JF Woman and Man of The Year 2010: Mchakato Wa Kuwapata

Ni Nani Anafaa Kuwa "JF Man of the Year 2010"?

  • Acid

    Votes: 23 40.4%
  • Kiranga

    Votes: 12 21.1%
  • Nyani Ngabu

    Votes: 22 38.6%

  • Total voters
    57
  • Poll closed .
I am disqualified already. Damn!!!

Lakini pouwa....lazima kuna mtu atanipendekeza kwa ile au zile ID zangu tofauti....

Duh! Mkuu umenichekesha sana. Kwani wewe ni mtu wa shari? Mbona mimi nakuona poa tu. Subiri kuna wadau wanaweza kukupendekeza.

Hakuna mtu ungependa kumpendekeza?
 
Mkuu JS ni nani? Unaweza kutuelezea ni nani na mabandiko yake ni yapi? Jamaa wasije wakaleta tuhuma kuwa tunachakachua.

JS ni Shugacake. Binti mmoja wa Kichaga aliye maridadi na makini sana. Mada anazoanzishaga hufanya watu wakune sana vichwa kutokana na zilivyo makini.
 
Hapo Nyamayao out.....lol

Aspirin out

Teamo out

Maria Roza out

Roya Roy out

Mkuu mbona unawachakachua mapema hivi bila hata kutoa sababu? Ina ruhusiwa kupendekeza sio ku-disqulaify bana NN.

Wakulu hapo juu, mko vizuri tu. karibuni. Hii ni sehemu na manjonjo ya kampeni na mchakato.
 
JS ni Shugacake. Binti mmoja wa Kichaga aliye maridadi na makini sana. Mada anazoanzishaga hufanya watu wakune sana vichwa kutokana na zilivyo makini.

Sawa Mkuu, pendekezo hilo limekubalika. Kama unaweza kutupatia data zake za mabandiko au threads zake utakuwa umetusaidia sana.
 
Mkuu mbona unawachakachua mapema hivi bila hata kutoa sababu? Ina ruhusiwa kupendekeza sio ku-disqulaify bana NN.

Wakulu hapo juu, mko vizuri tu. karibuni. Hii ni sehemu na manjonjo ya kampeni na mchakato.

Kwa vigezo vyako hao wakulu tayari wako disqualified. Kwa mfano, sijawahi kumwona St. RR kwenye jukwaa jingine zaidi ya MMU. Vivyo hivyo kwa babu Aspirin na hao watajwa wengine.
 
Kwa vigezo vyako hao wakulu tayari wako disqualified. Kwa mfano, sijawahi kumwona St. RR kwenye jukwaa jingine zaidi ya MMU. Vivyo hivyo kwa babu Aspirin na hao watajwa wengine.

Duh! Ngoja wenyewe waje . . . . nisije onekana nawawekea kauzibe.
 
Mkuu NN, link uliyotoa inaleta majibu haya:


JamiiForums Message

Sorry - no matches. Please try some different terms

Unatumia browser gani? Mimi natumia Mozilla Firefox na nikibofya napelekwa moja kwa moja kwenye orodha ya mada alizoanzisha Bi. JS.....
 
Nampendekeza Gaijin katika category ya WOMAN. Nahisi ni mwanamke kwa kuwa anasimamia sana mambo ya gender. Pia michango yake mingi ni ya kiudadisi na ya kujenga. Avatar yake inaonyesha ana allergy ya kusoma kwani kazungukwa na vitabu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom