Mwenyekiti naomba nikushitakie kitu kwa muda mfupi ulipokuwa umejiuzulu Erickb52 amenikwaza nakuniudhi sana kwani alikuwa anang'anganiza kuniozesha kwa kizee kimoja kule chit chat anaitwa mzee ambayo imepelekea usumbufu mkubwa sana sana! Na mimi sitaki kuozwa mapema kwani nilipewa talaka 2 bado ya tatu.kwa sababu umerudi nimefurahi sana unisaidie kukomesha tabia hiyi japo naona umemweka huyo mzee kwenye kamati yako !!na wewe hivyo hivyo, unajifanya kutuongelea ki hitler hitler hapa, afu ukome kuniita mstaafu, (nimekumiss ila)
Mwenyekiti naomba nikushitakie kitu kwa muda mfupi ulipokuwa umejiuzulu Erickb52 amenikwaza nakuniudhi sana kwani alikuwa anang'anganiza kuniozesha kwa kizee kimoja kule chit chat anaitwa mzee ambayo imepelekea usumbufu mkubwa sana sana! Na mimi sitaki kuozwa mapema kwani nilipewa talaka 2 bado ya tatu.kwa sababu umerudi nimefurahi sana unisaidie kukomesha tabia hiyi japo naona umemweka huyo mzee kwenye kamati yako !!
asante mwenyekiti asante sana ,mimi bado mtoto mdogo sana kuozwa kwa Mzee ,yeye ujana alilia wapi msuli aje kuvalia kwangu !Niliwashangaa waliokuwa wanamtnga mkono Erickb52 , yule ndo zake kuharibu hapo ukute alikuwa ameshakula pesa ya mzee akamuahidi kuwa lazima atakupata, wengi tu wameleta malalamiko kama yako, lakini maadam nipo hakijaharibika kitu. Erickb52 alikuwa anang'ang'ania cheo hiki ili akitumie kama dhamana ya matakwa yake... usijali now everything is under control...
Nakupenda pia mke wangu!
Twende tukaoge tujiandae kwenda kazini love
Ndo kilichobaki, tena lazima atumie battery ya N120,manaake N80 haifui dafu tena..
Katika hili mwenyekiti hana msaada wa aina yoyote. Kaka ameamua uolewe. Lazima iwe hivyo.asante mwenyekiti asante sana
Huo udogo wako umeupima vipi¡¿¡mimi bado mtoto mdogo sana kuozwa kwa Mzee
Yeye ujana alilia wapi msuli aje kuvalia kwangu !
CC: Erickb52
teh teh...habari za udaku shurti kuwepo na tupicha lol