi kila mtu msomi na ana qualification za kutosha na unaweza kuwa na vigezo kumbe wenye vigezo kama vyako mko kama 100 na kwenye mashirika ni tofauti na serikalini kama zilivyotoka zile post za NSSF, nafasi zipo chache mnaita watu 2000 kwenye interview lakini kwenye mashirika nafasi moja wanafanya mchujo zile application na kupata application kama tano ndio wanaita kwenye interview na sidhani kama kila mtu atajiaminisha kwamba katika Tanzania nzima ni yeye tu ndio ana vigezo (mfano hapa tu kwenye comment ya uzi huu waliosema wana vigezo wamezidi watano na Jhpiego ana shortlist watu 5 na ikumbukwe women are encourage to apply hivyo kwa wanaume watakuwa wawili / watatu na kwa wanawake the same si unajua mambo ya gender)

Tumeni tu application pia tukumbuke ku-update CV zetu sio tangu mwanzo wa mwaka mpaka mwisho unatuma CV ileile
 
Siku ikijulikana kuwa waafrika wote tuna mawazo kama haya, africa haitaendelea kamwe...you guys need to build your confidence..the only thing that stands between someone and winning is their desire to succeed..ONLY..acheni uoga

Watu kama nyie mnahitajika sana kuhakikisha vijana wengi wanabadili mtazamo, ukiwaza kukingiwa kifua huwezi fika, kama mtu una qualification na experience za kutosha ajira zipo ila zitachelewa tu kidogo na huwezi pata kazi bila kujaribu kutuma application mara kwa mara. Na lazima ieleweke kwamba kwenye mashirika mengi ya kimataifa kuna sera ya ku-promote staff waliopo hivyo unakuta kuna post zingine ni za managerial na unakuta wakati tangazo linatoka kuna ambao wana apply kutoka nje na kuna wanaoapply kutoka ndani labda post anayoomba ni ya juu kuliko ile aliyonayo hivyo kwa mtaji huu yule alie ndani ya organisation iwe ni volunteer au staff ana nafasi ya kupata kwa kuwa tayari anaijua organisation lakini pia kama ni kilaza akashindwa interview atapewa mtu wa nje.

Nina support watu wawe wanajitolea na kama huna ajira kabisa si mbaya kama ukachukua post ya chini ambayo haina competition ili uweze kusoma mazingira maana ndani ya mashirika huwa kuna vinafasi vingi ambavyo hupewa existing staffs na wakati mwingine kuna issue ya kumuiba staff kutoka shirika lingine si unajua huwa wanakutana kwenye makongamano (huwezi kufika peponi bila kufa)
 
sasa wewe kweli na akili zako tuki base kwenye network za undugu na kulipana fadhila , je hao wenye vigezo kakn hawana ndugu. Pia kama ni hiuyo kwa nini watangaze

Sometimes wanatangaza sababu donor anataka kuwe na fairness kwenye recruitment process,,lakini wewe unadhani quality ya employee ni vyeti tu?..kuna kitu kinaitwa loyalty ndugu yangu..the quickest way ya kupata watu loyal ni kutafuta ndani ya existing cycles of trust...hii sio Tanzania tu,,,hata marekani ipo..you guys need to grow up
 
Watu kama nyie mnahitajika sana kuhakikisha vijana wengi wanabadili mtazamo, ukiwaza kukingiwa kifua huwezi fika, kama mtu una qualification na experience za kutosha ajira zipo ila zitachelewa tu kidogo na huwezi pata kazi bila kujaribu kutuma application mara kwa mara. Na lazima ieleweke kwamba kwenye mashirika mengi ya kimataifa kuna sera ya ku-promote staff waliopo hivyo unakuta kuna post zingine ni za managerial na unakuta wakati tangazo linatoka kuna ambao wana apply kutoka nje na kuna wanaoapply kutoka ndani labda post anayoomba ni ya juu kuliko ile aliyonayo hivyo kwa mtaji huu yule alie ndani ya organisation iwe ni volunteer au staff ana nafasi ya kupata kwa kuwa tayari anaijua organisation lakini pia kama ni kilaza akashindwa interview atapewa mtu wa nje.

Nina support watu wawe wanajitolea na kama huna ajira kabisa si mbaya kama ukachukua post ya chini ambayo haina competition ili uweze kusoma mazingira maana ndani ya mashirika huwa kuna vinafasi vingi ambavyo hupewa existing staffs na wakati mwingine kuna issue ya kumuiba staff kutoka shirika lingine si unajua huwa wanakutana kwenye makongamano (huwezi kufika peponi bila kufa)

Embu tafadhali waambie hawa vijana...waafrika tumezidi kupenda downhill slopes..tunadhani kwa sababu una masters ya kutoka UD basi employers wote watakukimbilia wewe wakupigie magoti..no way!!..nimewahi kusikia stori ya mtu aliyeenda kuomba kazi ya ulinzi kwa kutumia cheti cha form IV..wakati ana masters ndani,just to get familiarity na watu wa ofisi..baada ya muda kwanini wasimwite ndani???
 
John Snow Inc Je?

Hii NGO na nyingine kama , EngenderHealth, Elizabeth Glaser Padiatric, kila mara wanatoa matangazo ya kazi kwenye magazeti ila upatikanaji wake ni kizungumkuti.
 
Embu tafadhali waambie hawa vijana...waafrika tumezidi kupenda downhill slopes..tunadhani kwa sababu una masters ya kutoka UD basi employers wote watakukimbilia wewe wakupigie magoti..no way!!..nimewahi kusikia stori ya mtu aliyeenda kuomba kazi ya ulinzi kwa kutumia cheti cha form IV..wakati ana masters ndani,just to get familiarity na watu wa ofisi..baada ya muda kwanini wasimwite ndani???

Tunasikiliza sana mambo ya vijiweni na kuyajenga kichwani, siku hizi mtu ana ajiri mtu ambae ata-deliver na kwenye NGO ni tofauti na serikalini, project ni 3-5 years sasa uweke ndugu yako hapo itakuaje kama akishindwa si ni kasheshe na mradi unahesabiwa muda tangu zoezi la kuajiri limeanza wakati mnatafuta mtu mwingine tayari mwaka umekwisha hapo donor ataambiwa nini.

Wajaribu tu uzuri kuna CV zingine huwa zinatunzwa hata kama hujawa shortlisted na kama kuna post wametoa baada ya hata mwaka unaweza kupigiwa na kuelezwa kwamba kuna post wametoa kama upo interested unaweza omba na watakuita kwenye interview na ukifanya vizuri wanakuchukua
 
Ha ha...ndugu yangu,,,NGO sio shirika la umma,,umeshasikia watu wanalipwa kwa kutumia TGS D huko?..principally, hata wewe unaweza kuanzisha NGO yako na ukapata hela za wafadhili...hii haiifanyi kuwa sehemu ya serikali, au ya kiserikali..tena you can even call it family business sababu ilikuwa ni idea yako na juhudi zako...

we kweli mbulula, Ngo zilianza kuanzishwa pale wafadhili walipoona misaada inayopitia katika serikal za kiafrika zinaishia kwenye ubadhilifu. So Ngo ni hela za wananch zilizotelewa kufadhili miradi ya wananchi, ndo maana zinafanyiwa auditing na ripoti kupelekwa wa wafadhili na ndo maana pia zimesamehewa kodi. Kwa hiyo ujue hata kama ni idea yako ni kwa ajili ya public na hela zanazotolewa na wafadhil intetion sio kusaidia familia yenu kama unavyodai, ni kwa ajil ya ku run community project
 
we kweli mbulula, Ngo zilianza kuanzishwa pale wafadhili walipoona misaada inayopitia katika serikal za kiafrika zinaishia kwenye ubadhilifu. So Ngo ni hela za wananch zilizotelewa kufadhili miradi ya wananchi, ndo maana zinafanyiwa auditing na ripoti kupelekwa wa wafadhili na ndo maana pia zimesamehewa kodi. Kwa hiyo ujue hata kama ni idea yako ni kwa ajili ya public na hela zanazotolewa na wafadhil intetion sio kusaidia familia yenu kama unavyodai, ni kwa ajil ya ku run community project

Ha ha haaaa...una degree ya nini ndugu yangu?..unaonaje kama jumatatu ukienda kwenye moja ya hizi NGO na hiyo lame story ya 'shirika la umma' uone kama watakuajiri?...ha ha ha..watu kama wewe zamani walikuwa wanaenda kuomba kazi wakilia kuwa wana familia inawategemea kwa hiyo wapewe kazi,,ha ha ha ha
 
Acha kubwabwaja, ni vyema watu wakawa creative kama mimi na ku-find alternative ways of making a better life si kungoja kuajiriwa kila siku. Unamkuta kijana 5 yrs anaswaga soli kutafuta kazi. Bil gate alikacha masomo university akiwa mwaka wa pili baadaye akawa tajiri wa dunia. Halafu una jazba nadhani una frustration za kuajiriwa na upo ofisini unapigika mida hii.

ujue hapa unaweza ukasema hata unamiliki kampuni ya ndege kwa kuwa hutukuoni. Lakin ukweli unaujua, huna jipya, i can read your ability from the way u construct ur argument. We can expect nothing new from individual like u. Eti bil get? Ndo amekaririshwa
 
Back
Top Bottom