zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
- Thread starter
- #21
usijali tupo pamoja
Mbn kama umekata tamaaa vile.
usijali tupo pamoja
mi mpeku peku, viatu vya nini
Mtoa mada plse kesho fika pale ofisi za Precision Air , waone vijana wangu, uliza Isaac mpe habari zako then atakupatia maelezo namna ya utaratibu wa utakavyokua unaenda kuchukua viatu hapo.
Nitakua navituma kwa flight !
Be honestly kijana!
Nimeshafika hapa mbona hawakufahamu.
mi mpeku peku, viatu vya nini
Kijana usiniumbue! Na usifanye utani utawaponza hao vijana, nitimue ofisi nzima ! Mimi ndiyo Invizibo wa hapo!
Au ume'missplace buildin' ?
jg umenchekeshaje et invisible, au kenda 540 huyo!
jg umenchekeshaje et invisible, au kenda 540 huyo!
Mbn kama umekata tamaaa vile.
Kijana usiniumbue! Na usifanye utani utawaponza hao vijana, nitimue ofisi nzima ! Mimi ndiyo Invizibo wa hapo!
Au ume'missplace buildin' ?
jg umenchekeshaje et invisible, au kenda 540 huyo!
Umenisumbua sana...hata hawakufahamu pale...
Kijana!
Kijana !
Ohoo!
Plse beg me apology ! Don tell me such a thing in from of pipo!
Unavijua vya idadi ya vi'degree vyangu ?
Nenkya nimgambire profesor Tibaijuka akugambire my profile !
My hubby karibu chakula
Ahsante my wife...mh unavyojua kupika daaaah
nakuona unavyojiramba