Wewe... una uhakika na UNACHOKINENA!??
Ni shwari chalii angu, hizo
picha wamenifowadia hata mimi, nimeshindwa kuamini visigino vyangu
aisee...!!
hahaaa haaaa jameni nizibeni mudomo nitamlipua huyu Baba V. msijekunilaumu
Unajipanga kwa hujuma gani dhidi yangu!?, ukileta uzushi nitajibu mapigo kwa mifano na mapicha..