figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
hapa kinacho takiwa ni refa kuwa fea. tukiangukiana asipige kipenga. mfano mimi Amyner akiniangukia, amuache juu yangu hadi atakapo amua kuamuka mwenyewe. miaimekaa kikike zaidi..
hapa kinacho takiwa ni refa kuwa fea. tukiangukiana asipige kipenga. mfano mimi Amyner akiniangukia, amuache juu yangu hadi atakapo amua kuamuka mwenyewe. mia
'..............when your enemies makes mistakes don't interrupt them...................'
Hahahahahaaaaaaaa
Hapo vipi?
Huyo ni charmiglady au ...
shindwa shindwa shindwaaaaa....
me daktari wa timu, nipo full na first aid kit hapa!
naomba kuwa dr wa timu! hasa wa maeneo ya chini!
Mi naomba nafasi kwenye bench afu niwe naingia kipindi cha pili wakati imebakia dakika kama 2 mpira kuisha maana mh afya yangu nikicheza dakika 90 nitakufa na heart attack
Mi naomba kuwa mtaalamu wa kuchua misuli kabla na baada ya mchezo......
Mi naomba kuwa mtaalamu wa kuchua misuli kabla na baada ya mchezo......
Samahani mama mkwe,
kabila lako tafadhali maana naona umepaniki mpaka unaongea kilugha chenu.